Hukumuona mama Samia pale hospitali Nairobiau hufuatilii chochote
Wao wanadhani ndio wanafanikiwa na propaganda zao kumbe ndio wanazidi kukaa uchi huku wameinama!
Well said. Jamaa una akili sanaItifaki ipo na Duniani Kote kuna Utaratibu..sijui Kwann chadema kila mara wanajiwekea kitanzi wenyewe.
Mkuu Wa nchi ameshaingia kwa usalama sio sawa nyie chadema kuingia baada ya Rais..Sio Heshima na pia sio sawa...
Lawama kila mara ila mmechemka sana
Aliyei hack kasema ukweli ambao Sugu anashindwa kuukana.yes, but amekanusha ndiyo kitu cha msingi!
soma IG ya Sugu ndugu...Aliyei hack kasema ukweli ambao Sugu anashindwa kuukana.
soma IG ya Sugu ndugu...
Nimeisoma lakini si CHADEMA wala Sugu wanaoeleza kwa nini hawasemi ukweli kuelezea kilichotokea.soma IG ya Sugu ndugu...
soma public notice ya Chadema.Nimeisoma lakini si CHADEMA wala Sugu wanaoeleza kwa nini hawasemi ukweli kuelezea kilichotokea.
Fact:walichelewa, kwa nini?
Lakini hamshindi aliyekuzaa!
Chadema kwa kupenda kiki😕😕😕
Walijua wataweka attention,huyo Lissu wenu keshadoda
Aliewashauri kawaponza
Acha uongo viral kwa vipi?soma public notice ya Chadema.
ipo viral.
Acha uongo viral kwa vipi?
Hata FB HAKUNA statement ya CHADEMA, wala Press release hata uki google.
Tupe link.
Maswali yatabaki pale pale na ni basic.
KWA NINI WALICHELEWA?
Katibu mkuu wenu si makini sana , na inaelekea hakuwa na mawasiliano nini kinaendelea.
Nikiaibika tu nikiwasema upinzani 😂.Nikiwasema CCM hapo ninakuwa siaibiki. 😂Sio sisi sema mimi sio kilaza maana hujui kitu zaidi ya kushinda JF.
Acha kujifanya mjuaji kiasi hicho unaaibika mno humu siku hizi
Hakuna mwenye swali mkuu..
Si mliambiwa mchukuliwe Karimjee?
unawauliza kina nani?Si mliambiwa mchukuliwe Karimjee?
Huko ulikoitoahiyo press release.unawauliza kina nani?
Huko ulikoitoahiyo press release.
ipo mtandaoniHuko ulikoitoahiyo press release.