citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
WB, IMF ni wafanya biashara. Hawawezi sikiliza propaganda zetu hapaImefahamika kuwa hadi sasa hakuna kikao chochote kilichoketi kati ya Kamati Kuu ya Chadema na Tume ya uchaguzi, na hadi sasa hakuna majina yeyote ya viti maalumu yaliyopelekwa NEC.
Leo serikali ya CCM na NEC wanahaha kufoji saini ya Katibu Mkuu Chadema ili tu wawe na angalau wabunge wa upinzani bungeni, kama walijua hilo kwanini walikuwa wanawaengua.
CCM na serikali yake hawakujua kabla madhara ya kubaki peke yao bungeni kuwa hata wafadhili wa bajeti yetu WB, IMF, EU huangalia kwanza maoni ya kambi ya upinzani ndipo wachangie kiasi gani.
Jambo la msingi ni kuwa Chadema imeshalitambua hilo inasimamia msimamo wake wa kutoyatambua matokeo, na wote watakaoingia bungeni kwa tiketi ya Chadema iwe kwa kufoji au kuhongwa watambue watafutwa uanachama na watakuwa wabunge wa mahakama, na hilo halitakuwa tukio la kwanza kufanywa na Chadema.