Uchaguzi 2020 John Mnyika: Tutawaandikia NEC wachukue hatua dhidi ya mgombea Urais wa CCM kwa kukiuka maadili ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Tutawaandikia NEC wachukue hatua dhidi ya mgombea Urais wa CCM kwa kukiuka maadili ya uchaguzi

Inawezekana hao NEC tena kwa kauli ya mkurugenzi 'mahera' kuwa hawezi kuona bosi wake anatukanwa akakaa kimya, hawataweza kufanya lolote, ila endapo umma ukiamua kutaka mabadiriko kwa garama yoyote basi hata huyo mahera atakimbilia musoma kujificha, kila jambo lina muda katika maisha.
 
Wewe hujaelewa nini hapo? Hiyo Kwa Lisu ni advantage, Ana leverage umeelewa! Anatangaza hyo halafu anaitumia kumbamiza! Na NEC wanaguna hawafanyi kitu. Mlisoma shule zipi?
Sio rahisi hivyo, anapoteza mda tu, kama kakosa Sera za kutushawishi akae kimyaa!
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886
Mnyika hata wewe sheria huzijui za Nchi ambayo mnataka kuitawala? Hivi Rais ni mingoni mwa watendaji wa Serikali?
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886

Kwani Tanzania saizi haina Rais au?

Mbona CHADEMA wamechanganyikiwa hivi, basi sisi watuoneshe Raisi Mwingine wa kumlilia hali.
Yaani kwa akili za kitoto hiiz ndo wanataka Urais, Ubunge na Udiwani.
Ndiyo Maana Wakimaliza eneo Mkutano wanaacha wananchi wanajiuliza maswali yafuatayo-:

1. Mbona Mgombea Urais toka mwanzo hadi Mwisho wa hotuba zake analalamika tu na Anasahau kujiombea kura, kuwaombea Wabunge kura na kuwasaidia wa Vyama vingine Mfano akiwa Kigoma.

2. Mbona Mgombea hatuelezi Sera zake kazi kulalamikia Wengine mbona hatuelewi Wananchi.

NB: Wabunge wa Chadema wamebaki kama Yatima kwani hata kufika Kigoma ni kama alilazimishwa baada ya Uongozi wa Chadema Kigoma kutaka kugomea ushiriki wao kwenye ziara. Cha ajabu walichokutana nacho nikunadiwa Mpinzani wa Francis Exavery Mangu aitwaye Msaliti wa Chadema.

Ukiwa na Mgeni rasmi kama Tundu Lissu ni aibu sana Jimboni kwako 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Inawezekana hao NEC tena kwa kauli ya mkurugenzi 'mahera' kuwa hawezi kuona bosi wake anatukanwa akakaa kimya, hawataweza kufanya lolote, ila endapo umma ukiamua kutaka mabadiriko kwa garama yoyote basi hata huyo mahera atakimbilia musoma kujificha, kila jambo lina muda katika maisha.
Wewe Gharama yoyote unayoitaka utaiweza? au Unataka kuchochea tu halafu uwaachie wenzako wateseke.
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886
Ingawa NEC hawana meno lakini makosa ya Magufuli na wapiga kampeni za CCM hata Mtoto wa shule ya msingi anaweza kuchukua hatua stahili akipewa hata robo tu ya madaraka ya Tume na kanuni/maadili ya uchaguzi mezani kwake.

Tango michakato ya uchaguzi mkuu huu ianze,CCM wamekuwa wakikiuka kanuni na maadili kila Siku ya Mungu.Tume ingelikuwa Huru,CCM ingeshakuwa mtazamaji wa uchaguzi huu.Makosa yaliyo dhahiri yanatendeka na hakuna hatua zinazochukuliwa.

Dawa ya kudumu ni kuwanyima kura,tuwape viongozi wanaoheshimu Sheria,Kanuni,Maadili na Katiba ya Nchi.CCM siyo miongoni mwao.
 
Ndoto za mchana hizi dah NEC hii ya kubadilisha form na kuengua wagombea imwadhibu JPM ? hampo seriously
We are more than serious, Justice must be saved.Hizo kanuni zilitungwa ili zipambe makaratasi na Kuna wagombea haziwahusu?
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886

Ni kweli, sasa basi kwa Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye anatoa ahadi ya kutokukusanya kodi, ili wafanya biashara wadanganyike kumpigia kura. Nyuma ya pazia anataka kuweka rehani migodi ya madini ili akopeshwe kuendesha nchi. Je, uchumi utakuaje?

Hatuwezi na hatutasahau usaliti wake huu
 
Mnajichosha bure tu! Huu mda wa thamani ni bora mngeutumia kufocus kwenye kampeni, kutangaza Sera zenu! Hivi hamkumuelewa Bashiru alivyo sema kuwa na faida ya dola? Magu bado ni Raisi, kwenye changamoto lazima atatue! Hatuwezi kuacha kufanya maendeleo eti kisa uchaguzi, hizo zama zishapita mda mrefu! Jifunzeni kuelewa maana ya "hapa kazi tu" Magu 5 tena kazi inaendelea!
Zama zimepita pamoja na katiba au una maana gani mdau? Ila kama wewe ni Mataga basi uko sahihi
 
Una undugu mpaka kuumia?
Wewe Gharama yoyote unayoitaka utaiweza? au Unataka kuchochea tu halafu uwaachie wenzako wateseke.
...shule uliyosoma walikukimbiza kuhitimu soma uelewe kijana wangu, " ...ila endapo umma ukiamua kutaka mabadiriko kwa garama yoyote..."
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886
Raisi hajatajwa hapo kwenye hiyo sheria uliyobandika!
 
NEC ikipata barua ya Chadema halafu isipochukua hatua yoyote itampa Tundu Lissu uwanja mpana zaidi wa kupiga spana za hatari dhidi ya Magufuli, na NEC haiwezi kufanya fyoko. ndiyo tafsiri fupi na rahisi ya uzi huu!

uPO SAHIHI MANA WATAKUW AGUILTY NA DEFENCE KW AMAAMUZI AMABYO HAWAJAFANYA.
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

Na akishinda, yeye na tume ya uchaguzi washitakiwe kwa kunajisi sheria za uchaguzi!
 
Back
Top Bottom