Uchaguzi 2020 John Mnyika: Kuongea na vyombo vya Habari, saa 8 mchana

umesahau watu walipogomea uchaguzi baada ya kifo cha Aquiline? kulikuwa na fujo yoyote iliyowafanya watu wasiende kupiga kura? kwa kifupi tu ni kuwa mmejisahau sana na kuwaona watanzania wote ni wajinga,ipo siku na haiko mbali utakuja lipuka moto ambao hamtaweza kuuzima kamwe.
 
Waandishi wa nchi hii nao ni tabula rasa tu.

Press ya mwisho wameenda jamaa kawalisha tangopori la Jamana Printers,kajibiwa kauchuna jumla halafu anawaitia porojo nyingine wanaenda tena.

WTF.
Kwani yule Chakubanga anawaambiaga jambo gani la maana?
 
Tuanze na Chato kuonyesha mfano wa namna ya kulinda demokrasia yetu...huu upuuzi hauvumiliki.
 
ni
Waandishi wa nchi hii nao ni tabula rasa tu.

Press ya mwisho wameenda jamaa kawalisha tangopori la Jamana Printers,kajibiwa kauchuna jumla halafu anawaitia porojo nyingine wanaenda tena.

WTF.
Ni sahihi kabisa sikatai, kama ambavyo Polepole alivyowaita waandishi wa habari kuwaambia maneno ya maana ya kujenga nchi kama haya hapa.
Your browser is not able to display this video.
 
Waandishi wa nchi hii nao ni tabula rasa tu.

Press ya mwisho wameenda jamaa kawalisha tangopori la Jamana Printers,kajibiwa kauchuna jumla halafu anawaitia porojo nyingine wanaenda tena.

WTF.
Mtakoma mwaka huu. Wakiend kina Musiba mnafurahiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mm hata kama CHADEMA watakosa wakala kwenye kituo changu,nitaipigia kura hivyohivyo,bora waibe kuliko kutoipigia kura kwa kuwaogopa utopolo FC.
Bora wajue kuwa wanaongiza kura kwa kuiba kura sio kwa kushinda
 
Mtakoma mwka huu. Mashujaa wa nyuma ya keyboard ndio tumewafikisha hapa. Kazi mnayo
 
Karne ya 21 mtu huwezi kuandika Kiswahili fasaha ni ujinga uliokithiri
huu mwandiko ndio unamuweka jpm madarakani mkuu usisahau tarehe 28 wiki ijayo ile karatasi picha ya juu kabisa weka tiki pale ludi nyumbani kale bia
 
huu mwandiko ndio unamuweka jpm madarakani mkuu usisahau tarehe 28 wiki ijayo ile karatasi picha ya juu kabisa weka tiki pale ludi nyumbani kale bia
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…