nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
Mzee meko alipokuwa ujenzi(minister)hakuona ufisadi mpaka alipopata urais!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee meko alipokuwa ujenzi(minister)hakuona ufisadi mpaka alipopata urais!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia kusoma ulichoandikaSinilisema mapema? Haya sasa hiyo nifadhira ya myika make anajua hana jimbo mwakani. Myika ni mbunge
Labda alitajia aunge mkono juhudi ili afurahiUlitarajia baada ya kupata hizo milioni 100 atangaze kwenda wapi?
Bingwa wa kushauri, eti we ndo ulimshauri jiwe amteue poleple katibu mwenezi, na bashiru kuwa katibu mkuu.Hamuelewagi mapema mpaka baadae mwishoni yakiwakuta ndo mnaanza matusi. Yaani mlichofanya ni status quo. Kwani hamna wanachama wengine wenye uwezo jamani mpaka wanakuwa walewale kila siku miaka nenda miaka rudi!?
Hamuelewagi mapema mpaka baadae mwishoni yakiwakuta ndo mnaanza matusi. Yaani mlichofanya ni status quo. Kwani hamna wanachama wengine wenye uwezo jamani mpaka wanakuwa walewale kila siku miaka nenda miaka rudi!?
Chama mahututi lakini bado kinatungiwa miswada ya sheria kwa hati ya dharula.Anakabidhiwa Ukatibu Mkuu chama kikiwa mahututi. Hivi naye ni mwana wa kaskazini eeh??
Mlitakiwa muangalie mtu kariba ya Dr. Bashiru, sio mnaleta mtu ambaye ameshindwa kushine hata kwenye jimbo lake tu!
Dogo unaumia sana? Mbona hukuumia jiwe alipomfukuza kinana akamteua bashiru?Hamuelewagi mapema mpaka baadae mwishoni yakiwakuta ndo mnaanza matusi. Yaani mlichofanya ni status quo. Kwani hamna wanachama wengine wenye uwezo jamani mpaka wanakuwa walewale kila siku miaka nenda miaka rudi!?
Mtu mwenye karba ya dr bashiru hafai chadema maana bashiru hatabiliki. Kuna muda huwa anatoa kauli zenye ukakasi. Mbowe hana uvumilivu huo.Mlitakiwa muangalie mtu kariba ya Dr. Bashiru, sio mnaleta mtu ambaye ameshindwa kushine hata kwenye jimbo lake tu!
Mkuu kweli unawapenda chadema, unaweza rudi tu, siasa sio uadui, pia siasa haina rafiki wala adui wa kudumu.
Hizo form six leaves Chadema zitawasumbua hata kwenye mahusiano ya kimataifaJamani hizi PhD ndizo zinawaletea ushindi bila kupingwa, acheni vichwa vya six form viwalaze macho mpaka mnang’oa bendera.
Mkuu Molemo, kwanza ni lazima Chadema mkubali kwenye mambo ya iteligensia nyingi Chadema ni zero, totally empty kabisa! na amini nakuambia kuna watu ambao mko ndani ya box la inside Chadema hamna uwezo wa kuona outside the box.Yaani wee Jamaa bwana
Hizo PhD zenu ndiyo zinatuma kung’oa bendera za six form leavers?Hizo form six leaves Chadema zitawasumbua hata kwenye mahusiano ya kimataifa
Bashiru hopeless kabisa huyu sio yule alikuwa cufMlitakiwa muangalie mtu kariba ya Dr. Bashiru, sio mnaleta mtu ambaye ameshindwa kushine hata kwenye jimbo lake tu!