Joseph Mrindoko wa wachokonozi azichana vibaya shule za English Medium

Joseph Mrindoko wa wachokonozi azichana vibaya shule za English Medium

Tatizo sio lugha ni ubora wa elimu. Halafu mtu akisikia wazungu anajua wote wanaongea au wanatumia kingereza kwa kufundishia. Ukiacha marekani, uingereza, Canada na nchi nyingine chache, zilizobaki zinatumia lugha zao.kwa kila kitu na wako mbali kimaendeleo.
 
Sio dharau ndio ukweli halisi mwandalie mtoto elimu nzuri hata hizo English medium zinafaa sana tena ni cheap izo st kayumba ndio zinazotoa vijana wavuta bangi wakabaji walevi wa pombe za nimeyaona haya mana ata Mimi nilisoma kayumba miaka hiyo
Ambao hatujasoma English medium kumbe ni wavuta Bangi?
 
Kumbuka Kenya na Uganda wametupita kielimu jwa sababu ya lugha ya malkia. Angalau na sisi tujikomboe, hii lugha ni ya kimataifa huwezi kuikwepa. Wewe anzisha viwanda vingi vyenye tija, andika kila kitu kwa kiswahili, ili ueneze kiswahili duniani. Hata terminology za kisayansi uandike kwa kiswahili. Utaweza? Whether you like or not you ought to lean English. Naomba tu waalimu wa hizi shule wapikwe vi
💯
 
Amezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu "Watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.

Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.

Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi.

Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengenezwe wawe kama wazungu.

Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
Tatizo wala sio English, tatizo ni performance ya hizo shule ipo juu kuliko hizi za kayumba.

Maana hizo hizo English medium hata kiswahili wanafaulu vizuri kuliko wa kayumba wa kiswahili medium
 
English medium zinasaidia sana kwa usalama wa mtoto wako hata kama unakipato duni somesha hizi English medium mtoto wako atakuja na changamoto kwa rafiki zake waliofanikiwa hapo baadae hizo st kayumba watoto wanaomaliza huwa wanaishia kuja kushinda vilabuni na kuwa wavuta bangi
Samahani mkuu wewe ulisoma English mediuam? kama sivyo kwa sasa unashinda vilabuni na kuvuta bangi? kama ni ndio ulifundishwa kwenye shule za kayumba kuwa utakuwa mlevi na mvuta bangi?
 
Acha uongo ndugu, hao unaowafagilia hawana lolote la kutuzidi, Mseveni mwenyewe alikuwa mkimbizi hapa bongo unalijua hilo?

Ruto mwenyewe huwa anaazima Zabron singers wakamburudishe ikulu, unalijua hilo?

Wabongo tupo vizuri sana kuliko Wakenya na Waganda
Kwa hiyo Zablon wameacha kumwimbia Bwana wa majeshi wamegeuka kuwa waburudisha Ruto?
 
Kwa hiyo Zablon wameacha kumwimbia Bwana wa majeshi wamegeuka kuwa waburudisha Ruto?
Wangekuwa sio waburudishaji wasingekuwa wanapata views wengi huko social media, Ruto mwenyewe aliwafahamu kupitia aliwafahamu baada ya kuburudishwa huko social media
 
Wazazi wengi wenyewe hata kiingereza cha kuombea maji hawakijui.

Wakisikia english medium wanajua kuna elimu bora kuliko kwingine.

Mwisho wa kozi mtoto anahitimu hajui kuongea kiingereza vema inabidi akimbizwe tena mitaani kupatiwa english course ya pre form one, huko nako anaenda kubabaishwa na vijana wa form six failure wasiojua vema kuongea kiingereza.

Mzazi anaishia kutapatapa asijue wapi kuna elimu bora kwa mtoto wake wakati naye ni dunya tu shule alikwenda lakini akaishia kusikojulikana kama alisoma au hakwenda hata darasa moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha uongo ndugu, hao unaowafagilia hawana lolote la kutuzidi, Mseveni mwenyewe alikuwa mkimbizi hapa bongo unalijua hilo?

Ruto mwenyewe huwa anaazima Zabron singers wakamburudishe ikulu, unalijua hilo?

Wabongo tupo vizuri sana kuliko Wakenya na Waganda
Tanzania kwa sasa wako vizuri sana hapa Afrika Mashariki kuliko Nchi zingine. Kwa kutumia kipimo cha utalii wageni wengi wafurahi kuwa Tanzani na mawasiliano yanaeleweka. Hawa wengine wakiongea English hata haileweki lafudhi mbovu sana. Mtz akijua lugha anaongea unafurahi kusikiliza
 
ila kuna kaushamba flani hivi kwa wazazi wengi juu ya hizi shule za English medium .Ukweli mchungu waalimu wengi wa hizi shule hawajui kuzunguza kingereza fasaha wengi wanaunga unga ,wengi ni kingereza kile cha kisekondari cha shule za Tanzania,hawana exposure wakikutana na mzungu wa kutoka lUS jasho la kwapani lina watiririka. Kama mzazi una kisu kikali alafu unataka mwanao ajue yai nzuri peleka shule ambazo kuna waalimu wenye exposure.
 
Amezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu "Watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.

Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.

Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi.

Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengenezwe wawe kama wazungu.

Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu

Kuna mada anasema mambo ya maana sana. Kuna zingine anasema uongo, na hasa suala la dini na imani. Tika kale hata mababu zetu walikuwa na namna za kuabudu.

Binadamu tulivyo, rohoni lazima tujishikishe kwenye kitu fulani..haiwezekani ikawa wazi na ombwe.
 
Kumbuka Kenya na Uganda wametupita kielimu jwa sababu ya lugha ya malkia. Angalau na sisi tujikomboe, hii lugha ni ya kimataifa huwezi kuikwepa. Wewe anzisha viwanda vingi vyenye tija, andika kila kitu kwa kiswahili, ili ueneze kiswahili duniani. Hata terminology za kisayansi uandike kwa kiswahili. Utaweza? Whether you like or not you ought to lean English. Naomba tu waalimu wa hizi shule wapikwe vizuri.
Usitumie kauli ya huwezi kuikwepa kuna mataifa yameikwepo na yanafanya vizuri kielimu na kiuchumi.
 
Amezichana vibaya shule za English Mediums na kuwaita " mbumbumbu "Watanzania wanao jistress kusomesha watoto wao kwenye shule hizo.

Ameongea point nyingi sana nenda kamsikilize mwenyewe You Tube.

Moja kati ya nukuu yake anasema " Waafrika tunataka kuwa kama wazungu. Wazungu hawataki kuwa kama sisi.

Tumekuwa mbumbumbu kiasi cha kulipa pesa ili watoto wetu watengenezwe wawe kama wazungu.

Cha ajabu hao tunao taka wawatengeneze watoto wetu wawe kama wazungu sio wazungu wala hawajui chochote kuhusu wazungu na uzungu
Weka link mkuu
 
Back
Top Bottom