Joseph Kasheku Musukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini kumpigia makofi Tundu Lissu

Joseph Kasheku Musukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini kumpigia makofi Tundu Lissu

Ni katika hatua za kujaribu kuzima moto wa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Basi Bwana Josefu Kusheku a.k.a Msukuma aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Huku wanacnchi wakimtaka ktk ufafanuzi wake ajikite kwenye vifungu vya mkataba. Wananchi hawataki kusikia maneno ya rejareja.

Mwenyewe awashangaa kwanini wanampigia makofi Tundu Lissu kwenye mikutano yake.

Amekerwa kuitwa Mbunge wa Mchongo

Tazama video clip hii.


Huenda hafahamu zama zimebadilika tofauti na kipindi cha nyuma,hivi sasa watu wanataka uwazi,ufafanuzi yakinifu na siyo bluh bluh maneno ya kupaka mafuta otherwise utaitwa wa mchongo.In my humble opinion aangalie alipoteleza ,😄
 
Ni katika hatua za kujaribu kuzima moto wa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Basi Bwana Josefu Kusheku a.k.a Msukuma aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Huku wanacnchi wakimtaka ktk ufafanuzi wake ajikite kwenye vifungu vya mkataba. Wananchi hawataki kusikia maneno ya rejareja.

Mwenyewe awashangaa kwanini wanampigia makofi Tundu Lissu kwenye mikutano yake.

Amekerwa kuitwa Mbunge wa Mchongo

Tazama video clip hii.


🤣🤣🤣🤣Njoo tz utaona vituko vya kila aina!! Eti kiongoz hajui kuhusu ubunge ulivyopatikana 2020?
 
Hawa darasa la saba tumewapa promo sana.

Yaani jitu jinga kama Msukuma lililopata utajiri kupitia utekaji wa mabasi tunalipa ubunge kweli? Jitu kama hili lilipaswa kuwa jela.

Lakini badala yake linabweka kila mahala likijiona lina akili kuliko maprofesa? Rubbish!!
Huwezi kutoa maoni yako bila kutukana?
 
Kama anabisha aseme suu, halafu nifunguke zaidi. Zile stori sijui eti alikuwa anauza sijui nn Arusha na Korogwe Tanga ni uwongo tu
Arusha ameuza sana vocha jumla na rejareja akiwa agent wa Kampuni ya alkatel ya Lowasa. Cha ajabu 2015 akawa wa kwanza kumfanyia majunga na fitna mzee Lowasa. Musukuma ni tapeli na mwovu sana, hili halina ubishi.
 
Ni katika hatua za kujaribu kuzima moto wa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Basi Bwana Josefu Kusheku a.k.a Musukuma aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Huku wanacnchi wakimtaka ktk ufafanuzi wake ajikite kwenye vifungu vya mkataba. Wananchi hawataki kusikia maneno ya rejareja.

Mwenyewe awashangaa kwanini wanampigia makofi Tundu Lissu kwenye mikutano yake.

Amekerwa kuitwa Mbunge wa Mchongo

Tazama video clip hii.


Watu wa geita musimwamini huyu Jamaa hata kidogo. Huyu anacheza na akili zenu kutetea ugali wake. Kwanza kapaniki sana
 
Arusha ameuza sana vocha jumla na rejareja akiwa agent wa Kampuni ya alkatel ya Lowasa. Cha ajabu 2015 akawa wa kwanza kumfanyia majunga na fitna mzee Lowasa. Musukuma ni tapeli na mwovu sana, hili halina ubishi.


wewe msukuma ulikuwa humjui huyoo alikuwa tapel plus mwizi. sijui kama ameshaacha ujambazi na utapel plus ushirikina.
 
Back
Top Bottom