Watanzania yani kama hili suala mtalichukulia la kawaida kila mara mtu anachukuliwa na magari yasiyo na plate number na pia polisi kuendele kukana kwamba hawahusiki hili jambo tutalizoea na itakuwa shida.
Ifikie mahali tulikatae kwa umoja ikiwezekana wakitokea watu wa hivyo wananchi tusiogope silaha tutoke mbele tuonyeshe mfano kwa wachache hao watekaji kuwapiga na kuua hata wengine watajifunza.
Tuacheni uoga na ss tuanze kutega mitego ya kuwanasa,ifikie mahali hali hii ikome mara moja kwa kuwaadabisha.
Pia nimshauri mwenyekiti wa cdm taifa ita vyombo vya habari elekeza kuwa inapotokea jambo kama hilo na sisi tuwajibike kujibu lkn ukikaa kimya kila linapotokea tunaona kawaida litazoeleka.
Viongozi mfike mahali muelewe tu kwamba pia hampendwi ktk taifa hili hasa wa upinzani hivyo hakuna haja ya kuweka ustaarabu mbele,haki lazima ipiganiwe kwa vitendo sio maneno ya faraja faraja kama watu wako msibani,tunapigania uhai wetu wapinzani.
Swelana.