Mbeya na Songwe saccos imepotea kabisa poleniTutahakikisha kwamba sheria inafuata mkondo wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya na Songwe saccos imepotea kabisa poleniTutahakikisha kwamba sheria inafuata mkondo wake
Safari hii sijui mtatumia 'tekniki' gani maana upeo wenu umegota , paranoid inamuhusu huyo mstaafu Magufuli!Bado unamwamini Kigogo!!? Utakuwa unamatatizo kichwani mwako!
Huna uwezo huo wewe!! Sana sana utaenda kulialia kwa bwana yako huyu hapa.John Magufuli atashugjulikiwa
Tarehe 28/10/2020 siyo mbali tusubiri tuone.Safari hii sijui mtatumia 'tekniki' gani maana upeo wenu umegota , paranoid inamuhusu huyo mstaafu Magufuli!
Mimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua kwelikweli.
Sasa basi, kabla taifa zima halijachafuliwa kutokana na huu upuuzi anaoleta mgombea aa CCM ambaye ni John Pombe Magufuli. Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.
Anasambaza chuki na ubaguzi wa waziwazi kisiasa, hazingatii kabisa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 iliyopelekea kuundwa kwa vyama hivyo.
Mbaya zaidi anavuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu. Kwakuwa mamlaka za kitanzania zimeshindwa kuchukua hatua dhidi yake, basi jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali na kukomesha upuuzi wa dhahiri ambao ameuonyesha. Kamwe haya hayakubaliki!
Kuna watu walisombwa kinguvu pale mpemba.Mbeya na Songwe saccos imepotea kabisa poleni
View attachment 1587306
Nina wasiwasi na mtindio wako wa ubongo.Mimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua kwelikweli.
Sasa basi, kabla taifa zima halijachafuliwa kutokana na huu upuuzi anaoleta mgombea aa CCM ambaye ni John Pombe Magufuli. Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.
Anasambaza chuki na ubaguzi wa waziwazi kisiasa, hazingatii kabisa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 iliyopelekea kuundwa kwa vyama hivyo.
Mbaya zaidi anavuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu. Kwakuwa mamlaka za kitanzania zimeshindwa kuchukua hatua dhidi yake, basi jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali na kukomesha upuuzi wa dhahiri ambao ameuonyesha. Kamwe haya hayakubaliki!
Mwambie yule komwe Mahera na pacha wake wamwangalie ndugu yao Luka shenkoNina wasiwasi na mtindio wako wa ubongo.
Punguza ujinga we lofa!! Avatar yako inaendana na upu.bavu ulionao,!Dada safari hii utakufa na kihoro
Ndioo....kama polisi wako ccm, NEC wako ccm, msajiri wa vyama yuko ccm, na mahakama yako ccm ni lazima tuombe msaada nje km ambavyo maccm mnaomba misaada ya maendeleo mnapewa na kuitumbua......ndio maana watu wanaingia misituni....Unafikiri nao ni mbumbumbu kama nyinyi? By yhe way kumbe mnategemea wazungu ndiyo wawaingize Ikulu. Mtasubiri sana!
Hakuna Haki bila Wajibu! Haki yako inaishia pale inapoanzia Haki ya Mwingine!Ndioo....kama polisi wako ccm, NEC wako ccm, msajiri wa vyama yuko ccm, na mahakama yako ccm ni lazima tuombe msaada nje km ambavyo maccm mnaomba misaada ya maendeleo mnapewa na kuitumbua......ndio maana watu wanaingia misituni....
HAKI KWANZA BILA HAKI HAKUNA AMANI!
Nendeni ulaya!Ndioo....kama polisi wako ccm, NEC wako ccm, msajiri wa vyama yuko ccm, na mahakama yako ccm ni lazima tuombe msaada nje km ambavyo maccm mnaomba misaada ya maendeleo mnapewa na kuitumbua......ndio maana watu wanaingia misituni....
HAKI KWANZA BILA HAKI HAKUNA AMANI!
Dunia ya leo haiko hivo. Mabeberu hawana umoja, wamegawanyika. Marekani na washirika wake wakileta ujinga nchi inakimbilia Russia na China.Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.
Mimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua kwelikweli.
Sasa basi, kabla taifa zima halijachafuliwa kutokana na huu upuuzi anaoleta mgombea aa CCM ambaye ni John Pombe Magufuli. Nasisitiza jumuiya za kimataifa zimchukilie hatua kali.
Anasambaza chuki na ubaguzi wa waziwazi kisiasa, hazingatii kabisa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992 iliyopelekea kuundwa kwa vyama hivyo.
Mbaya zaidi anavuruga mwenendo wa uchaguzi mkuu. Kwakuwa mamlaka za kitanzania zimeshindwa kuchukua hatua dhidi yake, basi jumuiya za kimataifa zimchukulie hatua kali na kukomesha upuuzi wa dhahiri ambao ameuonyesha. Kamwe haya hayakubaliki!
Ndioo....kama polisi wako ccm, NEC wako ccm, msajiri wa vyama yuko ccm, na mahakama yako ccm ni lazima tuombe msaada nje km ambavyo maccm mnaomba misaada ya maendeleo mnapewa na kuitumbua......ndio maana watu wanaingia misituni....Nendeni ulaya!
Sisi tunasema sawaaa...Hakuna Haki bila Wajibu! Haki yako inaishia pale inapoanzia Haki ya Mwingine!