Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe ni wa kujadili haya ya ukilaza? Hata aibu huna......Mnyika ni kilaza mkubwa Yule, na Bora alipokuwa mbunge alikuwa akipata angalau muda wa kuilazimisha akili yake ishike vitu hata isivyoviweza,
Sasa hivi ndio linapalilia ujinga mkubwa kichwani Kwa kuwa hakuna tena u lazima wa kupitia angalau makabrasha ya kutoatoa ujinga, sasa kazi ya Mungu anaitolea ufafanuzi wa kipuuuzi kabisa ule
Anauhakika gani na akisemacho?
Genta, kama hawa mawakala wangeapishwa sehemu ambayo huwa wanaapishwa kwenye chaguzi zote(ofisi za kata) Je hii ajali ingewapata??"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
We dada shishi tulia una mihemko sana, wewe unajua hesabu ya kifo wewe,"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Namkubali sana John Mnyika kwakuwa namjua ana 'IQ' Kubwa sana ila sijui kwanini katika hili 'amepotoka' kiasi hiki.
Heri ya mnyika.Kama wewe ukiwa kwenye heat unakuwa na shida sana
Nao wapuuzi wanaweza wakadai kuwa hata kufanikiwa kwa shetani nako ni mpango wa Mungu...huku ni kukufuru!Wewe kila kunavyokaribia uchaguzi unakuwa mjinga mji ga
"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Hayo mambo yako huko kwenu ccm ,sisi tunaamini kila tukio lina kisababishi."Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Nashukuru sana kwa Uwazi, Ukweli na Ujasiri wako 'uliotukuka' wa kutokuwa 'Mnafiki' na Mtanguliza 'Itikadi' ya 'Kisiasa' katika 'Uhalisia' wa Jambo.Hili liko wazi mkuu,
Naongea haya kukuunga mkono kwa sababu unajua Mimi si mnafiki. Siongei kwa sababu wa urafiki wetu kwani huwa nakupinga kama Nina mawazo tofauti. Ajali hii imesabajishwa na mwendo mkali lakini na aina ya gari pia. Ingeweza kutokea kwa yeyote mahali popote.View attachment 1607468
Kuna 'Binadamu' ambaye ameshaambiwa na mpaka 'Kuhakikishiwa' na Mwenyezi Mungu mahala, muda na Siku ya Kufa? Umehoji 'Upopoma' sana.Genta, kama hawa mawakala wangeapishwa sehemu ambayo huwa wanaapishwa kwenye chaguzi zote(ofisi za kata) Je hii ajali ingewapata??
Nani kasema kila kifo ni mipango ya Mungu. Unajua kazi ya shetani ni nini??Kwani Binadamu ambaye ameshaambiwa na mpaka 'Kuhakikishiwa' na Mwenyezi Mungu mahala, muda na Siku ya Kufa? Umehoji 'Upopoma' mno.
Kazi ya 'Shetani' ni kukufanya uendelee kuwa 'Popoma' hivi.Nani kasema kila kifo ni mipango ya Mungu. Unajua kazi ya shetani ni nini??
Halafu naitwa GENTAMYCINE ( Gentamycine ) na siyo GENTAMICIN ( Gentamicin ) sawa Mkuu? Siku zingine 'usikosee' Kuandika vyema 'ID' yangu.Gentamicin , hapo hata Kama tunaamini vifo Ni karma or whatever, huwezi kuacha kumpa accountability aliyesababisha kwa namna yeyote mazingira au sababu ya kifo.
Kama ingekua hivyo tusingewahukumu Adhabu Kali wanao ua wengine sababu aliyekufa siku yake ilikua imefika.
Hata Mungu hakubaliani na Hilo.
Kibiblia ukifa kijana Ni 70 years.
SamahaniHalafu naitwa GENTAMYCINE ( Gentamycine ) na siyo GENTAMICIN ( Gentamicin ) sawa Mkuu? Siku zingine 'usikosee' Kuandika vyema 'ID' yangu.