Uchaguzi 2020 John Magufuli wa CCM anakiuka sheria ya maadili ya uchaguzi waziwazi. Naziomba jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali sana

Uchaguzi 2020 John Magufuli wa CCM anakiuka sheria ya maadili ya uchaguzi waziwazi. Naziomba jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali sana

Akuna cha jumuiya za kimataifa wala jumuiya ya wazazi,hapa ni spana tu mwanzo mwisho.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Mimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua kwelikweli.

Sasa basi, kabla taifa zima halijachafuliwa kutokana na huu upuuzi anaoleta mgombea aa CCM ambaye ni John Pombe Magufuli. Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.

Anasambaza chuki na ubaguzi wa waziwazi kisiasa, hazingatii kabisa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 iliyopelekea kuundwa kwa vyama hivyo.

Mbaya zaidi anavuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu. Kwakuwa mamlaka za kitanzania zimeshindwa kuchukua hatua dhidi yake, basi jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali na kukomesha upuuzi wa dhahiri ambao ameuonyesha. Kamwe haya hayakubaliki!
Umbea kama zilivyo porojo nyingine!
Justification ya maelezo yako meeengi yasiyo na kichwa wala miguu iko wapi?
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Mimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua kwelikweli.

Sasa basi, kabla taifa zima halijachafuliwa kutokana na huu upuuzi anaoleta mgombea aa CCM ambaye ni John Pombe Magufuli. Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.

Anasambaza chuki na ubaguzi wa waziwazi kisiasa, hazingatii kabisa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 iliyopelekea kuundwa kwa vyama hivyo.

Mbaya zaidi anavuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu. Kwakuwa mamlaka za kitanzania zimeshindwa kuchukua hatua dhidi yake, basi jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali na kukomesha upuuzi wa dhahiri ambao ameuonyesha. Kamwe haya hayakubaliki!
Ebu Kula Ulale Usiku ushaingia Jumuiya za Kimataifa Zinatuhusu nini sisi. Yanii kila Anachofanya Rais hampendi Si kuna Box LA Kura Wananchi wataamua kama wamemchoka au LA Na Sio izio Jumuiya Mshaona Ngoma Ishakuwa nzitoo mnakimbilia kwa Mabeberu
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Kajina kako tu.. kana shangaza.. kamejaa hasira za kusomeshwa namba na kutopata vya kimikatokato.. na bado.. miaka mitano tena..
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Jumuiya za kimataifa haziwezi kutupangia sisi nini cha kufanya, wananchi tumeamua tutamchagua JPM aongoze miaka 5 tenaa.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Nimeona leo akitamka kuwa mzee nakupa shs 100,000!. Nadhani baadae kidogo alishtuka, akasema siyo rushwa ila nakusaidia tu ukanunue mbolea
 
Ungeandika kwa kiingereza ingependeza sana, au mtumie lissu abadirishe kwa lugha ya kibeberu aipost kwenye page za wakina bob na genge lake.
 
Acha matusi wewe. Magufuli akiwa jukwaani anakera kwa kauli zake za kihuni!
Mhuni Lissu. Kwani unalazimishwa kusikiliza hotuba zake Rais Magufuli? Si usikilize hotuba za msaliti Lissu?
 
Mhuni Lissu. Kwani unalazimishwa kusikiliza hotuba zake Rais Magufuli? Si usikilize hotuba za msaliti Lissu?
Sasa kwa taarifa yako akiendelea na kauli zake za kihuni atashughulikiwa ipasavyo. Hii nchi haiwezi kupoteza heshima yake kamwe.
 
Kigogo naye 'anayafumua' tu huko
Screenshot_20201001-134738.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20201001-134738.jpg
    Screenshot_20201001-134738.jpg
    36.5 KB · Views: 2
Sasa kwa taarifa yako akiendelea na kauli zake za kihuni atashughulikiwa ipasavyo. Hii nchi haiwezi kupoteza heshima yake kamwe.
Nani atashughulikiwa Lissu au?? Na kivipi kikura au? Kama kiguvu huna uwezo huo!
 
Back
Top Bottom