Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Tehe tehe kichwa cha habari tu? Habari yenyewe je?
Mara nyingi kichwa cha habari hunipa takribani asili mia 60 kuhusu habari inayohusiana na kichwa cha habari; 40 ndiyo hubakisha kuipata toka habari yenyewe inayofuatia.
Ni mara chache hukosea uwiano huo, na hapa ni mfano mzuri wa kuingizwa chakani.
 

Then ukawa bize kumfuatilia yeye?

Tena unamwanzishia thread???

Kama una akili timamu ungemdharau, fact kuwa unamjua, kumkumbuka basi kakutawala akili


Hivi unataka kusema hawa watu humu na kutumia majina yao ya uongo wanateseka kiasi hicho?? unamjua sura? unajua kazi yake?

Habari ya Mwendazake sidhani kama unayesema alikuwa anampenda kushinda mimi

Nadhan una tatizo la msingi, una utoto wa ...gari lile langu, hilo lako, mzomeeni yuu...ebu kua kidogo utaona hiki ni kijiwe

JPM was real....ndio maana alikunyoosha na vyeti vyako feki...kwa nini usimchukie? kutoka kazi ya ukarani mpaka kuwa mlinzi ......sasa kwa thread hii umeonyesha wewe ni low life
 
Huyo pamoja na mambo yake amekuwa rafiki yangu humu jukwaani,ila kuna wakati yuko tayari kuelewa na kuukubali ukweli.
 
Unaona hao wawili wa mbele, wanakukata makofi kama mtoto mdogo
Hebu kwanza.

Hivi lengo la hawa walinzi ni kuzuia mama asishambuliwe, au kuna sababu nyingine? Au inayoambatana na huo ulinzi?

Kwa maana, kama sababu kubwa ni kuzuia mama kushambuliwa, si jamaa wenye miraba minne ndio wangefaa zaidi kuwa hapo?

Kama ni maswala ya akina mama binafsi, si lazima wawe mbelembele vile!

Sina maana ya kudharau uwezo wao kufanya kazi hiyo ya kulinda; lakini ni wazo tu lililochokoza akili.
 
wafukuza upepo wale, pepo za kusi zikiaza kuvuma na jahazi likishika kasi tanga limesimama maeneo ya gulf of aden lazima wazamie jahazi....
 
Waberoya umeguswaaaa! Yaaniii!
 
Hahahaaaa..... hahahaaaa...... Nilikuwa nafuturu bwashee!

Umeshtua wadau na wameanza kunipigia simu za pole wakizani wasiojulikana wamefanya yao.....wewe meku mtata sana!
 
"AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…