Wewe unaishi kwenye nchi ya kusadikika ya Tz......Tz yupi wa kubizana na mtu mwenye bunduki
Hivi we jamaa utafikiri kweli kabla ya kuandika? Utasemaje amejiteka ingali hapo ulipotoa hiyo quotation imeeleza wazi Watu wenye silaha Na magari mawili ndio wamemchukua? KWANI NI LAZIMA UIONYESHE JAMII KILEMA CHAKO CHA KUFIKIRI KWA UWAZI HIVYO?Labda amejiteka kama Abdul Nondo ?
Wewe unaishi kwenye nchi ya kusadikika ya Tz......Tz yupi wa kubizana na mtu mwenye bunduki
Kama wao ni chanzo cha kupotezwa wapotezwe Tu Kwa maslai mapana ya nchi maana mtu anayesababisha kupotezwa anaweza yeye kwa upande mwingine amepoteza wengi Kwa njia ya moja kwa moja au matendo yake yanasababisha watu wengine kupotea, maana mafisadi wanapoteza watu sana.Watanzania yani kama hili suala mtalichukulia la kawaida kila mara mtu anachukuliwa na magari yasiyo na plate number na pia polisi kuendele kukana kwamba hawahusiki hili jambo tutalizoea na itakuwa shida.
Ifikie mahali tulikatae kwa umoja ikiwezekana wakitokea watu wa hivyo wananchi tusiogope silaha tutoke mbele tuonyeshe mfano kwa wachache hao watekaji kuwapiga na kuua hata wengine watajifunza.
Tuacheni uoga na ss tuanze kutega mitego ya kuwanasa,ifikie mahali hali hii ikome mara moja kwa kuwaadabisha.
Pia nimshauri mwenyekiti wa cdm taifa ita vyombo vya habari elekeza kuwa inapotokea jambo kama hilo na sisi tuwajibike kujibu lkn ukikaa kimya kila linapotokea tunaona kawaida litazoeleka.
Viongozi mfike mahali muelewe tu kwamba pia hampendwi ktk taifa hili hasa wa upinzani hivyo hakuna haja ya kuweka ustaarabu mbele,haki lazima ipiganiwe kwa vitendo sio maneno ya faraja faraja kama watu wako msibani,tunapigania uhai wetu wapinzani.
Swelana.
Watanzania yani kama hili suala mtalichukulia la kawaida kila mara mtu anachukuliwa na magari yasiyo na plate number na pia polisi kuendele kukana kwamba hawahusiki hili jambo tutalizoea na itakuwa shida.
Ifikie mahali tulikatae kwa umoja ikiwezekana wakitokea watu wa hivyo wananchi tusiogope silaha tutoke mbele tuonyeshe mfano kwa wachache hao watekaji kuwapiga na kuua hata wengine watajifunza.
Tuacheni uoga na ss tuanze kutega mitego ya kuwanasa,ifikie mahali hali hii ikome mara moja kwa kuwaadabisha.
Pia nimshauri mwenyekiti wa cdm taifa ita vyombo vya habari elekeza kuwa inapotokea jambo kama hilo na sisi tuwajibike kujibu lkn ukikaa kimya kila linapotokea tunaona kawaida litazoeleka.
Viongozi mfike mahali muelewe tu kwamba pia hampendwi ktk taifa hili hasa wa upinzani hivyo hakuna haja ya kuweka ustaarabu mbele,haki lazima ipiganiwe kwa vitendo sio maneno ya faraja faraja kama watu wako msibani,tunapigania uhai wetu wapinzani.
Swelana.
Watanzania yani kama hili suala mtalichukulia la kawaida kila mara mtu anachukuliwa na magari yasiyo na plate number na pia polisi kuendele kukana kwamba hawahusiki hili jambo tutalizoea na itakuwa shida.
Ifikie mahali tulikatae kwa umoja ikiwezekana wakitokea watu wa hivyo wananchi tusiogope silaha tutoke mbele tuonyeshe mfano kwa wachache hao watekaji kuwapiga na kuua hata wengine watajifunza.
Tuacheni uoga na ss tuanze kutega mitego ya kuwanasa,ifikie mahali hali hii ikome mara moja kwa kuwaadabisha.
Pia nimshauri mwenyekiti wa cdm taifa ita vyombo vya habari elekeza kuwa inapotokea jambo kama hilo na sisi tuwajibike kujibu lkn ukikaa kimya kila linapotokea tunaona kawaida litazoeleka.
Viongozi mfike mahali muelewe tu kwamba pia hampendwi ktk taifa hili hasa wa upinzani hivyo hakuna haja ya kuweka ustaarabu mbele,haki lazima ipiganiwe kwa vitendo sio maneno ya faraja faraja kama watu wako msibani,tunapigania uhai wetu wapinzani.
Swelana.
Kashaonja damu za watu hataacha, na akimaliza tu CHADEMA anaanza CCM wenzie.. Kina Bashe, Nape, Kinana, Shabiby, Mo, makamba n.k wajiandaeTikio hili linaenda kuidharirisha taasisi ya urais, muda utaongea labda wasi mben saa 8
Kama wao ni chanzo cha kupotezwa wapotezwe Tu Kwa maslai mapana ya nchi maana mtu anayesababisha kupotezwa anaweza yeye kwa upande mwingine amepoteza wengi Kwa njia ya moja kwa moja au matendo yake yanasababisha watu wengine kupotea, maana mafisadi wanapoteza watu sana.
Chadema kwa kujitekaWeka hapa matusi aliyotukana. Kama kusema kitu tofauti na matamanio yenu inakuwa ni matusi Basi mtatukanwa sana.
Itafika tu, uuliwe watoto wako au mkeo au mmeo utakubali unazungumza kama mtu mjingaWewe unaishi kwenye nchi ya kusadikika ya Tz......Tz yupi wa kubizana na mtu mwenye bunduki
Watanzania yani kama hili suala mtalichukulia la kawaida kila mara mtu anachukuliwa na magari yasiyo na plate number na pia polisi kuendele kukana kwamba hawahusiki hili jambo tutalizoea na itakuwa shida.
Ifikie mahali tulikatae kwa umoja ikiwezekana wakitokea watu wa hivyo wananchi tusiogope silaha tutoke mbele tuonyeshe mfano kwa wachache hao watekaji kuwapiga na kuua hata wengine watajifunza.
Tuacheni uoga na ss tuanze kutega mitego ya kuwanasa,ifikie mahali hali hii ikome mara moja kwa kuwaadabisha.
Pia nimshauri mwenyekiti wa cdm taifa ita vyombo vya habari elekeza kuwa inapotokea jambo kama hilo na sisi tuwajibike kujibu lkn ukikaa kimya kila linapotokea tunaona kawaida litazoeleka.
Viongozi mfike mahali muelewe tu kwamba pia hampendwi ktk taifa hili hasa wa upinzani hivyo hakuna haja ya kuweka ustaarabu mbele,haki lazima ipiganiwe kwa vitendo sio maneno ya faraja faraja kama watu wako msibani,tunapigania uhai wetu wapinzani.
Swelana.
Chadema kwa kujiteka