John Heche: Walio Madarakani Wanatengeneza umasikini, Deni la taifa lafika Trilioni 94. Bandari ya Dar yazidiwa na Mombasa

John Heche: Walio Madarakani Wanatengeneza umasikini, Deni la taifa lafika Trilioni 94. Bandari ya Dar yazidiwa na Mombasa

Usisahau ya kwamba maendeleo ya vitu yana jumlisha miundombinu kama barabara. So utasafirisha vipi mazao na mifugo kwenda kwenye masoko kama huna miundombinu safi.

..maendeleo ya vitu yanatakiwa yawe wezeshi kwa maendeleo ya watu.

..kwa mfano, kujenga uwanja wa ndege ktk eneo ambalo hauhitajiki ni maendeleo ya vitu badala watu.
 
..tulipinga ununuzi wa ndege sio kwasababu zimenunuliwa cash, bali kwasababu biashara ya shirika la ndege ni ya hasara.

..tumenunua ndege 11 cash toka kwa mabeberu.

..halafu tuna kesi 19 ktk mahakama za mabeberu kwasababu Jpm amevunja mikataba nao kihuni.

..mabeberu wanazisaka hizo ndege wazikamate.
Hoja yako haina,mashiko, hadaa hizo muwahadae mbumbumbu sio sisi tuliokwenda shule tukaelimika. Wakati mnapiga kelele tena pamoja na Zitto tulikuwepo na wakati mwingine tulibishana tukitetea uamuzi wa kununua kwq cash.

Eti tunanunua ndege kwa mabeberu! Nyinyi mngenunua wapi? Dunia nzima ndege utanunua airbus au boeing mostly.
Suala la ndege kukmatwa ni utaratibu wa kimahakama pale .mdai anapishinda kesi. Serikali za kizalendo zikichukua madaraka hazitasita kuvunja mikataba yq kinyonyaji tuliyoingia kwa rushwa walizopewa wenye mamlaka hata kama mwisho wa siku tutalipa fidia. Kamq ni lawama mlaumu JK aliyepiga bei nchi sio mzalendo JPM. Lissu wenu alipokuwa wakili hqjqwahi kushindwa kesi?

Nchi hii tuna safari ndefu sana kufikia ukombozi wa kweli.

Linapotokea jambo basi ni fursa kwa wapinzani uchwara kuhadaa wananchi kwa kuwa mnajua wengi ni mbumbumbu.
 
Hoja yako haina,mashiko, hadaa hizo muwahadae mbumbumbu sio sisi tuliokwenda shule tukaelimika. Wakati mnapiga kelele tena pamoja na Zitto tulikuwepo na wakati mwingine tulibishana tukitetea uamuzi wa kununua kwq cash.

Eti tunanunua ndege kwa mabeberu! Nyinyi mngenunua wapi? Dunia nzima ndege utanunua airbus au boeing mostly.
Suala la ndege kukmatwa ni utaratibu wa kimahakama pale .mdai anapishinda kesi. Serikali za kizalendo zikichukua madaraka hazitasita kuvunja mikataba yq kinyonyaji tuliyoingia kwa rushwa walizopewa wenye mamlaka hata kama mwisho wa siku tutalipa fidia. Kamq ni lawama mlaumu JK aliyepiga bei nchi sio mzalendo JPM. Lissu wenu alipokuwa wakili hqjqwahi kushindwa kesi?

Nchi hii tuna safari ndefu sana kufikia ukombozi wa kweli.

Linapotokea jambo basi ni fursa kwa wapinzani uchwara kuhadaa wananchi kwa kuwa mnajua wengi ni mbumbumbu.

..mimi nilipinga ununuzi wa ndege tangu wakati wa JK.

..nimejiridhisha kwamba shirika la ndege ni biashara isiyo na faida kwetu.

..ndege zetu kukamatwa ni kutokana na maamuzi ya kipumbavu na sio uzalendo kama unavyodai.

..tumeingia mikataba kipumbavu na kifisadi, na tumevunja mikataba kwa namna hiyohiyo.

..ndege zetu zimekamatwa kwasababu tumeshindwa mahakamani halafu serikali inafanya kiburi kulipa fidia.

Matokeo yake tunaingia hasara ya kulipa riba na aibu ya mali zetu kukamatwa. Sasa huo ni upumbavu sio uzalendo.

..Ndege iliyokamatwa Uholanzi waliosoma mwenendo wa shauri wanadai serikali haikutokea kujitetea ktk shauri hilo. Hayo ni makosa makubwa ya uzembe.
 
Zamani sikuwa nawaelewa hawa CDM, lakini kwa sasa nawaelewa sana tena sana. Hasa hasa Mh. Heche namwelewa mno.

Nchi hii inahitaji Reformation ya hali ya juu kabisa. Kama Nchi hii tutawaachia hawa MAJANGILI, baada miaka michache mali zetu zitakuwa zinagawanwa kwisha kabisa.
Mungu awape nguvu, maarifa na ujasiri ndugu zetu wa CHADEMA.
 
Zamani sikuwa nawaelewa hawa CDM, lakini kwa sasa nawaelewa sana tena sana. Hasa hasa Mh. Heche namwelewa mno.

Nchi hii inahitaji Reformation ya hali ya juu kabisa. Kama Nchi hii tutawaachia hawa MAJANGILI, baada miaka michache mali zetu zitakuwa zinagawanwa kwisha kabisa.
Mungu awape nguvu, maarifa na ujasiri ndugu zetu wa CHADEMA.
Shida ni kwamba watu wengi wanaingia mtego wa vile vijimaneno kwamba ooh upinzani hawajajipanga... Kumne kile ndo kinawasaidia hawa majangili kubuy time waendelee kula nchi

Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
 
..mimi nilipinga ununuzi wa ndege tangu wakati wa JK.

..nimejiridhisha kwamba shirika la ndege ni biashara isiyo na faida kwetu.

..ndege zetu kukamatwa ni kutokana na maamuzi ya kipumbavu na sio uzalendo kama unavyodai.

..tumeingia mikataba kipumbavu na kifisadi, na tumevunja mikataba kwa namna hiyohiyo.

..ndege zetu zimekamatwa kwasababu tumeshindwa mahakamani halafu serikali inafanya kiburi kulipa fidia.

Matokeo yake tunaingia hasara ya kulipa riba na aibu ya mali zetu kukamatwa. Sasa huo ni upumbavu sio uzalendo.

..Ndege iliyokamatwa Uholanzi waliosoma mwenendo wa shauri wanadai serikali haikutokea kujitetea ktk shauri hilo. Hayo ni makosa makubwa ya uzembe.
Serikali imekata rufaa na rufaa bado kusikilizwa. Pia mtu ukikata rufaa unaruhusiwa kuomba stay of execution.

Kuhusu hoja kuwa serikali haikutokea mahakamani kama ni kweli basi elewa kuwa mahakanani mmoja anaweza kucheza na wakili wa mpinzani wake ili asitokee mahaka.mani au wakati summons ikiletwa yule anayeipokea anaweza kuhongwa ili aikalie asitoe taarifa kunakohusika ili kesi isikilizwe upande mmoja huku Tanzania zamani mchezo huo umefanyika sana.

Pia elewa kwa sasa nchi iko katika wizi/ ufisadi wa kimfumo ambapo watu wenye mamlaka wizara/idara tofauti wanashirikiana kufanya ufisadi( yaani ufisadi haufanywi na mtu mmoja kana deal lake bali unafanywa kimkakati na kwa ushirikiano). Kesi hii huenda kuna watu ndani ya mamlaka wamesaidia kichinichini ili tushindwe.

Ndege zina faida isiyo ya moja kwa moja ingawa pia faida ya moja kwa ,moja inaweza kupatikana. Mnaopinga mnaimba tu lakini sio kwamba mnapinga economically. Pia uwekezaji unapofanyika haiangaliwi tu faida ya sasa bali potential iliyopo na long term aspects za uchumi. Mfano uwepo wa ndege unasaidia mazaa kama maua, samaki, dagaa na nyama yasombwe kwa haraka na kufika sokoni. Pia watalii wanabebwa kwa haraka sasa ukianalyse kwa kina utaona GDP inayozalishwa kutokana na uwepo wa ndege ni kubwa sana. Miundombinu ya usafirishaji ( ndege, viwanja vya ndegw, reli, bandari, barabara, meli, mabomba ya gesi) ni kichocheo kikubwa cha uchumi ndio maana nchi zote ziliizoendelea ziliwekeza sana katika vitu hivyo. Pia bila kusahau umeme mawasiliano ya simu,

Tatizo nchi hii hivyo vitu vinafanyika kwa kutanguliza ufisadi ambao nimekuambia unafanyiika kimfumo.

Umesikia juzi mkutano wa CCM mafisadi walikuwa na wagombea wao na wamefanikiwa kuwachomeka sasa unategemea nini.

Yule baba wa ufisadi asipokufa mapema watanzania tutaumia sana.

Nb: tupiganie mgombea binafsi Tume huru ya uchaguzi.
 
Serikali imekata rufaa na rufaa bado kusikilizwa. Pia mtu ukikata rufaa unaruhusiwa kuomba stay of execution.

Kuhusu hoja kuwa serikali haikutokea mahakamani kama ni kweli basi elewa kuwa mahakanani mmoja anaweza kucheza na wakili wa mpinzani wake ili asitokee mahaka.mani au wakati summons ikiletwa yule anayeipokea anaweza kuhongwa ili aikalie asitoe taarifa kunakohusika ili kesi isikilizwe upande mmoja huku Tanzania zamani mchezo huo umefanyika sana.


Nb: tupiganie mgombea binafsi Tume huru ya uchaguzi.

..kesi karibia zote zilifunguliwa wakati Malaika yuko madarakani.

..na uzembe ulifanywa na wateule wa malaika.

..hayo ya kusema ndege zitatuletea faida ngoja tuyaache. Lakini mkumbuke SA wana uchumi mkubwa, abiria wengi, etc lakini bado wanakula hasara ktk shirika la ndege.
 
..kesi karibia zote zilifunguliwa wakati Malaika yuko madarakani.

..na uzembe ulifanywa na wateule wa malaika.

..hayo ya kusema ndege zitatuletea faida ngoja tuyaache. Lakini mkumbuke SA wana uchumi mkubwa, abiria wengi, etc lakini bado wanakula hasara ktk shirika la ndege.
Kama umesoma hoja zangu zote katika nyuzi nilizotuma, nilisema kuwa serikali ya kizalendo ikiingia madarakani kana kuna mikataba ya kifisadi mikataba hiyo itavunjwa tu. JPM alijitahidi kurekebisha mikataba mibovu aliyoikuta mfano katika madini, na mingine aliivunja ili kuiokoa nchi .
Kituo cha usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji kilikuwepo kabla JPM hajaingia madarakani na ktaendelea kuwepo kwa ajiki ya kuamua migogoro inayojitokeza.

Faida za ndege nimekueleza japo kwqa ufupi hao Afrika kusini kuna faida kukuki wanapata kama ada ya kutua, vyakula kwenye ndege, mafuta ya ndege , cargo handling, mahoteli ya kulala hao wasafiri na zile zingine za awali.
 
Kama umesoma hoja zangu zote katika nyuzi nilizotuma, nilisema kuwa serikali ya kizalendo ikiingia madarakani kana kuna mikataba ya kifisadi mikataba hiyo itavunjwa tu. JPM alijitahidi kurekebisha mikataba mibovu aliyoikuta mfano katika madini, na mingine aliivunja ili kuiokoa nchi .
Kituo cha usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji kilikuwepo kabla JPM hajaingia madarakani na ktaendelea kuwepo kwa ajiki ya kuamua migogoro inayojitokeza.

Faida za ndege nimekueleza japo kwqa ufupi hao Afrika kusini kuna faida kukuki wanapata kama ada ya kutua, vyakula kwenye ndege, mafuta ya ndege , cargo handling, mahoteli ya kulala hao wasafiri na zile zingine za awali.

..ni ngumu kunishawishi kuhusu nia njema au uzalendo ktk uamuzi ambao umepelekea tushindwe kesi na kulipa billion 300++.
 
Back
Top Bottom