John Heche: Walio Madarakani Wanatengeneza umasikini, Deni la taifa lafika Trilioni 94. Bandari ya Dar yazidiwa na Mombasa

Mbona cdm ni wepesi kusahau kana kwamba hili ni jambo jipya. Yule baba aliyekuwa hana TOZO na aliyekuwa akiwaambia hii nchi ni tajiri mliishia kumtukana. Alipokuwa anajitahidi kufanya maendeleo ya vitu. Mkasema kwa sauti moja hatutaki maendeleo ya vitu tunataka maendeleo ya watu. Kulikoni leo!!!!????
 
Co wakati wa .kujadili habari za marehemu now
 
Haya yote ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
Marais wa nchi hii ni majalala ya muda wote. Kumbuka Nyerere kaipokea TZ ikiwa haina wasomi, haina miundo mbinu ni sawa na mtu anayepewa nyumba ya kuishi ikiwa tupu kabisa anaanza kununua makochi, mafriji na vitu vyote vya ndani.
 
Mlamba asali mmoja alisema mama atawale adi 2035 ili waendelee kuitafuna nchi. uyu mama adi atakapostaafu kuna wapuuzi watakuwa wamejitajirisha vibaya mno maana sidhani kama uyu bib anafahamu kuwa yey ni rais wa nchi
 
Hapo kwenye 'Mungu ni Mtanzania' hapo imebidi niweke kituo nivae miwani kwanza lakini bado sijaambulia nukta gani hasa mh. Heche alikusudia hadhira tuijue.
 
Marais wa nchi hii ni majalala ya muda wote. Kumbuka Nyerere kaipokea TZ ikiwa haina wasomi, haina miundo mbinu ni sawa na mtu anayepewa nyumba ya kuishi ikiwa tupu kabisa anaanza kununua makochi, mafriji na vitu v

Nyerere alirithi shule, hospitali, viwanda, na mambo mengine mengi kutoka kwa wakoloni
 
Hizi nondo zimeshiba
 
Nyerere alirithi shule, hospitali, viwanda, na mambo mengine mengi kutoka kwa wakoloni
Kazi aliyoifanya ni ngumu sana kumbuka alisomesha mainjinia wote waliokuja kuajiriwa baadae kina Hayati Mfugale.

Waliojenga miundo mbinu mingi nchi nzima na hayati JPM ni wasomi waliosomeshwa bure na Baba wa Taifa miaka hiyo ya 1960-70.
 
Msisahau pia nyinyi mlikuwa mnapiga kelele na kumlaumu Magufuli kuwa ananunua ndege kwa cash badala ya kununua kwa mkopo! Unafiki ulioje!

..tulipinga ununuzi wa ndege sio kwasababu zimenunuliwa cash, bali kwasababu biashara ya shirika la ndege ni ya hasara.

..tumenunua ndege 11 cash toka kwa mabeberu.

..halafu tuna kesi 19 ktk mahakama za mabeberu kwasababu Jpm amevunja mikataba nao kihuni.

..mabeberu wanazisaka hizo ndege wazikamate.
 
Tukubali tu Chadema ndo mkombozi wa hili Taifa

The others utilise matumbo yao na familia zao na marafiki zao na UJINGA ndo mtaji wao

RETHINK
Dah.....siyo chadema hii mkuu ya Mbowe na TL 🤣 🤣 🤣
 

..maendeleo ya vitu ni kama tunato sadaka kwa mabeberu.

..tulinunua ndege 11 lakini tuna kesi 19 ktk mahakama kimataifa na wawekezaji.

..Na kila wakitushinda wanakamata ndege yetu.

..Ni afadhali fedha hizo zingewekezwa kwenye KILIMO au UFUGAJI umasikini ungepungua.
 
Usisahau ya kwamba maendeleo ya vitu yana jumlisha miundombinu kama barabara. So utasafirisha vipi mazao na mifugo kwenda kwenye masoko kama huna miundombinu safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…