Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Hmemsahau wapi idungude,chagu,baby d.
 
Hivi wapo kweli hawa kaka zetu. Nadhani bado wako na uchungu mkubwa venye baba aliondoka ghafla sana.
 
Badili heading, usimfananishe mheshimiwa Lissu na viibilisi vya ajabu ajabu kutoka lumumba
 
Dada neema unalalamika bungeni hupakuliwi vizuri,njoo kwangu nakupakua mpka pilau
 
What does that have to do with Magufuli gone?

There are so many ways of masking a bitter pill, aren't you aware of that?

find them, do it, dont take chances...this is just a platform and dont take to your heart
 

Huyu bwana kapotea takriban tokea SABAYA na wapambe wake walipoingia kwenye 18 za wenye nchi. Labda yuko busy kumpelekea mlo kisongo.

Kuna IDs pia zinazofahamika kupotea tokea mwendazake kutwaliwa.

Fake ID hizi zina mambo!
 
Huyu bwana kapotea takriban tokea SABAYA na wapambe wake walipoingia kwenye 18 za wenye nchi. Labda yuko busy kumpelekea mlo kisongo.

Kuna IDs zinazofahamika kupotea tokea mwendazake kutwaliwa.

Fake ID hizi zina mambo!
Tuliwaonya mapema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…