Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna baadhi walivuka mpaka na kufanya mambo ya ajabu sana. Kuna bwege mmoja anaitwa Assenga, yaani alikuwa kama kichaa. Ni wale wachaga wenye kalba kama za wahuni wa stendi. Ila nakuunga mkono kuwa wasifukuze labda iwe lazima sana. Wawaache tu, wenyewe wanaweza kujifukuza wenyewe, iwapo hawana madhara.Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.
Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.
Tunafikiri hili jambo halitakokea.
Tatizo kubwa ni rushwa. Na TL aliahidi na kujitanaibisha mapema kabisa kuwa akichukua uongozi atasafisha chama. Jaribu kufikiria kama yeye alikuwa mkuu wa nidhamu ndani ya chama je mangapi anayajua?Kwahio Chama ni cha New Administration na Sio Wanachama wote ? Mbona kama mnafanya recycling ya kile ambacho mlitaka kukiondoa ?
Nadhani ifike wakati kuwe na mgombea Binafsi sababu hivi vyama ni kama vimekuwa magenge ya individuals na sio mkusanyiko wa watu wenye itikadi sawa...
econonist G Sam OKW BOBAN SUNZU Bams msiwafukuze kina Fundi Mchundo Retired FUSO Ngongo Stuxnet Chadema sio poa kabisa...
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
Kwani amemkosea Nini lissu mpaka atake kumfuta uanachama? Mbona sikuwahi kumsikia kwenye kampein akimsema vibaya lissu??Ila wanampenda sana... mpaka muda huu wa saa 12 jioni bado yupo tu... yaani bado tu ni mwanachama wa Chadema???? Daah hakika Lissu hana kisasi
True. Halafu Mrema na huyo Assenga sidhani kama ni wanasiasa. Hawa walikuwa wapambe wa Mbowe tu.Unajua hawa kina mrema walijua watakaa milele pale kiburi kikawajaa. Ghafla mambo yamebadilika hata wakibaki wataonekana nuksi tu bora waondoke wakafanye siasa kwingine
Alete ushahidi.
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
Kwani Mrema anachukuliwa hatua kwa ajili ya Freedom of Speech au fedha za Abdul? Hujui hawa ndo wamekula fedha za Abdul kwa nia ya kuiangamiza Chadema?Kama ni kweli anachoongea Mrema basi ni makosa CHADEMA tumatakiwa tuonyeshe kuheshimu freedom of Speech kwa vitendo.
Mbona Mbowe alitangaza kuwa angewafukuza wapambe wa Lissu kama angeshinda!! Sasa nyie chawa wa Mbowe mtulie mnapotaka kunyolewa! Kuna Mrema na mwingine Sijui Kigaigai Hawa lazima wapishe wala rushwa; ndio waliokula hela za Samia pamoja na Mbowe. Huo ni mtaji tosha wakaanzishe biashara.Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.
Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.
Tunafikiri hili jambo halitakokea.
Eeeh mbona mapema sana!!Aende tu; ana sura ya deal sana
Hiyo ni chaga gang, walifikiri chadema ni mali yao sasa hawaamini macho yao. Walifikiri ni km Precision Air au IPPMediaJohn MREMA alikuwa ni muumini saana wa UKANDA, TAL, ondoa huyu jamaa mara moja na kuna yule Asenga wa TABATA Nae yukokundi moja na huyu MREMA.
Ni kweli kuna tuhuma za RUSHWA lakini sio kumzuia Mwanachama yeyote kuzungumza au kutoa maoni yake.Kwani Mrema anachukuliwa hatua kwa ajili ya Freedom of Speech au fedha za Abdul? Hujui hawa ndo wamekula fedha za Abdul kwa nia ya kuiangamiza Chadema?
Tumsikilize HOJA zake halafu tuwe fair, we're stronger together.Hajakatazwa hata kufanya hiyo press yeye mwenyewe guilty consciousness ndiyo inamtesa
Sawa kabisa ataongea then tutam judge kwa maneno yake,ila sidhani kama kuna mtu anazungumza lugha ya kufukuza wanachama huo ni ushamba,huu ni wakati wa kukusanya wanachama siyo kutawanya,wanachama ndiyo mtaji wa chama.Tumsikilize HOJA zake halafu tuwe fair, we're stronger together.