Join the Chain: Wananchi waanza kujaza kumbi, Lissu kuongoza watoa mada, mtikisiko mkubwa wasubiriwa

Join the Chain: Wananchi waanza kujaza kumbi, Lissu kuongoza watoa mada, mtikisiko mkubwa wasubiriwa

Ukiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.

Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.

Tabora:

View attachment 2130727

Mtwara:
View attachment 2130729


Jinsi ya kufuatilia tukio kubwa la JOIN THE CHAIN , Ni rahisi sana .

YOUTUBE - CHADEMA MEDIA
CLUB HOUSE - CHADEMA TANZANIA
TWITTER - CHADEMA - TZ
FACEBOOK - CHADEMA IN BLOOD


Ukiingia humo tu umejiunga live bila chenga .

Kuanzia saa 10 kamili kwa saa za Tanzania .
Siasa za You tube hizo hazijawahi wasaidia chadema,wenzenu wako site nyie mnaleta porojo za mitandaoni 👇

Screenshot_20220225-153218.png
 
Level ya ubunifu wa CHADEMA ndio tatizo. Tatizo sio Mbowe ama Lissu. Tatizo ni ubunifu ambao wamewaacha wanachama wao kutumia.
Kuchagua technolojia vs analogue
 
Level ya ubunifu wa CHADEMA ndio tatizo. Tatizo sio Mbowe ama Lissu. Tatizo ni ubunifu ambao wamewaacha wanachama wao kutumia.
Kuchagua technolojia vs analogue
 
Mbona kama wapo kwenye kibanda umiza wanaangalia mechi ya Arsenal vs Wolvermptom?
Na wangekuwa kwenye ukumbu mzuri ungesema picha ya kuunga hao wanamsikiliza rais huko dubai.

👉🏾 There's no sweet issue to afrikan untill redemption!.
 
But join the chain ni kitu gani? CHADEMA wametangaza sana, but wakiulizwa hawajibu.
Walikuwa Hawajui bi kitu gani baada ya kuingia ndio wanakuta michango nahisi bada ya hapo wataenda wanapungua kukimbia michango
 
Back
Top Bottom