John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
Ni malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo Alhamisi trh 28/4/2022..

Msingi wa malumbano hayo ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa hapa JF kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja inayoleta majadala ni kina nani wanahusika na jinai hii ya kupoteza na kuua watu kwa style mbalimbali? Na ni kina nani hasa walihusika na jaribio la kuuwawa kwa risasi Tundu Lissu mwaka 2017? Nini wajibu wa polisi? Kwanini haya yanatokea nao wakiwepo tu?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai alieleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA, kwamba ni wenyewe WANAJITEKA, KUPOTEZANA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe. Na obviously, ndiyo walimpiga risasi Tundu Lissu mwaka 2017..!

Kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (w) fulani miaka hiyo, kwamba, alitekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wakaamini kuwa amekufa..

Lakini few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfikia yeye Dr Slaa by then akiwa ndiye GS..

Kwa maelezo ya Dr Slaa kwa niaba ya chama, alitoka public na kulaani tukio hilo. Lakini kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alimwendea Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo..!!

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, aka - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Heche akamwita his former Party GS kuwa huo ni uongo na anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi..

Heche akamuuliza Dr Slaa, kuwa, kama ni kweli, yeye akiwa kama GS wa chama by then, ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Dr Slaa akajibu tuhuma hizo za Heche kwa kusema, ni wazi kuwa hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza. Na hajasema kuwa, kupigwa risasi kwa Tundu Lissu ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Dr Slaa akaendelea kujitetea kwa kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kuhusu tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka CHADEMA, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

Ni wazi kuwa kumbe Dr Slaa alikuwa anatufungua ufahamu na akili zetu ili kujua tatizo la haya mambo liko wapi. Kwamba, kiini cha tatizo la kupotea, kutekwa watu liko ndani ya serikali kupitia TANPOL na UWT wakichezeshwa mchezo mchafu wa kisiasa na wanasiasa watawala wa CCM kwa maslahi ya kisiasa..!!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa gharama ya amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikalini, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukiza box au tenga lote na samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hili kuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa na mfano wake ule. Kumbe alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi. Yeye siyo tatizo kwa kusema haya. Na wala CHADEMA siyo tatizo hata kidogo..
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
Mkuu hivi bado yuko naye

Ova
 
Padre ndio katoswa kiutu uzima, demu kakataa kurudi Bongo kupigwa vumbi, kabaki Sweden.

Hakunaga mapenzi mke yupo ulaya mume yupo Africa, hamnaga kitu cha hivyo ni vile tu Waafrika hasa Wabongo ni wazito kusema bayana mahusiano yamevunjika au ndoa haipo tena kama walivyofanya Bill gates na Melinda.

Siku hizi kuna ndoa za buluu tusi.
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Matola hiyo sio "Inshumata" bali inaitwa Shuntama, nasikia ni kiboko sana. Babu kama Slaa lazima imtoe akili na kubwabwaja kama chizi.
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka
KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Yaezekana na vyombo vya ulinz wanashirikiana na CHADEMA juu ya uhalifu huo?

Kama ni hivyo kwann wasikamatwe hao wahalifu wa CHADEMA?

leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa ktk maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe..!!

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo..!

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la Nadhani NCHI yetu inataratib zake na Jeshi la polisi lina taratibu zake, hivyo ni vyema slaa akaenda toa taarifa polisi na uzuri ni kwamba yeye pia atakua shahidi!!
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
Umasikini unamtesa
 
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
Daktari tapeli yule
 
Padre Dr Slaa, sio role model wa taifa hili.
Ana mazagazaga mengi yasiokuwa na afya kwenye siasa za taifa letu.
Enzi zile za vita baridi tungemlinganisha na double agent.
Au kwa lugha ya Mwalimu Nyerere angeitwa mercenary.
Lakini Mwalimu Nyerere angempachika jina maarufu mbadala .................
 
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
Uzuri umenielewa, ila kifuatacho kwa huyu mzee kwa sonona aliyonayo muda wowote utasikia amepigwa na stroke itakayofuatiwa na cardiac arrest shughuri inaishia hapo, safari ya kuzika karatu.
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..

Mkuu sipingi utetezi wako, Dr. Slaa aliongea lugha tunayoifahamu wote, na uwezo wa kuelewa pia tunao. Kama ni kukanusha alichoongea au kueleweka vibaya anasawazisha tu baada ya kuona hoja yake imezua hasira kwa upande wa pili. Na ww sio kwamba umemuelewa vizuri alichokuwa anamaanisha, bali unajaribu kupunguza hasira iliyopo dhidi yake.
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
Pangueni hoja zake!

Kwanini hamtaki kujibu hoja zake badala yake mnashambulia maisha yake binfsi
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box [emoji3514] ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Bro, kuna upofu wa chuki na uvyama umeharibu hili Taifa kwa kiwango cha kutisha. Nina uhakika watakaokusoma na kukuelewa ni wachache mno!

Katika hao wachache ni wale watakaosoma na kukuelewa ili wafanye spinning! Sijui tunatokaje kwenye hii situation!

Toka hizi kambi za vyama kujikita kutengeneza teams za mitandaoni hali ya mijadala ni mbaya kuliko hata mijadala ya vijiwe vya kahawa.
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Babu anajichanganya au hawezi kufikiri kama zamani. Umri.

Kama kweli kuna mtu alitekwa (inside job) na akatoa taarifa police na issue haikufanyiwa kazi mpaka leo.... Hapo yeye hawezi kufanya mahesabu yake na kupata majibu....!!?

Kama hayo anayoyasema ni kweli mbona hakuyapeleka kwenye vikao vya chama kujua ukweli. Kwa nini alianini hiyo story ya mtu moja?

Kama anavyodai ni ya kweli kwa nini mtekwaji aliamua kukaa kimya wakati akijua hayuko salama ndani ya Chadema. Kukaa kimya au kutoa ripoti police kipi kilikuwa salama kwake!?

Slaa asituletee story za vijiweni. Anajidhalilisha.
 
Back
Top Bottom