Uchaguzi 2020 John Mnyika: Tutawaandikia NEC wachukue hatua dhidi ya mgombea Urais wa CCM kwa kukiuka maadili ya uchaguzi

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!


 
Mnajichosha bure tu! Huu mda wa thamani ni bora mngeutumia kufocus kwenye kampeni, kutangaza Sera zenu! Hivi hamkumuelewa Bashiru alivyo sema kuwa na faida ya dola? Magu bado ni Raisi, kwenye changamoto lazima atatue!

Hatuwezi kuacha kufanya maendeleo eti kisa uchaguzi, hizo zama zishapita mda mrefu! Jifunzeni kuelewa maana ya "hapa kazi tu" Magu 5 tena kazi inaendelea!
 
Mkuu na zaidi ya yote hapo katiba haijamuongelea Rais inamzungumza Waziri,na sio Rais, Waziri akipewa maagizo anampa mtendaji kwa kuwa Katiba inamzuia yeye kufanya hivyo, lakini aliyeagiza ni Rais wa JMT.
 
NEC Hii Hii
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€¨πŸ˜‘
 

Tunataka tuondoe viongozi wanaoendekeza dhulma, nepotism & institutionalised grand corruption. wananchi wameitambua hii adhma kupitia kwa Mh Tundu Lissu, hivyo kuanzia mwakani kila ifikapo tarehe 28 Oktoba itakuwa ni kusherehekea sikukuu mpya ya uhuru mpya (aka ukombozi) wa Tanzania.

bring on ukombozi day!
 
Kesi ya nyani kupeleka kwa ngedere kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…