GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Namkubali sana John Mnyika kwakuwa namjua ana 'IQ' Kubwa sana ila sijui kwanini katika hili 'amepotoka' kiasi hiki.Kabisa,
Umenena vyema mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Hili liko wazi mkuu,"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Anataka kuchukua faida.Namkubali sana John Mnyika kwakuwa namjua ana 'IQ' Kubwa sana ila sijui kwanini katika hili 'amepotoka' kiasi hiki.
Japo kuwa kifo ni ahadi, Hakuna kifo kisicho na kisababishi.
Kama wewe ukiwa kwenye heat unakuwa na shida sanaMnyika akisahau kunywa dawa zake huwa ana shida sana, hivyo wakati mwingine siyo yeye anayeongea, ...
unathibitisha Mh.Mnyika ana IQ kubwa sanaNamkubali sana John Mnyika kwakuwa namjua ana 'IQ' Kubwa sana ila sijui kwanini katika hili 'amepotoka' kiasi hiki.
Usifanye conclusion kwa assumption wewe! Haraka haraka hizo za kujaribu kuwahi mabadiliko hayo zilichangia, wala usibishe. Huwezi kukwepa lawama kirahisi hivyo!!"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Mwenyew umepotoka siku hizi umekua fuas jinga la pornstar la kaweNamkubali sana John Mnyika kwakuwa namjua ana 'IQ' Kubwa sana ila sijui kwanini katika hili 'amepotoka' kiasi hiki.
Naomba wataalamu wa hoja ya "Kifo kimepangwa na Mungu" waniambie mtoto wa kike wa miaka miwili anayebakwa na libaba la miaka thelathini mpaka kufa ni Mungu huyu huyu ninayemwabudu mimi anakuwa amepanga mtoto huyo mdogo afe kifo cha aina hiyo?
Wewe kila kunavyokaribia uchaguzi unakuwa mjinga mji ga"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Wewe ndiye mzushi, huyo anazungumzia matokeo. Ndio maana ma RPC kwa mfano, huwa wanaagiza wananchi wakati wa sherehe mbali kuwa na tahadhari ikiwemo kutulia majumbani, ili kuepuka athari zinazoweza kutokea ikiwemo ajali; nakadhalika. Ni mambo ya kawaida hayo!"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa hapa na unapewa muda mfupi wa kwenda kwenye eneo la tukio".Mnyika.
ITV Tanzania
Hata kama hawa 'Marehemu' wangewahi kwenda huko 'Kuapishwa' na ilipangwa 'Kufa' hilo lingetokea tu. Tuache sana kuwa na Lawama na Uzushi.
Bora kuliko standard four leaver!Mnyika ni form six leaver......