NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Akuna cha jumuiya za kimataifa wala jumuiya ya wazazi,hapa ni spana tu mwanzo mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shut upAkuna cha jumuiya za kimataifa wala jumuiya ya wazazi,hapa ni spana tu mwanzo mwisho.
Halafu mzee mbona kapungua ghafla, kulikoni?Waambie hao jumuiya za kimataifa JPM tunampa #JPM #MAGUFULI #MITANOTENA 2020-25
View attachment 1587073
Umbea kama zilivyo porojo nyingine!Mimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua kwelikweli.
Sasa basi, kabla taifa zima halijachafuliwa kutokana na huu upuuzi anaoleta mgombea aa CCM ambaye ni John Pombe Magufuli. Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.
Anasambaza chuki na ubaguzi wa waziwazi kisiasa, hazingatii kabisa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 iliyopelekea kuundwa kwa vyama hivyo.
Mbaya zaidi anavuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu. Kwakuwa mamlaka za kitanzania zimeshindwa kuchukua hatua dhidi yake, basi jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali na kukomesha upuuzi wa dhahiri ambao ameuonyesha. Kamwe haya hayakubaliki!
Ebu Kula Ulale Usiku ushaingia Jumuiya za Kimataifa Zinatuhusu nini sisi. Yanii kila Anachofanya Rais hampendi Si kuna Box LA Kura Wananchi wataamua kama wamemchoka au LA Na Sio izio Jumuiya Mshaona Ngoma Ishakuwa nzitoo mnakimbilia kwa MabeberuMimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua kwelikweli.
Sasa basi, kabla taifa zima halijachafuliwa kutokana na huu upuuzi anaoleta mgombea aa CCM ambaye ni John Pombe Magufuli. Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.
Anasambaza chuki na ubaguzi wa waziwazi kisiasa, hazingatii kabisa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 iliyopelekea kuundwa kwa vyama hivyo.
Mbaya zaidi anavuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu. Kwakuwa mamlaka za kitanzania zimeshindwa kuchukua hatua dhidi yake, basi jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali na kukomesha upuuzi wa dhahiri ambao ameuonyesha. Kamwe haya hayakubaliki!
Mbwa hajing"ati mkiaHakuna mwenye ubavu yeyote wa kumchukiulia hatua jpm hapo tume kamwe.kinyago ulichokichonga mwenyewe kinakutishaje?
Acha matusi wewe. Magufuli akiwa jukwaani anakera kwa kauli zake za kihuni!Who are you? Ass!
Mhuni Lissu. Kwani unalazimishwa kusikiliza hotuba zake Rais Magufuli? Si usikilize hotuba za msaliti Lissu?Acha matusi wewe. Magufuli akiwa jukwaani anakera kwa kauli zake za kihuni!
Sasa kwa taarifa yako akiendelea na kauli zake za kihuni atashughulikiwa ipasavyo. Hii nchi haiwezi kupoteza heshima yake kamwe.Mhuni Lissu. Kwani unalazimishwa kusikiliza hotuba zake Rais Magufuli? Si usikilize hotuba za msaliti Lissu?
Nani atashughulikiwa Lissu au?? Na kivipi kikura au? Kama kiguvu huna uwezo huo!Sasa kwa taarifa yako akiendelea na kauli zake za kihuni atashughulikiwa ipasavyo. Hii nchi haiwezi kupoteza heshima yake kamwe.
Sawa, chukua zawadi yako kwa jibu la kizalendoJumuiya za kimataifa haziwezi kutupangia sisi nini cha kufanya, wananchi tumeamua tutamchagua JPM aongoze miaka 5 tenaa.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Bado unamwamini Kigogo!!? Utakuwa unamatatizo kichwani mwako!Kigogo naye 'anayafumua' tu hukoView attachment 1587301
Sawa nitamnunulia na mke wako.Sawa, chukua zawadi yako kwa jibu la kizalendoView attachment 1587304
Tutahakikisha kwamba sheria inafuata mkondo wakeNEC na Msajili wanamlinda anayekiuka kanuni. Ajabu
John Magufuli atashugjulikiwaNani atashughulikiwa Lissu au?? Na kivipi kikura au? Kama kiguvu huna uwezo huo!