Pre GE2025 John Mrema: Wanataka kunifukuza uanachama. Wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme

Pre GE2025 John Mrema: Wanataka kunifukuza uanachama. Wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.

Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.

Tunafikiri hili jambo halitakokea.
Kuna baadhi walivuka mpaka na kufanya mambo ya ajabu sana. Kuna bwege mmoja anaitwa Assenga, yaani alikuwa kama kichaa. Ni wale wachaga wenye kalba kama za wahuni wa stendi. Ila nakuunga mkono kuwa wasifukuze labda iwe lazima sana. Wawaache tu, wenyewe wanaweza kujifukuza wenyewe, iwapo hawana madhara.
 
Kwahio Chama ni cha New Administration na Sio Wanachama wote ? Mbona kama mnafanya recycling ya kile ambacho mlitaka kukiondoa ?

Nadhani ifike wakati kuwe na mgombea Binafsi sababu hivi vyama ni kama vimekuwa magenge ya individuals na sio mkusanyiko wa watu wenye itikadi sawa...
Tatizo kubwa ni rushwa. Na TL aliahidi na kujitanaibisha mapema kabisa kuwa akichukua uongozi atasafisha chama. Jaribu kufikiria kama yeye alikuwa mkuu wa nidhamu ndani ya chama je mangapi anayajua?
 

Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,

"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"


econonist G Sam OKW BOBAN SUNZU Bams msiwafukuze kina Fundi Mchundo Retired FUSO Ngongo Stuxnet Chadema sio poa kabisa...
 
Kama umefanya makosa yanyostahili ufukuzwe acha wakufukuze chama siyo cha babaako.
 
Ila wanampenda sana... mpaka muda huu wa saa 12 jioni bado yupo tu... yaani bado tu ni mwanachama wa Chadema???? Daah hakika Lissu hana kisasi
Kwani amemkosea Nini lissu mpaka atake kumfuta uanachama? Mbona sikuwahi kumsikia kwenye kampein akimsema vibaya lissu??

Kimsingi uchaguzi ushakwisha sasa ni muda wa kujenga chama, haya mambo ya kutishiana tishiana sio kabisa( kama ni kweli). Vinginevyo huyo jamaa anatafuta kiki ya kuondokea asipewe hiyo frusa
 

Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,

"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"


Alete ushahidi.
 
Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.

Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.

Tunafikiri hili jambo halitakokea.
Mbona Mbowe alitangaza kuwa angewafukuza wapambe wa Lissu kama angeshinda!! Sasa nyie chawa wa Mbowe mtulie mnapotaka kunyolewa! Kuna Mrema na mwingine Sijui Kigaigai Hawa lazima wapishe wala rushwa; ndio waliokula hela za Samia pamoja na Mbowe. Huo ni mtaji tosha wakaanzishe biashara.
 
John MREMA alikuwa ni muumini saana wa UKANDA, TAL, ondoa huyu jamaa mara moja na kuna yule Asenga wa TABATA Nae yukokundi moja na huyu MREMA.
Hiyo ni chaga gang, walifikiri chadema ni mali yao sasa hawaamini macho yao. Walifikiri ni km Precision Air au IPPMedia
 
Kwani Mrema anachukuliwa hatua kwa ajili ya Freedom of Speech au fedha za Abdul? Hujui hawa ndo wamekula fedha za Abdul kwa nia ya kuiangamiza Chadema?
Ni kweli kuna tuhuma za RUSHWA lakini sio kumzuia Mwanachama yeyote kuzungumza au kutoa maoni yake.
 
Huyu Choko kweli.

Waliona sawa kumfanyia figisu Mchungaji.

Njia waliyopanda miba wanatakiwa kupita sasa.
 
Back
Top Bottom