Uchaguzi 2020 John Mnyika: Kuongea na vyombo vya Habari, saa 8 mchana

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Kuongea na vyombo vya Habari, saa 8 mchana

Unachekesha sana Mzee

Watu wooote wanaoweza Kugoma na kuingia Barabarani Au kufanya Mgomo wa aina yoyote kwa Sasa hawapo upande wenu yaani wanamkubali JIWE Mzee wa Kazi, Nazungumzia watu wa kawaida sana Wajasiriamali, Makondakta,Mama ntilie,fundi Gereji, Boda boda wat wa kaz ngumu

Ninyi wenye Degree, Master nk. Tuendeleeni kupeana LIKEs humu na kuretweet kwa sana, Wazee wa white colour Jobs [emoji23][emoji23][emoji23]

ila Swala la Mgomo Sahau kabisa Ndugu yangu

Wewe unaweza kwenda Front wewe Maanina ?
umesahau watu walipogomea uchaguzi baada ya kifo cha Aquiline? kulikuwa na fujo yoyote iliyowafanya watu wasiende kupiga kura? kwa kifupi tu ni kuwa mmejisahau sana na kuwaona watanzania wote ni wajinga,ipo siku na haiko mbali utakuja lipuka moto ambao hamtaweza kuuzima kamwe.
 
Waandishi wa nchi hii nao ni tabula rasa tu.

Press ya mwisho wameenda jamaa kawalisha tangopori la Jamana Printers,kajibiwa kauchuna jumla halafu anawaitia porojo nyingine wanaenda tena.

WTF.
Kwani yule Chakubanga anawaambiaga jambo gani la maana?
 
Tuanze na Chato kuonyesha mfano wa namna ya kulinda demokrasia yetu...huu upuuzi hauvumiliki.
 
ni
Waandishi wa nchi hii nao ni tabula rasa tu.

Press ya mwisho wameenda jamaa kawalisha tangopori la Jamana Printers,kajibiwa kauchuna jumla halafu anawaitia porojo nyingine wanaenda tena.

WTF.
Ni sahihi kabisa sikatai, kama ambavyo Polepole alivyowaita waandishi wa habari kuwaambia maneno ya maana ya kujenga nchi kama haya hapa.
 
Waandishi wa nchi hii nao ni tabula rasa tu.

Press ya mwisho wameenda jamaa kawalisha tangopori la Jamana Printers,kajibiwa kauchuna jumla halafu anawaitia porojo nyingine wanaenda tena.

WTF.
Mtakoma mwaka huu. Wakiend kina Musiba mnafurahi😅😅😅
 
Mm hata kama CHADEMA watakosa wakala kwenye kituo changu,nitaipigia kura hivyohivyo,bora waibe kuliko kutoipigia kura kwa kuwaogopa utopolo FC.
Bora wajue kuwa wanaongiza kura kwa kuiba kura sio kwa kushinda
 
Mashujaa WA nyuma ya keyboard Hao
Hao wote walio humu siku Tundu anasema twende barabarani watakua kwenye TV twitter na humu kuangalia nani ameenda halafu watakua wana post humu

Makundi yote ambayo walikua wanayategemea saa hizi hayapo upande wao kama ulivyosema

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mtakoma mwka huu. Mashujaa wa nyuma ya keyboard ndio tumewafikisha hapa. Kazi mnayo
 
akiwa udsm alivyo disco akaja chadema

093ffc51-1138-4d86-8f8d-698a84dcf16b.jpg

Tulia wewe, acha porojo!
 
Back
Top Bottom