Uchaguzi 2020 John Mnyika 'Kifo' huwa hakina 'Hodi' na ikipangwa imepangwa tu, usiihusishe 'Siasa' na Kazi ya Mwenyezi Mungu

Huu ni ujinga kufikiri namna hiyo jaribu kuwa mtu wa haki acha ubabe wa kipumbavu.
 
Nikupe mfano halisi kabisa.
Kama aliyekuleta duniani asingekuwepo usiku ule kwenye mkesha wa mbio za mwenge,na kukutana na yule mgambo hatimaye wakawa mwili mmoja,wewe ungetokea??
 
R.I.P mawakala ,japo mtasama kifo ni mapenzo ya Mungu ila kuna traveling risk ,wangeapishwa kwenye kata sehemu ambapo wasingelazimika kusafiri nadhani hivyo vifo vingeepukika au visingetokea vyote since wote walikuwa pamoja kwenye Gari
Hawakuwa na travelling ticknics
 
Nikupe mfano halisi kabisa.
Kama aliyekuleta duniani asingekuwepo usiku ule kwenye mkesha wa mbio za mwenge,na kukutana na yule mgambo hatimaye wakawa mwili mmoja,wewe ungetokea??
Wewe ndo mnyika??
Habari zako ndio hizo, we kilaza Sana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…