Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bora nichague hata kinyesi lakini siyo CCMTupunguze mzuka haya ni maigizo kama ya kaole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora nichague hata kinyesi lakini siyo CCMTupunguze mzuka haya ni maigizo kama ya kaole
Sisi wananchi tunavyojua ni kwamba Magufuli bado ni Rais wa Tanzania ambapo bado anaendelea kuwatumikia wananchi na mamlaka yake yataisha pindi tu atakapoapishwa Rais mwingine kwa hyo tusitoe ufahamu kuwa Magufuli ana kofia mbili yani ya chama na serikali manake haimaanishi kuwa kwa sababau tupo kwenye kampeni za uchaguzi Sasa maisha yasimame hapana. Tuache kupotosha wananchi kwa hoja dhaifu Kama hizi lakini pia kwa kuwa TUME ni wataalam wa Sheria watawajibu kulingana na miongozo hyoHivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.
Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!
View attachment 1575884
View attachment 1575886
Kwa tuliokuelewa ni kwamba umebaki kama umepigwa shoti ya umeme na usijue cha kuandika kujibu hoja!Matokeo yake ukatafuta relief kwa kuandika ulichoandika!Chadema a.k.a malalamiko fc
umesoma katiba hapo juu au ubishi wa kijiwe cha kahawaMnajichosha bure tu! Huu mda wa thamani ni bora mngeutumia kufocus kwenye kampeni, kutangaza Sera zenu! Hivi hamkumuelewa Bashiru alivyo sema kuwa na faida ya dola? Magu bado ni Raisi, kwenye changamoto lazima atatue! Hatuwezi kuacha kufanya maendeleo eti kisa uchaguzi, hizo zama zishapita mda mrefu! Jifunzeni kuelewa maana ya "hapa kazi tu" Magu 5 tena kazi inaendelea!
Well calculated moveHivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.
Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!
View attachment 1575884
View attachment 1575886
Ni kwa minajili ya kumbukumbu kila kitu kinafanywa kwa faida ya baadaeKwa NEC hii chadema wanatwanga maji kwenye kinu.Magu anafanya atakacho
Thus is meant to keep recordNdoto za mchana hizi dah NEC hii ya kubadilisha form na kuengua wagombea imwadhibu JPM ? hampo seriously
Huyu Mnyika naye kadorolaaaaa kama kuku mwenye mdondo.Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.
Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!
View attachment 1575884
View attachment 1575886
Wewe hujaelewa nini hapo? Hiyo Kwa Lisu ni advantage, Ana leverage umeelewa! Anatangaza hyo halafu anaitumia kumbamiza! Na NEC wanaguna hawafanyi kitu. Mlisoma shule zipi?Mnajichosha bure tu! Huu mda wa thamani ni bora mngeutumia kufocus kwenye kampeni, kutangaza Sera zenu! Hivi hamkumuelewa Bashiru alivyo sema kuwa na faida ya dola? Magu bado ni Raisi, kwenye changamoto lazima atatue! Hatuwezi kuacha kufanya maendeleo eti kisa uchaguzi, hizo zama zishapita mda mrefu! Jifunzeni kuelewa maana ya "hapa kazi tu" Magu 5 tena kazi inaendelea!
Mkuu wewe umeajiliwa kwenye vikampuni vya ulinzi (from uzi wako) hujapata ajira tangu utoke chuoHuyu Mnyika naye kadorolaaaaa kama kuku mwenye mdondo.
Mimi siyo msukule wa takataka yoyote.Mkuu wewe umeajiliwa kwenye vikampuni vya ulinzi (from uzi wako) hujapata ajira tangu utoke chuo
Lakini unawaponda wapinzani asee tz kazi ipo
Ibara ya 42(3)(a) ya katiba ya JMT, 1977!! Rais atashika madaraka ya kiti cha Rais hadi siku ambayo mtu anayemfuatia kushika kiti hicho atakapo kula kiapo cha kushika madaraka ya Rais.Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.
Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya uteuzi wa Magufuli kugombea urais.
Za chini chini zinasema kuna watu walikuwa wamepangwa kumuwekea pingamizi Lissu lakini waliposikia yeye anamwekea Magufuli waka freeze!
View attachment 1575884
View attachment 1575886
Hata ziara ya Rais wa Burundi ni kinyume na kanuni za uchaguzi.NEC hawatomfanya kitu huyu. Kisingizo ni kwamba alitoa ahadi/maagizo/amri hiyo kama Rais wa Nchi
Chadema wapo sahihi kuweka kumbukumbu sawa.Ndoto za mchana hizi dah NEC hii ya kubadilisha form na kuengua wagombea imwadhibu JPM ? hampo seriously
Mkuu hivi wewe ni taahira au? Malalamiko fc vipi wakati umewekewa na vifungo kabisa vinavyoonyesha rais amekiuka sheria ya uchaguzi?Chadema a.k.a malalamiko fc