Pre GE2025 John Heche: Makonda anawahoji Polisi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM kwasababu anawaona kama green guard

Pre GE2025 John Heche: Makonda anawahoji Polisi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM kwasababu anawaona kama green guard

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unaendelea kuamini ujinga wa Heche! Sasa kama kuna malalamiko RPC asihojiwe? Hivi Nyinyi CHADEMA ni wapuuzi sana! Polisi ipo kwa usalama wa raia na mali zao!
Kwa vile kahoji adui yenu Makonda mnabweka!
CHADEMA mnejaa chuki,unafiki na kutojua mnachotaka!
Anayewatetea polisi wa Tanzania wewe ni adui mkubwa wa raia wa Tanzania wasio na makosa. Kama hujawahi kuathiriwa na vitendo vya polisi utawatetea. Nimewahi kimfanyia kazi polisi aligoma kunilipa Tena Kwa dharau!
Mimi nilipenda style ya magufuri na Lugola dhidi ya mapolisi. Haijalishi ni polisi ahojiwe hadharani.
 
Anayewatetea polisi wa Tanzania wewe ni adui mkubwa wa raia wa Tanzania wasio na makosa. Kama hujawahi kuathiriwa na vitendo vya polisi utawatetea. Nimewahi kimfanyia kazi polisi aligoma kunilipa Tena Kwa dharau!
Mimi nilipenda style ya magufuri na Lugola dhidi ya mapolisi. Haijalishi ni polisi ahojiwe hadharani.
Kweli kabisa ndugu! Ila CHADEMA hawatakuelewa!
 
Wewe ndo huelewi! Chama Kinawajibika kuisimamia serkali ili wananchi wapate huduma na maendeleo!
Ndo maana tuna mihimili Mira tu Mahakama,Bunge na Serkali! Serkali mkuu wake ni Rais ambaye ni zao la chama cha siasa!
Ukituliza kichwa ukaacha mihemko na unyumbu utanielewa!
Tatizo lenu CHADEMA mnajitia ujuaji wa kujua kila jambo!

Chama kinaiwajibisha serekali kupitia njia ya watendaji, madiwani na bungeni, na sio hadharani mwenezi kuleta maigizo. Kwenye vikao vya watendaji, madiwani na bungeni huko ndio chama kinapaswa kupewa majibu na serekali. Kama Makonda alitaka majibu toka kwa RPC sio hadharani maana huo ni usanii, angekaa na RC ama Waziri wa mambo ya ndani apewe majibu ya kiutendaji.

Kwa watu wajinga tu ndio wanaweza kuamini hayo maigizo kuwa ni kutaka kutatua matatizo ya wananchi. Na ukitaka kujua hakuna chochote Cha maana kitafanyika, hayo matatizo anayosema anatatua Makonda kesho yataendelea, na nchi nzima yataendelea kuwepo, maana sio uwajibikaji wa kitaasisi, Bali ni maigizo ya mjanjanja mmoja anayejifanya anasaka kura, wakati kiuhalisia hao hao polisi ndio watakaogizwa na ccm kusimama chaguzi za wizi.
 
Wewe mnywa mbege huwezi kumkubali Makonda wewe endelea Kushabikia mwenyekiti wenu Makengeza!
Makonda ndio nani? Bashite? Hilo jina la Makonda amelitoa wapi?

Mmekuwa mkitupigia kilele eti Bashite anatatua matatizo ya wananchi kwenye ziala zake.

Nimekuuliza swali dogo tu, tueleze tatizo moja tu la wananchi ambalo Bashite amelitatua ktk ziala zake. Naona unarukaruka tu

TUAMBIA MATATIZO YA WANANCHI AMBAYO BASHITE AMEYATATUA KTK ZIALA ZAKE
 
Makonda ndio nani? Bashite? Hilo jina la Makonda amelitoa wapi?

Mmekuwa mkitupigia kilele eti Bashite anatatua matatizo ya wananchi kwenye ziala zake.

Nimekuuliza swali dogo tu, tueleze tatizo moja tu la wananchi ambalo Bashite amelitatua ktk ziala zake. Naona unarukaruka tu

TUAMBIA MATATIZO YA WANANCHI AMBAYO BASHITE AMEYATATUA KTK ZIALA ZAKE
Ziala ndo nini wewe Mangi? Nenda kwanza shule ndo uje hapa kubishana na mimi!
 
Ziala ndo nini wewe Mangi? Nenda kwanza shule ndo uje hapa kubishana na mimi!
Mimi na Bashite kwenye elimu hatuchekani🤣🤣ila kwenye biashara nimemuacha mbali. Bro unaonekana wewe ni msomi sana. Chukua mauwa yako🌼🌷🌻💐🥀
 
Mimi na Bashite kwenye elimu hatuchekani🤣🤣ila kwenye biashara nimemuacha mbali. Bro unaonekana wewe ni msomi sana. Chukua mauwa yako🌼🌷🌻💐🥀
Wewe unabiashara kumzidi Makonda? Kanywe mbege kaka na kasimamie biashara za Makengeza!
 
Unajua neno mpumbavu ni zawadi kwa mwenye haiba hiyo.
Kabla huajaandika upuuzi wako ulipaswa kuelewa nilichoandika.

Quote eneo sahihi niliposema fulani in brackets ndo wanapaswa kuhoji polisi. Ninaunga mkono hoja kwamba upuuzi wa CCM kujinyakulia mamlaka wasiyokuwa nayo kiasi kwamba wanaweza kufanya lolote kwa sababu hao polisi ni kama green guard yao.

Sheria imeweka utaratibu wa kuratibu, kusimamia na kuwajibisha polisi endapo anakwenda kinyume na maadili au usahihi wa kiutendaji. Mpumbavu mmoja anasimama na kuvimbisha shingo anauliza nataka kifungu cha sheria kinachosema nani anapaswa kumhoji askari polisi.
Wewe ni mpumbavu namba mbili baada ya kiongozi wako Heche!
Hebu Chadema tuambieni kama sio nyinyi kila siku mnalalsmika humu mitandaoni kwamba Polisi haifuati PGO?
Kwamba jeshi la Polisi linawabambika kesi raia nk!
Sasa li- chama la hovyo kama hili limejaa chuki saa yote mnawaza ubunge tu!

Kisa Makonda kawapeleka puta na anazidi kujiongezea umaarufu kwenye jamii kila anakopita nyinyi shwine wa Mbowe mnazidi kumsakama.
Chadema hamjitambuwi!
 
Unaendelea kuamini ujinga wa Heche! Sasa kama kuna malalamiko RPC asihojiwe? Hivi Nyinyi CHADEMA ni wapuuzi sana! Polisi ipo kwa usalama wa raia na mali zao!
Kwa vile kahoji adui yenu Makonda mnabweka!
CHADEMA mnejaa chuki,unafiki na kutojua mnachotaka!
Wewe ni CCM?
 
Polisi walianza kujiingiza ccm, baadae wakajigeuza kuwa wanachama wa ccm. IGP kadhaa wameruhusu hilo litokee.

Leo Makonda anamuita mtu mwenye level ya RPC anamuhoji kwenye mkutano wa hadhara. Hii inatokea kwasababu Makonda anajua hawa ni wanachama wao.

Polisi wetu wanapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na muongozo wao unaoitwa police general orders (PGOs) ni wapi Makonda na ccm wametajwa kwenye hivyo vitabu..

Kwamba jeshi la polisi lina makosa ni kweli, kwamba watu wanatekwa na serikali ya ccm na wengine kupotezwa kizembe ni kweli. Kwamba polisi wanapaswa kuwajibishwa ni kweli.

Sijwahi kuona hata IGP anawafokea RPCS hadharani.

Lakini RPC anaitwa na kuhojiwa kama mtoto mdogo bila kufuata sheria wala taratibu, huyu anawezaje kusimamia sheria na kutenda haki.

Makonda anawahoji kwenye hadhara kwasababu anawaona nyie ni green guard tu.

Tunahitaji kuunda upya chombo hiki muhimu kitakachoongozwa na watu wenye uwezo na weledi wa kusimamia sheria za Nchi.

ChukuwaChakoMapema wamekamata Nchi! Mpaka wafe!
 
Huwa nashangaa sana watu wanavyohoji sana nguvu ya makonda

Kanuni ya utumishi wa umma mojawapo inasema "Utii kwa serikali"

Kwa sasa serikali inaongozwa na ccm
Hii ni chungu-tamu ila hamna namna
Kama mtumishi wa umma hutaki kelele acha kazi kaa pembeni
Makonda hautamsikia
No hard feeling but that is how it is 😪
 
Wewe ni mpumbavu namba mbili baada ya kiongozi wako Heche!
Hebu Chadema tuambieni kama sio nyinyi kila siku mnalalsmika humu mitandaoni kwamba Polisi haifuati PGO?
Kwamba jeshi la Polisi linawabambika kesi raia nk!
Sasa li- chama la hovyo kama hili limejaa chuki saa yote mnawaza ubunge tu!

Kisa Makonda kawapeleka puta na anazidi kujiongezea umaarufu kwenye jamii kila anakopita nyinyi shwine wa Mbowe mnazidi kumsakama.
Chadema hamjitambuwi!
Kumuelewa Heche inaitaji uwe na akili kubwa na timamu. Majoka wengi wa kijani akili hizo hamna
 
Huwa nashangaa sana watu wanavyohoji sana nguvu ya makonda

Kanuni ya utumishi wa umma mojawapo inasema "Utii kwa serikali"

Kwa sasa serikali inaongozwa na ccm
Hii ni chungu-tamu ila hamna namna
Kama mtumishi wa umma hutaki kelele acha kazi kaa pembeni
Makonda hautamsikia
No hard feeling but that is how it is 😪
Pumba. Bashite hana cheo cha kiserikali. Yeye anatakiwa awawajibishe kwenye vikao vyao vya kichama tu basi.
 
Polisi walianza kujiingiza ccm, baadae wakajigeuza kuwa wanachama wa ccm. IGP kadhaa wameruhusu hilo litokee.

Leo Makonda anamuita mtu mwenye level ya RPC anamuhoji kwenye mkutano wa hadhara. Hii inatokea kwasababu Makonda anajua hawa ni wanachama wao.

Polisi wetu wanapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na muongozo wao unaoitwa police general orders (PGOs) ni wapi Makonda na ccm wametajwa kwenye hivyo vitabu..

Kwamba jeshi la polisi lina makosa ni kweli, kwamba watu wanatekwa na serikali ya ccm na wengine kupotezwa kizembe ni kweli. Kwamba polisi wanapaswa kuwajibishwa ni kweli.

Sijwahi kuona hata IGP anawafokea RPCS hadharani.

Lakini RPC anaitwa na kuhojiwa kama mtoto mdogo bila kufuata sheria wala taratibu, huyu anawezaje kusimamia sheria na kutenda haki.

Makonda anawahoji kwenye hadhara kwasababu anawaona nyie ni green guard tu.

Tunahitaji kuunda upya chombo hiki muhimu kitakachoongozwa na watu wenye uwezo na weledi wa kusimamia sheria za Nchi.

Chadema ni wanafiki wakubwa. Ni viongozi wenye mwelekeo wa kimapinduzi tu ndani ya chama cha mapinduzi ndio wanaweza kufanikisha vita vya utawala bora nchini. Wananchi wameona na kushuhudia chini ya magufuli ufisadi na uzembe kupungua kwa kiwango kikubwa. Nyia ya kiliberali ya chadema imejaa unafiki mtupu. Wanasema eti utawala wa sheria wakijua mabwanyenye na fisadi wana uwezo wa kununua haki kwa wanasheria. Wananchi wanachohitaji ni utawala wa haki. Sheria ziko ila wanasheria wanageuza haki bidhaa chini ya sera za kiliberali ambazo hazitufai afrika.
 
Back
Top Bottom