Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume yabanwa kuhusu mawakala kuzungushwa kuapishwa 21/10/2020
Tume inaleta vikwazo kwa nini au na tume nayo inagombea??Hakuna mawakala hakuna uchaguzi period!
Upinzani huu ni wakati wa maamuzi magumu
nccr wamesema mawakala wameapishwa
Mnyika ulichagua mawakala wenye vigezo vipi?
Tutafika MkuuTume inaleta vikwazo kwa nini au na tume nayo inagombea??
huu mwandiko ndio unamuweka jpm madarakani mkuu usisahau tarehe 28 wiki ijayo ile karatasi picha ya juu kabisa weka tiki pale ludi nyumbani kale bia
Mkuu mi sibishani nakuomba usifanye makosa tarehe 28 mkuu weka tiki kwa magufuli akipita lisu itakua matusi mkuu manake watanzania wote tutakua mapunga manake ndio ajenda yake namba moja'ludi' 'kale bia'. Rudi darasani ukajifunze matumizi sahihi ya Kiswahili kwanza. Sibishani na wajinga wasiojua kusoma na kuandika kwa ufasaha.
Jiwe pamoja na CCM ya sasa hivi hamna jeuri ya kushinda kwenye sanduku la kura kama kipindi cha Mkapa Na JK.bila wizi mnajua hamtoboi.Ni aibu kwa CCM kufanya figisu za waziwazi wakati mnadai mnapendwa na wananchi!
Wanamkufuru sana Mungu mara ushoga mara ulevi lazima waadhibiweAisee. Mawakala wengine wa hiki chama washaanza kupata ajali. Mungu ibariki hii nchi
kwanini anafanya uhuni kwenye uchaguzi kama anajiamini?Magufuli mitano tena
amna uhuni mkuu sisi tunapiga kura nyie mnashinda mitandaonikwanini anafanya uhuni kwenye uchaguzi kama anajiamini?
Nafasi ya Jiwe angekuwa samia ningeweza kuchagua CCM.Huyu mama Yeye kama Yeye anao utu!View attachment 1607628
Bonge la chama kwa watanzania