GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.