John Mnyika amuumbua Spika kwa kutoa ushahidi wa Ofisi ya Spika kupokea barua ya CHADEMA kuwavua ubunge wanachama wake

Unataka waje wafanyie nyumbani kwako hiyo live conference ya kuwafukuza uanachama ndiyo uamini kuwa walishafukuzwa?
 
Barua ishawekwa hadharani na dispatch iliyosainiwa kuonyesha kupokelewa kwa barua hiyo
 
Ushahidi kuwa hiyo ni dispatch ya Bunge uko wapi? Sio kitabu cha ofisi ya mbunge kibamba hicho? Ushahidi huu ni kama ule wa tukio la Mwenyekiti kuvunjika mguu
Moja ya ubongo zilizoliwa na fangasi utawala ulopita...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…