Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA haijakaa na Tume ya Uchaguzi(NEC) na haina mpango wa kuteua wabunge Viti Maalum

WB, IMF ni wafanya biashara. Hawawezi sikiliza propaganda zetu hapa
 
Very stupid of yuh!
Kama mtateua ni kwa faida yenu, na kama hamtoteua ni kwa hasara yenu wenyewe full stop!
 
Jamani mbonasijasikia.chauma.
 
Very stupid of yuh!
Kama mtateua ni kwa faida yenu, na kama hamtoteua ni kwa hasara yenu wenyewe full stop!
Faida inayotazamwa ni ya Tanzania siyo kununuliwa kupitia ruzuku.

"Upinzani ruzuku" ndiyo CCM inaoutaka na si "Upinzani wa kushika dola".

Chama chochote kuliko kubaki kuwa "chama ruzuku" ni bora hicho chama kife!, maana kitakuwa hakina faida kwa Wananchi
 
Ungejua nilichafua kidole changu kwa ule wino wenu, usingesema hivyo.
Kwani zile kura walizihifadhi police au kwenye kituo cha wapiga kura?

Halafu uchaguzi mwingine usikubali kushikiwa akili hapa JF na tweeter, uaendage field ukawe wakala ili kushuhudia mnavyoshindwa😁😁😁
Pole, hukuchafua kidole ila ulitimiza wajibu wako kikatiba ila kura hazikutosha kumpa ushindi uliyemchagua
Hawa wanaowadanganya na kuwaaminisha kwamba waliibiwa kura hawakua na nia ya dhati ya kufanya vitu sahihi ili kushinda uchaguzi. Waligeuka kufanya ujanja ujanja ambao unawagharimu sasa.
 
Je Chadema inaitambua ruzuku iliyotokana na uchaguzi inayoukataa?
Nikuulize uhai wa mtu ni sawa na ruzuku ya sh. ngapi.

Kuna wanachama wengi wameuawa na polisi wakipigania wabunge wao waingie bungeni kuna wengine wamepoteza viungo wengine wako mahospitalini wengine gerezani, hao wote unawalinganisha na ruzuku?
 
Hata Mimi mwanzo nilifikiria kuwa huyu Mdada aliyeshinda asiende bungeni lakini nimetafakari naona aende tu,akakae zake Kimya akusanye tu hela zake Basi maisha yaendeleee,Ila hawa wa viti maalum hapo ndio mtego nadhani endapo watawateua watakuwa wameingia kwenye mtego
 
Very stupid of yuh!
Kama mtateua ni kwa faida yenu, na kama hamtoteua ni kwa hasara yenu wenyewe full stop!
Utopolo uliofanyika kwenye uchaguzi huu haukubaliki. Uchaguzi ufutwe, iundwe tume huru ya uchaguzi, kisha uchaguzi huru na wa haki ufanyike.
Vinginevyo, bunge liwe la kijani mtindo mmoja
 
Viti maalum mtavipataje wakati hamjapata 5% ya wabunge wa TZ au mimi sielewi wabunge wa viti maalum wanapatikanaje!!

Huna lolote ujualo zaidi ya kupiga Siasa mfu hapa jukwaani. Viti maalum vinatokana na kura za urais. Hata hivyo siwashauri cdm kupeleka viti maalum kutokana na uchaguzi uliokuwa wa kishenzi, kihayani, ukatili wa wazi na umwagaji damu.
 

Hivi unadhani ule upuuzi uliokuwa unafanyika kwenye uchaguzi huu ilikuwa ni siri kufahamika? Achia mbali ule uhayawani wa wagombea wa ccm kupita bila kupingwa kwa mizengwe ya wazi.
 
Hata huyo wa Nkasi lazima ajue ni chama kilichombeba, na msimamo wa chama ni kutoyatambua matokeo yote, kama hakithamini chama na wanachama waliokufa kwa ajili yake anathamini pesa kwanini asiunge juhudi aungane na watesi hatokuwa wa kwanza.
 

Kura za ubunge au urais?
 
We nani kwanza unayesema hayo
,hebu jitambulishe tukujue
 
Chadema ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote Ikulu wasahau

Unaongea utoto gani dogo? Wakati wa Dr. Slaa cdm ikiwa hai mbona haikuchukua hiyo nchi?
 
Jipangeni na 2025, sasa hivi muwe wapole tu kwa mamlaka sababu hakuna chochote mtachofanya kikafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…