Malecela na Warioba haziivi tangu miaka ya tisini walipokosana issue ya urais. Hivyo ilikuwa lazima azungumze tofauti na Warioba kuhusu issue ya bandari.Calibre yake unategemea apinge huo muswada? Wazee ambao ni realest.... WARIOBA, BUTIKU, na aina zao. Hawa ndio wazalendo halisi!!!
Umeanza kunifahamu lini? Leo hii nimegeuka kuwa mwanadawati wa makumbusho?
Ina kipi kipaya kwani hiyo document?Mpelekeeni hii document
DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)
Taarabu unazijua hongera Sana tena. Nimekulia jirani na Egyptian Musical Club. Dar. Mama anaupiga mwingi Kimataifa.www.jamiiforums.com
Kwa hiyo akizungumza malecela kasema kwa kuwa Warioba kasema ila akizungumza warioba amezungumza kwa sababu gani?Malecela na Warioba haziivi tangu miaka ya tisini walipokosana issue ya urais. Hivyo ilikuwa lazima azungumze tofauti na Warioba kuhusu issue ya bandari.
Ameaibishwaje?Mmeamua kumuabisha mzee wa watu
Mzee Malechela amezeeka hawezi kusoma mkataba.
Ni kichaa tu anayeweza kukubali mashariti ya mkataba wa DP world.
Mzee Tuesday ππ
Msaada wa Mazishi ya Le Mutuz umemfanya mzee ajing'oe ubongo !Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).
Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.
Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.
"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.
Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Mwananchi
Jumanne aachwe apumzikeMzee Malechela amezeeka hawezi kusoma mkataba.
Ni kichaa tu anayeweza kukubali mashariti ya mkataba wa DP world.
Mkataba umesainiwa lini!?..hakuna mkataba Bali Kuna makubaliano baina ya serikali mbili, mkataba wa kitendaji utaingiwa baina ya TPA na DP world