NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
mnajazwaga ujinga na viongozi wenu kwenye mitandao.wewe kweli huna akili pumbavu .
Hata yeye mbunge wa Nkasi wapo walioumia kwa ajili yake
Uuh..Aisee!.Unaendaje mahakamani hauna form za matokeo ?
Exactly, naona hivi vitisho vya ruzuku vinatumika sana ili kuwafanya cdm waingie kwenye mtego. Sasa hivi taasisi nyingi humu nchini zinaongozwa kwa weledi duni, kwakuwa viongozi wake huwa wanatishiwa kuwa eti watatolewa kwenye hizo nafasi zenye ulaji. Na yote hiyo inatokana na katiba mbovu, ambayo inampa rais nafasi ya kumchagua na kumtoa yoyote amtakaye. CUF ya Maalim Seif ilisusia ule uchaguzi wa kihuni, mbona waliendelea kuwepo mpaka walivyohamia ACT?
Siwashauri cdm kupeleka Mbunge yoyote kwenye hilo bunge kibogoyo, maana kuwapeleka sasa hivi ni kupata faida ya muda mfupi, huku wakipoteza faida ya muda mrefu wa siasa za nchi yetu.
Ruzuku? ...inahusianaje na special seats women?
Tume ya uchaguzi walitengeneza kanuni ambazo haziwalazimu wasimamizi kutoa fomu za matokeo ili hata kama mgombea ataonewa hatakuwa na ushahidi wa kupeleka mahakamani.Uuh..Aisee!.
Chadema ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote Ikulu wasahau
Basi sawa...... kwakuwa mnyika kasema
1. Kamati Kuu @ChademaTz haijafanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum mpaka sasa
2. Hivyo hakuna orodha iliyopelekwa na Katibu Mkuu kwa NEC.
3. Tumedokezwa wanataka kughushi saini na orodha @TumeUchaguziTZ ifanye uteuzi haramu na @bunge_tz likabariki.
Na kwakuwa hiki chama kimekua kikituhakikishia kwamba ni chama cha demokrasia na maendeleo nchini, na kwamba ni chama chenye misingi bora ya haki na demokrasia, na kwakuwa wamekua wakitulazimisha kuamini kuwa wananchi walio wengi wana imani na chama chao na kwa viongozi wao; ..............basi nategemea kuona hata hiyo orodha iliyoghushiwa itakapotolewa kukataliwa sio na viongozi pekee bali hata na hao ambao majina yao yatakua kwenye hiyo orodha.
Vinginevyo watanzania tutagonga mhuri kwamba chadema ni chama pekee cha viongozi madikteta Tanzania
Wewe inakuuma nini?? Tuliza takoChadema ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote Ikulu wasahau
Wewe sio mwanachama wa Chadema eti hujui kwanini hakukuwa na picha ya mgombea eti hujui kwanini hakukuwa na mawakala.Bwana Myika chama chetu sasa hivi kinahitaji mabadiliko makubwa kiuendeshaji, Kiu tawala, na kiorganisation. Hatutaki maneno na usanii. Nyinyi manapata pesa migongoni kwetu sisi tunaishi bila furaha kwa kukubali mapungufu bila kupaza sauti.
Muda wa kukaa kimya umekwisha the Elephant in the room ni mapungufu yetu wenyewe.
1) Tunakwenda kwenye uchaguzi hata picha ya Presidential Candidate hatuna nchi nzima.
2) Hatuna bajeti ya Mawakala nchi nzima, kila mgombea anajifanyia mambo yake anavyo ona yeye mwenyewe inafaa.,
Mambo mengine ya kichama ni vizuri kumalizana ndani kwa ndani. Lakini usijiaminishe kuwa tutaendelea kuunga mkono baadhi ya maamuzi ya kipumbavu ambayo tunaweza tukayabadilisha.
Mapungufu ni mengi mnoo. UNYUMBU LAZIMA UFIKE MWISHO.
mnajazwaga ujinga na viongozi wenu kwenye mitandao.
mngekuwa mnatakiwa bungeni kiasi icho mpaka kufikia kufoji saini,basi kwanza wasingewakamata viongozi wenu wa chama.
mngeitwa ikulu na Rais mkaongea kisiasa na yakaisha.
mazwazwa mnazugwa na viongozi wenu kwasababu akili zenu ni fupi.
Iloilo mnalolilia nyinyi kutokuwemo.Bunge gani Kwanza, hilo rubber stamp ya serekali?
Very stupid of yuh!
Kama mtateua ni kwa faida yenu, na kama hamtoteua ni kwa hasara yenu wenyewe full stop!
Tume gani wamehangaika? Mnyika kasema hawajateuwa wabunge Sasa Hapo tume inahusikaje? Umsikia Nani wa tume anahangaika?Tume wanahangaika nini ?? Siwalitaka CCM ibaki peke yake bungeni?
Haaaaa I hope jamii yako iko vzr inaenjoy matunda ya CCM WEKENI FAIR GROUND MUONE KAMA IMEKUFA AU LAAAChadema ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote Ikulu wasahau
Subiri ujinga wa chadema watakapo teua viti maalum kuunga mkono uchaguzi maana watatumia kura walizopata kwenye sanduku la kura kuteua wabunge.Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura full stop.
Iloilo mnalolilia nyinyi kutokuwemo.
Hahaaa .nawe ni mwanachama wa chadema? Kama siyo wakipotea kabisa na kufutika inakuhusu Nini? Si itakuwa Safi ili chama chako kiwe juuuuuuCDM ndio mnazidi kupotea hamtaki kuwapa haki wadada wa CDM kupata viti maalumu kisa Mbowe amekosa ubunge
Hichi chama kina ubinafsi sana