Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwoti reply yako kama ukumbusho wa baadaye.Huyu ametekwa na Chadema ili wapate huruma ya watz lakini sisi hatuna mpango tunaendelea na kazi zetu tu!
Ben Rabiu Saanane ana miaka sasa
Azory gwanda ana siku 500+
Mdude chadema day one
Mungu ibariki Tanzania
Naomba wapenda amani popote duniani ulipo kila ukiamka andika namba ya siku hiyo tunaanza Leo ambapo mdude chadema ametekwa
Day 1
Damu yoyote inayomwagwa bila hatia italipwa tu , tena italipwa pakubwa mno ! Omar Al - Bashir nchini Sudan alikuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Mungu , Mtume aliwekwa namba 3 , leo yuko wapi ?Ben Rabiu Saanane ana miaka sasa
Azory gwanda ana siku 500+
Mdude chadema day one
Mungu ibariki Tanzania
Naomba wapenda amani popote duniani ulipo kila ukiamka andika namba ya siku hiyo tunaanza Leo ambapo mdude chadema ametekwa
Day 1
Damu yoyote inayomwagwa bila hatia italipwa tu , tena italipwa pakubwa mno ! Omar Al - Bashir nchini Sudan alikuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Mungu , Mtume aliwekwa namba 3 , leo yuko wapi ?
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
tuombe Mungu atupe uhai , tuendako ni kuzuri mno !Kabisa Mkuu.
Best in real nopo drunk alafu anapata habari kiasi hiki.!mkuu weekend hii..uko drunk nini? lol
Matus anayo mamayako vinginevyo usingezaliwa.Huyu kijana ana matusi sana..nadhan hakupata malezi mazuri
Ndio maana zacharia kule Musoma aliwatandika risasi wakaamua kumfungulia kesi ya uhujum uchumi badala ya kesi ya kudhuru maana waliona hawatachomoka.Mkuu kuhesabu siku kutafanya arudi.??? siku wananchi tukiacha uoga na kudeal na hawa watekaji ndio suluhu ya haya mambo yatapatikana
Dawa yao ni kupambana nao ikibidi kuwaua ili wanyooke.Mkuu kuhesabu siku kutafanya arudi.??? siku wananchi tukiacha uoga na kudeal na hawa watekaji ndio suluhu ya haya mambo yatapatikana
Mkuu kuhesabu siku kutafanya arudi.??? siku wananchi tukiacha uoga na kudeal na hawa watekaji ndio suluhu ya haya mambo yatapatikana
Mie wamenishangaza majiran wa hapo ofisini jaman..mnashuhudia vurugu mmeangalia tu...dah
[emoji1589][emoji1589][emoji1589][emoji1589]maza fack u bitc.hhhHuyu kijana ana matusi sana..nadhan hakupata malezi mazuri
Watekaji walikuwa na vya motobroo! unataka kusema ungefanyeje?