John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

Duh.. !, Duh...!, Duh...!.
Naomba hapa nisiseme kitu maana kauli huumba, nisije sema kitu halafu kikaja kutokea ikawa mimi niliyekisema nikawa ndiye nimekiumba!.

Ule ukimya wa JJ.MNYIKA mimi niliutafsiri kuwa tayari ameishajitambua na yuko njia kuu kusibiria tuu kuvunjwa kwa Bunge na kupokea zile milioni 100 za kila Mbunge kuagania, kisha ndipo atangaze ... sasa ndie Katibu Katibu Mkuu!.

Haya na tusubiri maana sisi wengine midomo yetu tukisema tuu kitu...

Anyway hongera sana JJ.Mnyika kuukwaa ukatibu Mkuu wa Chadema, sasa ni kama Dr. Slaa amerudi.
P
Ulitarajia baada ya kupata hizo milioni 100 atangaze kwenda wapi?
 
Nafasi ya katibu mkuu wa chama siyo nafasi ya mtu wa kubwabwaja sana. Bali mtu mwenye busara, maono, mbunifu, mtendaji mahiri, mwenye kujiamini na kusimamia kanuni na sera za chama, na mwenye msimamo thabiti juu ya utekelezaji wa maamuzi mbalimbali ya chama.
Vipi,kwani Musiba amechukua fomu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh.. !, Duh...!, Duh...!.
Naomba hapa nisiseme kitu maana kauli huumba, nisije sema kitu halafu kikaja kutokea ikawa mimi niliyekisema nikawa ndiye nimekiumba!.

Ule ukimya wa JJ.MNYIKA mimi niliutafsiri kuwa tayari ameishajitambua na yuko njia kuu kusibiria tuu kuvunjwa kwa Bunge na kupokea zile milioni 100 za kila Mbunge kuagania, kisha ndipo atangaze ... sasa ndie Katibu Katibu Mkuu!.

Haya na tusubiri maana sisi wengine midomo yetu tukisema tuu kitu...

Anyway hongera sana JJ.Mnyika kuukwaa ukatibu Mkuu wa Chadema, sasa ni kama Dr. Slaa amerudi.
P
Mnyika katu hawezi kufanya kama unavyowaza. Nimewasifu Chadema wameirudisha Chadema asilia.
 
Kama ni kweli mmechemsha vilevile, mnyika alikuwa naibu katibu mkuu muda wote kuna nini hajafanya bado? Hana jipya
Mlitakiwa muangalie mtu kariba ya Dr. Bashiru, sio mnaleta mtu ambaye ameshindwa kushine hata kwenye jimbo lake tu!
Una hoja Ila naona watu wanakubeza na wanaendelea hivyo kwasababu mbowe kaamua Ila mnyika Hakuna kitu ilibidi awe John Heche Dr Albanie Kama sijakosea mbele ya jiwe unaleta watu soft Kama mnyika ambao wanakosa hata Ujasiri majimboni mwao iwe taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunywa panadol
Hamuelewagi mapema mpaka baadae mwishoni yakiwakuta ndo mnaanza matusi. Yaani mlichofanya ni status quo. Kwani hamna wanachama wengine wenye uwezo jamani mpaka wanakuwa walewale kila siku miaka nenda miaka rudi!?
 
Hamuelewagi mapema mpaka baadae mwishoni yakiwakuta ndo mnaanza matusi. Yaani mlichofanya ni status quo. Kwani hamna wanachama wengine wenye uwezo jamani mpaka wanakuwa walewale kila siku miaka nenda miaka rudi!?
Ana experience ya kutosha, tumeridhika nae. Hapo mwanzo alikaimu sasa amekabidhiwa mikoba na ana uhuru wa kufanya maamuzi.

Hatuhitaji PhD holders.
 
Una hoja Ila naona watu wanakubeza na wanaendelea hivyo kwasababu mbowe kaamua Ila mnyika Hakuna kitu ilibidi awe John Heche Dr Albanie Kama sijakosea mbele ya jiwe unaleta watu soft Kama mnyika ambao wanakosa hata Ujasiri majimboni mwao iwe taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukorofi ndio sifa kuwa kiongozi CHADEMA?mbona wewe upo nyuma ya keyboard hutoki hadharani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana experience ya kutosha, tumeridhika nae. Hapo mwanzo alikaimu sasa amekabidhiwa niko a na ana uhuru wa kufanya maamuzi.

Hatuhitaji PhD holders.
Huhuhu tunawatakia kila lenye kheri na safari yenu. Naona mmeamua kufanya majaribio kila Mara. Je hivi mpango wa kukamata dola bado mnao?
 
Duh.. !, Duh...!, Duh...!.
Naomba hapa nisiseme kitu maana kauli huumba, nisije sema kitu halafu kikaja kutokea ikawa mimi niliyekisema nikawa ndiye nimekiumba!.

Ule ukimya wa JJ.MNYIKA mimi niliutafsiri kuwa tayari ameishajitambua na yuko njia kuu kusibiria tuu kuvunjwa kwa Bunge na kupokea zile milioni 100 za kila Mbunge kuagania, kisha ndipo atangaze ... sasa ndie Katibu Katibu Mkuu!.

Haya na tusubiri maana sisi wengine midomo yetu tukisema tuu kitu...

Anyway hongera sana JJ.Mnyika kuukwaa ukatibu Mkuu wa Chadema, sasa ni kama Dr. Slaa amerudi.
P
Yaani wee Jamaa bwana
 
Back
Top Bottom