Pre GE2025 Joseph Oleshangay: Kuna watu wanataka Kuvunja Chama ili kumtengenezea Samia Njia Nyeupe Ya Ikulu

Pre GE2025 Joseph Oleshangay: Kuna watu wanataka Kuvunja Chama ili kumtengenezea Samia Njia Nyeupe Ya Ikulu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna mwanasiasa mwenye uwezo wa kuokoa watanzania kutoka kwenye mtego.
Ipo siku tu atazuka kijana kama yule wa Syria na watanzania wenyewe watajiokoa.

Au siku moja itafika watanzania watajikuta kwenye vichwa vyao wanakubaliana jambo moja na kufanya mapinduzi.

Hivi vyama vyote ni utapeli aka Scam, operated and controlled by invincibles call them the elites from the dark aka the Ghost.
 
Mapambano ya miaka 20 na Upinzani wa milele?!

Tujuavyo Jemadari huwa anapambana akiona Ngome ni ngumu anabadilisha Tactics mpaka anaivunja Ngome ya adui.

Kama Mbowe angekuwa ndiye Jenerali wetu wakati wa Vita vya Kagera mpaka leo Vita hiyo ingekuwa inaendelea na angeenda kufanya maridhiano na Iddi Amini na kulambishwa lambishwa Asali na huenda angempelekea Amini tuzo pale Kampala.

Wakati huo huo Iddi Amini angeendelea kuteka kupoteza na kuuwa Watanzania.
🤣 🤣 🤣
 
Either uwe mwanasesere upambane na ndugu zako wanaoteseka na umasikini kwa kigezo cha mtetezi aka mpinzani au uwe mwanasesere kwa kigezo cha utumishi na chawa wa wanasesere wenzio.

Ndani ya kundi la wanasesere Kuna sub elites walioaminiwa na elites wenyewe ili kurahisisha manipulation ndani ya kundi la wanasesere hapo ndio FAM anaingia sasa.
Sub-elites wanakuwa vetted na pia ni magenius but they will never be elites japo wana contacts za some elites.

Tanzania Iko matekani kuvunja huo mnyororo kuna hitaji la raia wenyewe na kuingia madaraka huku CCM ikifa kabisa na vijana kutoka kazuramimba, kisarawe, nanyamba, kiteto, Kyela nk wachukue usukani wa nchi yao na kujipangia mambo yao.
 
Huu uongo ndio unaowaponza. Mbowe hakumsifia Samia bali alisema kuna mambo waliyapata kutokana na maridhiano.

Hivi mnataka kutuaminisha kuwa mlikuwa tayari kuingia barabarani kushikiza mikutano ya hadhara, kufutiwa kesi mamia ya wana Chadema? Nyinyi ambao mkiona askari ameshika fagio mnakimbilia kujifichq chooni!

Huyo mnaemsimanga amefungwa, ametungiwa kesi za ajabu, biashara zake zimefungwa n.k. lakini hakutetereka. Alipoita maandamano ya kupinga utekaji wa wakina Sato, mauaji ya Kibao na wengine mlitoa kisingizio kuwa anawachuuza watoto wa wengine wakati wa kwake wanakula bata ughaibuni. Alijitokeza yeye na binti yake, wote mkajificha. Angalau wakina Hilda walifika sehemu ya maandamano na wakina mama wengine. Aidha, wako waliozuiwa wakitoka bara ( wengi wao wakiwa wanawake).

Wanawake wa Bawacha waliandamana kwenda ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe na wengine walitiwa ndani. Nyinyi mashujaa, wanasheria mkaufyata!

Hata Lissu akishinda hamtathubutu kujitokeza kumuunga mkono katika hiyo mass mobilization. Tofauti yake na Mbowe ni kuwa mkimzenguq atawaachia nchi yenu wakati Mbowe alibaki humu humu nchini.

Badala ya kuchochea mambo ya kijinga mngewahimiza washindani washindane kwa lugha za kiungwana bila character assassination yeyote. Wakifanya hivyo itakuwa rahisi kwa wafuasi wao kuungana pamoja na atakae shinda.

Kwa kweli hamukitakii mema Chadema.

Amandla...
Mkuu usiwe na upande ukiwa kwenye mchezo huu, tulia! Mdogo mdogo tutafika. Chadema inajiua taratibu. Miaka 10 ijaayo ya uenyekiti wa Mbowe, atakuwa anatembea na Chadema kwenye briefcase kama Lipumba, mark my words!!!
 
Pipooooziiii!

20241220_234542.jpg
 
Na wakati hayo yote Mbowe akifirigiswa Lissu alikimbilia uhamishoni na kuhamia Twitter!! Lissu alirudi kugombea kisha akatokomea ubelgiji leo hii anataka kuchukua control ya chama ili akiache kwenye mataa?

Mbowe kakomaa hapa hapa nyumbani pamoja na mateso yote leo hii mropokaji aloyebimbiana tumbo analeta za kuleta?

Nilimheshimu sana Lissu ila kwa tone aliyoonesha juzi ya shari nimemdharau sana. Yaani msigwa kupitwa kura moja na Sugu Lissu ananunua shari yake??

Kinachonishangaza kupita vyote ni wafuasi wake kumlaumu Mbowe kabla ya boksi la kura!! Hawa watu wana akili na wako serious kiasi gani?
Mkuu aliyesema wanachama wa Chadema ni Nyumbu hakukosea! Apewe maua yake!!!

Hakika hawa jamaa ni Nyumbu waliokomaa!!!

Hata Lissu awe makini na Nyumbu waliomzunguka!!!
 
Huu uongo ndio unaowaponza. Mbowe hakumsifia Samia bali alisema kuna mambo waliyapata kutokana na maridhiano.

Hivi mnataka kutuaminisha kuwa mlikuwa tayari kuingia barabarani kushikiza mikutano ya hadhara, kufutiwa kesi mamia ya wana Chadema? Nyinyi ambao mkiona askari ameshika fagio mnakimbilia kujifichq chooni!

Huyo mnaemsimanga amefungwa, ametungiwa kesi za ajabu, biashara zake zimefungwa n.k. lakini hakutetereka. Alipoita maandamano ya kupinga utekaji wa wakina Sato, mauaji ya Kibao na wengine mlitoa kisingizio kuwa anawachuuza watoto wa wengine wakati wa kwake wanakula bata ughaibuni. Alijitokeza yeye na binti yake, wote mkajificha. Angalau wakina Hilda walifika sehemu ya maandamano na wakina mama wengine. Aidha, wako waliozuiwa wakitoka bara ( wengi wao wakiwa wanawake).

Wanawake wa Bawacha waliandamana kwenda ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe na wengine walitiwa ndani. Nyinyi mashujaa, wanasheria mkaufyata!

Hata Lissu akishinda hamtathubutu kujitokeza kumuunga mkono katika hiyo mass mobilization. Tofauti yake na Mbowe ni kuwa mkimzenguq atawaachia nchi yenu wakati Mbowe alibaki humu humu nchini.

Badala ya kuchochea mambo ya kijinga mngewahimiza washindani washindane kwa lugha za kiungwana bila character assassination yeyote. Wakifanya hivyo itakuwa rahisi kwa wafuasi wao kuungana pamoja na atakae shinda.

Kwa kweli hamukitakii mema Chadema.

Amandla...
Umemaliza kila kitu ndugu.
 
Hakuanza leo.
1. Kama nakumbuka sawa sawa Lissu aliwahi kusema kuwa Mbowe hakumshikia drip baada ya kupigwa risasi bali ni Msigwa. Inawezekana ni kweli lakini aliisema kama vile Mbowe alikuwa anajipendekeza. Nikadhani ni kuteleza tu na ni hulka ya msema kweli.
2. Akaanza kuzungumzia mapungufu ya chama chake jukwaani. Alipoulizwa, akasema akasemee wapi? Insinuation ni kuwa Boss wake anayakumbatia.
3. Zikaanza tuhuma za yeye na Msigwa kutaka kufanya mapinduzi, akakaa kimya. Msibwa akawa anamtukana Mbowe, yeye kimya. Msigwa kahamia CCM, yeye kimya. Msigwa akawa anashambulia CDM na Mwenyekiti wake, yeye kimya.
4. Chadema wakatangaza kikao cha Kamati Kuu. Yeye wala hakujisumbua kuhudhuria badala yake publically akahudhuria mazishi ya mpiganaji mmoja wa CDM. Hii ni dhahiri ilikuwa kuonyesha kuwa Mbowe hajali wanachama wake.
5. Akaibua hili la kuhongwa na Abdul. Hadithi ambayo haina kichwa wala miguu.
6. Akazungumzia watu kung'ang'ania madaraka. Wote tulijua anamsema Mbowe

Kinachonisikitisha ni kuwa haikupaswa kuwa hivi. Angeweza kugombea bila kumpaka matope Boss wake. Nadhani washauri wake walimwambia kuwa ukitaka kuhakikisha kuwa nyoka amekufa inabidi umkate kichwa. Hivyo shutuma, maneno ya ovyo n.k. vingemtisha Mbowe kutangaza nia. Big miscalculation. Badala yake anaonekana kama opportunist asiyekuwa na chembe cha loyalty.

Na sasa, kama atashindwa, nafasi ya kugombea urais itakuwa hati hati. Labda ahamie ACT-WAZALENDO. Akifanya hivyo atawasaidia kupata wabunge wengi pengine hata zaidi ya CDM. Lakini yeye heshima yake itakuwa zero.

Amandla...
Mkuu aliyesema wanachama wa Chadema ni Nyumbu hakukosea! Apewe maua yake!!!

Hakika hawa jamaa ni Nyumbu waliokomaa!!!

Hata Lissu awe makini na Nyumbu waliomzunguka!!!
 
Huu uongo ndio unaowaponza. Mbowe hakumsifia Samia bali alisema kuna mambo waliyapata kutokana na maridhiano.

Hivi mnataka kutuaminisha kuwa mlikuwa tayari kuingia barabarani kushikiza mikutano ya hadhara, kufutiwa kesi mamia ya wana Chadema? Nyinyi ambao mkiona askari ameshika fagio mnakimbilia kujifichq chooni!

Huyo mnaemsimanga amefungwa, ametungiwa kesi za ajabu, biashara zake zimefungwa n.k. lakini hakutetereka. Alipoita maandamano ya kupinga utekaji wa wakina Sato, mauaji ya Kibao na wengine mlitoa kisingizio kuwa anawachuuza watoto wa wengine wakati wa kwake wanakula bata ughaibuni. Alijitokeza yeye na binti yake, wote mkajificha. Angalau wakina Hilda walifika sehemu ya maandamano na wakina mama wengine. Aidha, wako waliozuiwa wakitoka bara ( wengi wao wakiwa wanawake).

Wanawake wa Bawacha waliandamana kwenda ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe na wengine walitiwa ndani. Nyinyi mashujaa, wanasheria mkaufyata!

Hata Lissu akishinda hamtathubutu kujitokeza kumuunga mkono katika hiyo mass mobilization. Tofauti yake na Mbowe ni kuwa mkimzenguq atawaachia nchi yenu wakati Mbowe alibaki humu humu nchini.

Badala ya kuchochea mambo ya kijinga mngewahimiza washindani washindane kwa lugha za kiungwana bila character assassination yeyote. Wakifanya hivyo itakuwa rahisi kwa wafuasi wao kuungana pamoja na atakae shinda.

Kwa kweli hamukitakii mema Chadema.

Amandla...
Ukiwafwatilia sana wabongo uku mitandaoni unaweza ukafikiri ni bonge la wapambanaji kumbe ni ushabiki maandazi tu unaoongozwa na hisia na mihemko.
 
Huu uongo ndio unaowaponza. Mbowe hakumsifia Samia bali alisema kuna mambo waliyapata kutokana na maridhiano.

Hivi mnataka kutuaminisha kuwa mlikuwa tayari kuingia barabarani kushikiza mikutano ya hadhara, kufutiwa kesi mamia ya wana Chadema? Nyinyi ambao mkiona askari ameshika fagio mnakimbilia kujifichq chooni!

Huyo mnaemsimanga amefungwa, ametungiwa kesi za ajabu, biashara zake zimefungwa n.k. lakini hakutetereka. Alipoita maandamano ya kupinga utekaji wa wakina Sato, mauaji ya Kibao na wengine mlitoa kisingizio kuwa anawachuuza watoto wa wengine wakati wa kwake wanakula bata ughaibuni. Alijitokeza yeye na binti yake, wote mkajificha. Angalau wakina Hilda walifika sehemu ya maandamano na wakina mama wengine. Aidha, wako waliozuiwa wakitoka bara ( wengi wao wakiwa wanawake).

Wanawake wa Bawacha waliandamana kwenda ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe na wengine walitiwa ndani. Nyinyi mashujaa, wanasheria mkaufyata!

Hata Lissu akishinda hamtathubutu kujitokeza kumuunga mkono katika hiyo mass mobilization. Tofauti yake na Mbowe ni kuwa mkimzenguq atawaachia nchi yenu wakati Mbowe alibaki humu humu nchini.

Badala ya kuchochea mambo ya kijinga mngewahimiza washindani washindane kwa lugha za kiungwana bila character assassination yeyote. Wakifanya hivyo itakuwa rahisi kwa wafuasi wao kuungana pamoja na atakae shinda.

Kwa kweli hamukitakii mema Chadema.

Amandla...
Kongole Fundi Mchundo umemaliza kila kitu, hawa ni wanaharakati wa mitandaoni wanaomponza Lissu. Wanajifanya kum sympathy Soka siku maandamano yakiitwa wanabaki ku zoom kwenye laptop kuangalia nani kaenda.

Mbowe yupo sahihi kabisa dunia nzima inaimba maridhiano wewe unataka kutunishiana tumbo na dola. kama wanataka chama cha uanaharakati waanzishe chao.
 
Mkuu aliyesema wanachama wa Chadema ni Nyumbu hakukosea! Apewe maua yake!!!

Hakika hawa jamaa ni Nyumbu waliokomaa!!!

Hata Lissu awe makini na Nyumbu waliomzunguka!!!
Sio awe makini tu mshaurini aondoke kabisa.
 
Mkuu usiwe na upande ukiwa kwenye mchezo huu, tulia! Mdogo mdogo tutafika. Chadema inajiua taratibu. Miaka 10 ijaayo ya uenyekiti wa Mbowe, atakuwa anatembea na Chadema kwenye briefcase kama Lipumba, mark my words!!!
Haya nayo ni mawazo yako.Inawezekana ukafa wewe ukakiacha.
 
Hakuanza leo.
1. Kama nakumbuka sawa sawa Lissu aliwahi kusema kuwa Mbowe hakumshikia drip baada ya kupigwa risasi bali ni Msigwa. Inawezekana ni kweli lakini aliisema kama vile Mbowe alikuwa anajipendekeza. Nikadhani ni kuteleza tu na ni hulka ya msema kweli.
2. Akaanza kuzungumzia mapungufu ya chama chake jukwaani. Alipoulizwa, akasema akasemee wapi? Insinuation ni kuwa Boss wake anayakumbatia.
3. Zikaanza tuhuma za yeye na Msigwa kutaka kufanya mapinduzi, akakaa kimya. Msibwa akawa anamtukana Mbowe, yeye kimya. Msigwa kahamia CCM, yeye kimya. Msigwa akawa anashambulia CDM na Mwenyekiti wake, yeye kimya.
4. Chadema wakatangaza kikao cha Kamati Kuu. Yeye wala hakujisumbua kuhudhuria badala yake publically akahudhuria mazishi ya mpiganaji mmoja wa CDM. Hii ni dhahiri ilikuwa kuonyesha kuwa Mbowe hajali wanachama wake.
5. Akaibua hili la kuhongwa na Abdul. Hadithi ambayo haina kichwa wala miguu.
6. Akazungumzia watu kung'ang'ania madaraka. Wote tulijua anamsema Mbowe

Kinachonisikitisha ni kuwa haikupaswa kuwa hivi. Angeweza kugombea bila kumpaka matope Boss wake. Nadhani washauri wake walimwambia kuwa ukitaka kuhakikisha kuwa nyoka amekufa inabidi umkate kichwa. Hivyo shutuma, maneno ya ovyo n.k. vingemtisha Mbowe kutangaza nia. Big miscalculation. Badala yake anaonekana kama opportunist asiyekuwa na chembe cha loyalty.

Na sasa, kama atashindwa, nafasi ya kugombea urais itakuwa hati hati. Labda ahamie ACT-WAZALENDO. Akifanya hivyo atawasaidia kupata wabunge wengi pengine hata zaidi ya CDM. Lakini yeye heshima yake itakuwa zero.

Amandla...
Lissu hana mvuto nje ya Chadema, hata akigombea act hana ubavu wa kumzidi kura mgombea wa cdm.
 
Kuna wajjinga wanafikiri siasa za upinzani niikugombana na watawala.wakati huo huo wao wamejificha mitandaoni.Ata lissu akiwa mwenyekiti wa cdm hawezi kua machachari kama alivyokua mwanasiasa huru.kwasababu uongozi na uhanaharakati haviendani kwa siasa zetu zilivyo sana sana ataishia kukimbizana na vyombo vya dola uku wananchi waliokua wakimsapoti wakijificha mitandaoni.Bado kunahitajika siasa za hoja na kistaarabu ili kujenga uelewa wa wananchi walio wengi kutambua haki zao nakuzisimamia.Hiyo elimu haiwezi kupatikana kukiwa na mivutano yakisiasa nakidola.
Kongole Fundi Mchundo umemaliza kila kitu, hawa ni wanaharakati wa mitandaoni wanaomponza Lissu. Wanajifanya kum sympathy Soka siku maandamano yakiitwa wanabaki ku zoom kwenye laptop kuangalia nani kaenda.

Mbowe yupo sahihi kabisa dunia nzima inaimba maridhiano wewe unataka kutunishiana tumbo na dola. kama wanataka chama cha uanaharakati waanzishe chao.
a
 
Back
Top Bottom