GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Umeshasamehewa Mkuu.Samahani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshasamehewa Mkuu.Samahani
Si useme tu mkuu akiwa na genyeKama wewe ukiwa kwenye heat unakuwa na shida sana
Huu ni ujinga kufikiri namna hiyo jaribu kuwa mtu wa haki acha ubabe wa kipumbavu."Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Nikupe mfano halisi kabisa.Mnyika ni kilaza mkubwa Yule, na Bora alipokuwa mbunge alikuwa akipata angalau muda wa kuilazimisha akili yake ishike vitu hata isivyoviweza,
Sasa hivi ndio linapalilia ujinga mkubwa kichwani Kwa kuwa hakuna tena u lazima wa kupitia angalau makabrasha ya kutoatoa ujinga, sasa kazi ya Mungu anaitolea ufafanuzi wa kipuuuzi kabisa ule
Anauhakika gani na akisemacho?
Hawakuwa na travelling ticknicsR.I.P mawakala ,japo mtasama kifo ni mapenzo ya Mungu ila kuna traveling risk ,wangeapishwa kwenye kata sehemu ambapo wasingelazimika kusafiri nadhani hivyo vifo vingeepukika au visingetokea vyote since wote walikuwa pamoja kwenye Gari
Wewe ndio umepotoka pakubwaNamkubali sana John Mnyika kwakuwa namjua ana 'IQ' Kubwa sana ila sijui kwanini katika hili 'amepotoka' kiasi hiki.
Wewe ndio umepotoka pakubwaNamkubali sana John Mnyika kwakuwa namjua ana 'IQ' Kubwa sana ila sijui kwanini katika hili 'amepotoka' kiasi hiki.
Wewe ndo mnyika??Nikupe mfano halisi kabisa.
Kama aliyekuleta duniani asingekuwepo usiku ule kwenye mkesha wa mbio za mwenge,na kukutana na yule mgambo hatimaye wakawa mwili mmoja,wewe ungetokea??