Uchaguzi 2020 John Mnyika: Tutawaandikia NEC wachukue hatua dhidi ya mgombea Urais wa CCM kwa kukiuka maadili ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Tutawaandikia NEC wachukue hatua dhidi ya mgombea Urais wa CCM kwa kukiuka maadili ya uchaguzi

Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886
Sisi wananchi tunavyojua ni kwamba Magufuli bado ni Rais wa Tanzania ambapo bado anaendelea kuwatumikia wananchi na mamlaka yake yataisha pindi tu atakapoapishwa Rais mwingine kwa hyo tusitoe ufahamu kuwa Magufuli ana kofia mbili yani ya chama na serikali manake haimaanishi kuwa kwa sababau tupo kwenye kampeni za uchaguzi Sasa maisha yasimame hapana. Tuache kupotosha wananchi kwa hoja dhaifu Kama hizi lakini pia kwa kuwa TUME ni wataalam wa Sheria watawajibu kulingana na miongozo hyo
 
Mnajichosha bure tu! Huu mda wa thamani ni bora mngeutumia kufocus kwenye kampeni, kutangaza Sera zenu! Hivi hamkumuelewa Bashiru alivyo sema kuwa na faida ya dola? Magu bado ni Raisi, kwenye changamoto lazima atatue! Hatuwezi kuacha kufanya maendeleo eti kisa uchaguzi, hizo zama zishapita mda mrefu! Jifunzeni kuelewa maana ya "hapa kazi tu" Magu 5 tena kazi inaendelea!
umesoma katiba hapo juu au ubishi wa kijiwe cha kahawa
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886
Well calculated move
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886
Huyu Mnyika naye kadorolaaaaa kama kuku mwenye mdondo.
 
Mnajichosha bure tu! Huu mda wa thamani ni bora mngeutumia kufocus kwenye kampeni, kutangaza Sera zenu! Hivi hamkumuelewa Bashiru alivyo sema kuwa na faida ya dola? Magu bado ni Raisi, kwenye changamoto lazima atatue! Hatuwezi kuacha kufanya maendeleo eti kisa uchaguzi, hizo zama zishapita mda mrefu! Jifunzeni kuelewa maana ya "hapa kazi tu" Magu 5 tena kazi inaendelea!
Wewe hujaelewa nini hapo? Hiyo Kwa Lisu ni advantage, Ana leverage umeelewa! Anatangaza hyo halafu anaitumia kumbamiza! Na NEC wanaguna hawafanyi kitu. Mlisoma shule zipi?
 
Huyu Mnyika naye kadorolaaaaa kama kuku mwenye mdondo.
Mkuu wewe umeajiliwa kwenye vikampuni vya ulinzi (from uzi wako) hujapata ajira tangu utoke chuo

Lakini unawaponda wapinzani asee tz kazi ipo
 
Mkuu wewe umeajiliwa kwenye vikampuni vya ulinzi (from uzi wako) hujapata ajira tangu utoke chuo

Lakini unawaponda wapinzani asee tz kazi ipo
Mimi siyo msukule wa takataka yoyote.

Nazungumza mambo kama ninavyoona.

Ishtoshe kwenye maisha yangu sijawahi kutegemea kusaidiwa na wala hakuna mbuzi yeyote mwenye uwezo wa kuninyang'anya uhuru wangu kwa sababu yoyote ile.
 
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.

Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!

View attachment 1575884
View attachment 1575886
Ibara ya 42(3)(a) ya katiba ya JMT, 1977!! Rais atashika madaraka ya kiti cha Rais hadi siku ambayo mtu anayemfuatia kushika kiti hicho atakapo kula kiapo cha kushika madaraka ya Rais.
 
NEC hawatomfanya kitu huyu. Kisingizo ni kwamba alitoa ahadi/maagizo/amri hiyo kama Rais wa Nchi
Hata ziara ya Rais wa Burundi ni kinyume na kanuni za uchaguzi.

Kikwete akiwa Rais alizuiwa kuingia Sweden au Denmark kama sikosei kwa sababu walikuwa kwenye kampeni na waziri mkuu wao alikuwa anagombea, hivyo Kikwete aliambiwa aje baada ya uchaguzi kwa sababu kwa kupindi cha uchaguzi ziara yake itamnufaisha waziri mkuu.
 
Back
Top Bottom