Hizi sasa dharau mkuuEnglish medium zinasaidia sana kwa usalama wa mtoto wako hata kama unakipato duni somesha hizi
Sio dharau ndio ukweli halisi mwandalie mtoto elimu nzuri hata hizo English medium zinafaa sana tena ni cheap izo st kayumba ndio zinazotoa vijana wavuta bangi wakabaji walevi wa pombe za nimeyaona haya mana ata Mimi nilisoma kayumba miaka hiyoHizi sasa dharau mkuu
Eti Muzungu anataka kuwa kama Mwafrika tangu liniAmezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu" watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo...
Acha uongo ndugu, hao unaowafagilia hawana lolote la kutuzidi, Mseveni mwenyewe alikuwa mkimbizi hapa bongo unalijua hilo?Kumbuka Kenya na Uganda wametupita kielimu jwa sababu ya lugha ya malkia.
Unataka wafunze kiarabu?Amezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu" watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.
Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.
Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi. Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengemezwe wawe kama wazungu. Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
na Museveni baAcha uongo ndugu, hao unaowafagilia hawana lolote la kutuzidi, Mseveni mwenyewe alikuwa mkimbizi hapa bongo unalijua hilo?
Ruto mwenyewe huwa anaazima Zabron singers wakamburudishe ikulu, unalijua hilo?
Wabongo tupo vizuri sana kuliko Wakenya na Waganda