Mara nyingi, what goes around comes around. If somebody doesn't value life of others, do you think he/she cares about his/her own life? Kuna wakati kwenye maisha lazima kombe lifunikwe ili mwanaharamu apite.That means wakishaenda Rogue ni vigumu kuwarudisha?!
Kwani yeye hajui kinachoendeleaNingekuwa ndiyo Rais wa hii nchi, ningeanza kwanza na Waziri mwenye dhamana, IGP na kumalizia na Boss ww Ti-ss. Unless otherwise......!!!
Hapa ndio nimeelewa kidogo alichokuwa amekikusudia kukifikisha kwa Wananchi na kwa Serikali Mzee Butiku !Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amewaomba watanzania kushirikiana kupinga vitendo vibaya vya ulawiti, kuteka na kuuawa kwa watanzania vinavyoendelea nchini.
Amesema taifa letu si la wauwaji na wahuni, bali wananchi wanaishi kwa kufuata na kutiii katiba na sheria na wahalifu wanajulikana.
Amedai vyombo vya ulinzi na usalama vina nyenzo za kutosha kubaini wahalifu, na viongozi wa vyombo hivi wasituambie kwamba hawajui kinachoendelea nchini.
Hili lilipofika linahitaji mjadala wa kitaifa labda katiba yetu inaruhusu baadhi ya watu wanao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kizalendo, a.k.a kujizima dataMwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amewaomba watanzania kushirikiana kupinga vitendo vibaya vya ulawiti, kuteka na kuuawa kwa watanzania vinavyoendelea nchini.
Amesema taifa letu si la wauwaji na wahuni, bali wananchi wanaishi kwa kufuata na kutiii katiba na sheria na wahalifu wanajulikana.
Amedai vyombo vya ulinzi na usalama vina nyenzo za kutosha kubaini wahalifu, na viongozi wa vyombo hivi wasituambie kwamba hawajui kinachoendelea nchini.
Ina maana hata Sativa aliyesema alifikishwa kituo cha polisi oysterbay na baadae kukutwa pori la Katavi haitoshi kujua nani anahusika na matukio hayo?Hii ina maana kuna kundi la paramilitari linaloongozwa na wahuni likiitwa task force, maalumu kulinda chama na serikali linalofanya kazi zake kwa kificho.
Kiasi jeshi la polisi, usalama wa taifa, idara ya utambuzi TPDF (Military Intelligence) vyote vinaliogopa kundi hili la task force
Swali kuu ni kuwa kundi hili linapata mamlaka na nguvu kutoka kwa nani, nani anawapatia vifaa, fedha na rasilimali watu ?
Na kwanini kundi hili likawa nje ya taasisi rasmi za ulinzi na usalama zinazojulikana ?
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama mzigo huu unakuelemea, ikiwa taasisi zote za ulinzi zinalifahamu kundi hili lakini vinaogopa kuchukua hatua.
Je ni kweli kundi hili haliwezi kufikiwa na kukamatwa na kuletwa mbele ya vyombo vya mahakama baada ya rais kupewa nguvu, na kelele zinazopigwa na wananchi na mayowe wanayopiga polisi kuwa kuna watu wasiojulikana, haya yote hayampi rais ujasiri kulikabili kundi hili ?
Yaani jeshi la Polisi huwa linakuwa na majibu mepesi Kwa maswali magumu.Ina maana hata Sativa aliyesema alifikishwa kituo cha polisi oysterbay na baadae kukutwa pori la Katavi haitoshi kujua nani anahusika na matukio hayo?
TAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO
Ndugu wanahabari nimewaiteni hapa, kuwaombeni kwanza; muisaidie Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwataarifu Watanzania wote na kuwaomba sisi sote tushirikiane kuunga mkono kwa dhati Rais wetu Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada anazofanya za kukomesha tabia mbaya zilizozuka katika Taifa letu za kulawiti, kuteka, kunyanyasa na kuua Watanzania wenzetu.
Tunaye Rais mmoja tu sio wawili wala watatu tuliye mkabidhi Katiba ya nchi yetu ili aitumie kuongoza Taifa letu na kulinda na kuhakikisha usalama wa Watanzania wote na wageni halali wanaoingia katika Taifa letu, na pia kulinda mali zetu. Huu ni wajibu wa Kikatiba wa Rais wetu anautekeleza kwaniaba yetu tumuunge mkono bila maswali.
Pili: kupendekeza kwa Watanzania wote, wananchi na viongozi, kukubali kwamba Taifa letu si la wauaji wala la wahuni, ni Taifa la watu wanaoishi kwa kuzingatia Katiba ya nchi yetu na sheria zinazotokana na Katiba hiyo sisi sote tunao wajibu wa kufuata na kutii Katiba yetu na sheria zote zinazotokana Katiba hiyo, na ambazo hazikiuki Katiba. Hakuna nafasi wala ruhusa kwa raia yoyote wa nchi hii kuishi nje ya utaratibu huu. Huu ndio msingi wa amani, umoja, na maendeleo yanayo shirikisha wananchi wote kwa faida yao. Kwa maana hii, sisi Watanzania ni wastaarabu.
Tusiseme hatuwajui wahalifu hao, tunawajua. Wanaishi miongoni mwetu na katika kaya zetu, wako ndani ya vyombo vyetu vya dola, wako makanisani na katika misikiti. Tunawajua, lazima serikali yetu iwajue. Kwahiyo Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaomba tumsaidie Rais kupata taarifa sahihi kuhusu wabaya wetu hao ili achukue hatua stahili. Anavyo vyombo vya dola vyenye majukumu mahsusi ya kumpa taarifa za uhakika. Nchi yetu imeviwezesha kuwa na uwezo wa kutosha wa utaalamu na
Na wakasema hawafanyii kazi taarifa za mtandaoni na kumtaka Lissu na dereva wake wafike polisi lakini tukio la kinyama la kada wa CDM wametoa taarifa kwa kurejea source za mitandaoni. Mtu yeyote anayeamini wanasiasa wanaosema nchi ina amani warejee tukio la Lissu. Kama mtu mashuhuri kama Lissu anapigwa risasi mchana kweupe tena kwenye eneo la serikali linalolindwa na hakuna hatua zilizochukuliwa jiulize vipi kwa mwananchi wa kawaida. Amani ipo kwa watawala na wote walioshikamana na ccm.Yaani jeshi la Polisi huwa linakuwa na majibu mepesi Kwa maswali magumu.
Eti ishu ya Lissu walidai eti mpaka dereva wa Lissu apatikane.
Tangu IGP Mangu amestaafu imekuwa changamto sanaNa wakasema hawafanyii kazi taarifa za mtandaoni na kumtaka Lissu na dereva wake wafike kituoni lakini tukio la kinyama la kada wa CDM wametoa taarifa kwa kurejea source za mitandaoni. Hicho chombo akipatikana rais mzalendo asiyeendeshwa na mihemko ya hofu ya uchaguzi na madaraka hawezi kukiacha kama kilivyo lazima kifumuliwe.
Tukio la Lissu kupigwa risasi kama mnyama na hakuna hatua zilizochukuliwa inatosha kupigia mstari kuwa watu hawako salama ndani ya nchi yao.Tangu IGP Mangu amestaafu imekuwa changamto sana
Tangu IGP Mangu amestaafu imekuwa changamto sana
Hakuna spika paleSpika alidai hakuna utekaji. Alifoka sana.
Alisema watu wanatekwa na wachawi
Tunawajua ndio na this time tutadili nao! Hakuna damu itamwagika kizembe tena! Watalipa! Wao au wengineTusiseme hatuwajui wahalifu hao, tunawajua. Wanaishi miongoni mwetu na katika kaya zetu, wako ndani ya vyombo vyetu vya dola, wako makanisani na katika misikiti. Tunawajua, lazima serikali yetu iwajue.
Simba vijana wasio na "territory" ni sawa na swala au digidigi tu.Simba Mzee hana faida kwenye mbuga.