Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Nafuatilia sana, wewe hukumsikia sizonje anawapiga mkwara wabunge kutoenda kumjulia hali mh Lissu?
Hukumuona mama Samia pale hospitali Nairobiau hufuatilii chochote
 
Lisu anakujaje kwa huu uzi?
Hivi mtaacha lini kumsema vibaya mgombea wetu?


Ni vyema kama mtazivua akili za ki Musiba Musiba enyi watu wa mtaa wa Lumumba.
Chadema kwa kupenda kiki😕😕😕

Walijua wataweka attention,huyo Lissu wenu keshadoda

Aliewashauri kawaponza
 
Kama ni kweli, kuna michezo hatari sana kwa Taifa na huu wa kudukua ni hatari sana

Ipo siku mtu mbaya ata hack na kuleta taharuki kama si maafa au mtafaruku wa kidiplomasia

Hakutakuwa na nafasi ya kujua mdukuaji kwasababu anafanana na hawa walioruhusiwa

Hii ni hatari sana.
 


kuna maswali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…