Pre GE2025 Joseph Oleshangay: Kuna watu wanataka Kuvunja Chama ili kumtengenezea Samia Njia Nyeupe Ya Ikulu

Pre GE2025 Joseph Oleshangay: Kuna watu wanataka Kuvunja Chama ili kumtengenezea Samia Njia Nyeupe Ya Ikulu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Na sasa, kama atashindwa, nafasi ya kugombea urais itakuwa hati hati. Labda ahamie ACT-WAZALENDO. Akifanya hivyo atawasaidia kupata wabunge wengi pengine hata zaidi ya CDM. Lakini yeye heshima yake itakuwa zero.

Amandla...
Hiyo heshima kapewa na chadema kwamba watamnyang'anya?
 
Kwamba Mbowe kwenda kudanganywa na Samia kwako ndiyo jambo la maana? Je na alipodanganywa hayo mambo ya utekaji yalikoma? Zaidi sana tumejua kuwa kumbe hata enzi hizi za Samia wale team Mbowe hawatapata madhila maana kamanda wao analamba miguu. Hakuna chama cha upinzani wa kweli cha aina hiyo.

Jana Mbowe alionyesha dhahiri kuwa ana jambo lake Chadema yeye pamoja na hao wafuasi wake ambalo ni tofauti kabisa na sisi tunavyoamini. Mbona Slaa tulikuwa tukimuunga mkono? Jinsi ambavyo tulifanya kwa Slaa basi vivyo hivyo tungefanya kwa kiongozi aina ya Lissu. Mbowe ameshajionyesha kwa kila mtu kuwa ni nani. Hafichiki tena wala hasafishiki. Ungekaa tu chini ukafikiri tunahitaji nini kwa kipindi hiki basi ungeona kabisa Mbowe siyo mtu sahihi kutupeleka. Kama huwezi kujua zaidi ya kutaka Mbowe aendelee kujilipa fadhila basi pole.
Asante.
Amandla...
 
Anaandika Wakili Joseph oleshangay

freemanmbowetz anaashiria maridhiano yalikwama Kwa sababu ya negative energy kutoka Chadema “team Lissu”

Kwa sehemu kubwa ya hotuba ya freemanmbowetz , suluhuSamia is just a pure soul.

Anasema wamenunua ofisi 1.6b kutokana na maridhiano wakapewa ruzuku. Ila anasema malimbikizo ya ruzuku Kwa sababu wao walikataa

Pia anasema haiwezekani kubadili uongozi katikati ya mapambano. Strongman mentality.

Pia kwa hotuba yake msamiati wa term limit haipo kwenye kamusi yake.

Kwa ujumla @freemanmbowetz hajasema lolote kuhusu kubadili strategy ya mapambano wala kujibu hoja kuwa yeye ni mteremko wa CCM kufanya yake.

Walau inaonekana, ndani ya Chadema kuna kusigana kwa muda mrefu na hii ndio sababu hata kwenye operation za Chadema, Lissu anatumia gari yake binafsi.

Pia walau ni wazi Kwa muda kuwa wakati Lissu akifanya peoples movement, wenzake wapo katikati ya movement na kushangilia mfumo wanaodai kuwatesa.

Nikiona vijana wanaharakati ambao kila siku wanasema free @DEUSDEDITHSOKA et al, wapo na @TunduALissu na waliosema @DEUSDEDITHSOKA anajitekenya wapo na mwamba (nusu-jiwe). This says much

Wale akina mama 19 waliosemekana walipelekwa bungeni na Ndugai wapo na Mbowe…….

Balile anapata wapi nafasi ya ku moderate? Balile si ni CCM kabisa na kama ana la ziada ni wakala?

Ni ngumu sana kuamini kuwa utawala wa vyama vya upinzani haipo mikononi mwa mawakala wa mfumo tawala kuigiza kuna vyama vingi.

Namna CHADEMA establishment wanavyopambana na Lissu, CHADEMA sio siku nyingi ipo kwenye mserereko.

Lissu tu kutangaza kugombea uwenyekiti, imekuwa nongwa.

Kuna maneno kuwa mwenyekiti katikati ya kampeni 2020 alisema “Lissu anadhani atamshinda Magufuli “?……..

Anyway, kuna watu wanamtengenezea @SuluhuSamia ushindi bila kupora kura kama kawaida ya CCM.
Iko vile bandugu !
 
Na wakati hayo yote Mbowe akifirigiswa Lissu alikimbilia uhamishoni na kuhamia Twitter!! Lissu alirudi kugombea kisha akatokomea ubelgiji leo hii anataka kuchukua control ya chama ili akiache kwenye mataa?

Mbowe kakomaa hapa hapa nyumbani pamoja na mateso yote leo hii mropokaji aloyebimbiana tumbo analeta za kuleta?

Nilimheshimu sana Lissu ila kwa tone aliyoonesha juzi ya shari nimemdharau sana. Yaani msigwa kupitwa kura moja na Sugu Lissu ananunua shari yake??

Kinachonishangaza kupita vyote ni wafuasi wake kumlaumu Mbowe kabla ya boksi la kura!! Hawa watu wana akili na wako serious kiasi gani?
Tunatofautiana sehemu moja kuwa sisi hatutaki Mbowe agombee safari hii maana ameshaonyesha kunyoosha mikono kwa Samia. Sisi tulitaka akae pembeni aruhusu damu nyingine kugombea ili tuwe kama tunaanza kuzalisha team upya kupata uungwaji mkono.

Mbowe tayari ana tuhuma za kulambishwa asali ambazo tulizifahamu kabla hata ya huu mchakato. Mimi sikutarajia kama awamu hii Mbowe angegombea. Mimi karata yangu niliitupa kwa Heche. Mbowe kugombea Heche hawezi kugombea maana angezidisha fukuto.Jiulize kwanini hajaamua lolote mpaka sasa? Jiulize kwanini haungi mkono Mbowe kugombea awamu hii? Maana anaona kuwa hakutakuwa na mwamko mpya ambapo pia na sisi wengi tunaona hilo.

Kwanini Lissu aliamua kugombea uenyekiti tena kwa shari? Ni baada ya kuelezwa kuwa Mbowe na wafuasi wake ambao tayari wana vina saba na mfumo wanataka kumuondoa kimya kimya ndipo akaamua basi bora maji yatibuke ili mbivu mbichi zijulikane kuliko kuendelea kuishi kwa uongo na ujanja ujanja na ndilo lililoonekana. Yani Chadema kwa sasa ni kama nyeti za kuku zilizopigwa na upepo. Tumeona kila kitu na kweli tunashukuru kwa hilo la kuujua ukweli. Tutaishi kwa uhalisia sasa.
 
Tunatofautiana sehemu moja kuwa sisi hatutaki Mbowe agombee safari hii maana ameshaonyesha kunyoosha mikono kwa Samia. Sisi tulitaka akae pembeni aruhusu damu nyingine kugombea ili tuwe kama tunaanza kuzalisha team upya kupata uungwaji mkono.

Mbowe tayari ana tuhuma za kulambishwa asali ambazo tulizifahamu kabla hata ya huu mchakato. Mimi sikutarajia kama awamu hii Mbowe angegombea. Mimi karata yangu niliitupa kwa Heche. Mbowe kugombea Heche hawezi kugombea maana angezidisha fukuto.Jiulize kwanini hajaamua lolote mpaka sasa? Jiulize kwanini haungi mkono Mbowe kugombea awamu hii? Maana anaona kuwa hakutakuwa na mwamko mpya ambapo pia na sisi wengi tunaona hilo.

Kwanini Lissu aliamua kugombea uenyekiti tena kwa shari? Ni baada ya kuelezwa kuwa Mbowe na wafuasi wake ambao tayari wana vina saba na mfumo wanataka kumuondoa kimya kimya ndipo akaamua basi bora maji yatibuke ili mbivu mbichi zijulikane kuliko kuendelea kuishi kwa uongo na ujanja ujanja na ndilo lililoonekana. Yani Chadema kwa sasa ni kama nyeti za kuku zilizopigwa na upepo. Tumeona kila kitu na kweli tunashukuru kwa hilo la kuujua ukweli. Tutaishi kwa uhalisia sasa.
Kampigieni Lissu kura!! Kusema hatukutaka agombee ni immaturity ya hali ya juu sana. Katika siasa na demokrasia kama katiba inaruhusu acheni watu watumie haki zao.... kama mmemchoka Mbowe mnamchagua Lissu bas!!
 
Kampigieni Lissu kura!! Kusema hatukutaka agombee ni immaturity ya hali ya juu sana. Katika siasa na demokrasia kama katiba inaruhusu acheni watu watumie haki zao.... kama mmemchoka Mbowe mnamchagua Lissu bas!!
Nikuulize swali: Kwani kati ya Lissu na Mbowe nani au kambi ipi inayoonekana ni Chadema? Mbowe anaungwa mkono na CCM, unadhani wanafanya hivyo kwa bahati mbaya? Sisi tutasimama na Lissu kwa sasa mpaka ajitokeze tena mwingine naye tumpime. Ila kabla ya Mbowe kutangaza rasmi tulimsihi asiweke nia na alipoweka nia ndiyo kajiharibia zaidi kwa hoja alizotoa na aina ya watu waliomuunga mkono. Mbowe siyo mtu halali tena ndani ya Chadema kama kiongozi. Amejenga timu ambayo ina vina saba na CCM katu hawataaminika. Mbaya zaidi suala la hela chafu kwake na kwa watu wake sasa lipo dhahiri.
 
Na wakati hayo yote Mbowe akifirigiswa Lissu alikimbilia uhamishoni na kuhamia Twitter!! Lissu alirudi kugombea kisha akatokomea ubelgiji leo hii anataka kuchukua control ya chama ili akiache kwenye mataa?

Mbowe kakomaa hapa hapa nyumbani pamoja na mateso yote leo hii mropokaji aloyebimbiana tumbo analeta za kuleta?

Nilimheshimu sana Lissu ila kwa tone aliyoonesha juzi ya shari nimemdharau sana. Yaani msigwa kupitwa kura moja na Sugu Lissu ananunua shari yake??

Kinachonishangaza kupita vyote ni wafuasi wake kumlaumu Mbowe kabla ya boksi la kura!! Hawa watu wana akili na wako serious kiasi gani?
Acha uongo, wakati kifo cha magufuli kinatokea Mbowe alikuwa wapi? Alikimbia nchi kupitia kenya
 
Kichwa ya Mbowe sawa na kichwa ya Mseveni na Kagame.Wote ni wajinga na waroho wa madaraka. Mbowe alaaniwe na afe mapema tupate mabadiliko ya kweli
 
Anaandika Wakili Joseph oleshangay

freemanmbowetz anaashiria maridhiano yalikwama Kwa sababu ya negative energy kutoka Chadema “team Lissu”

Kwa sehemu kubwa ya hotuba ya freemanmbowetz , suluhuSamia is just a pure soul.

Anasema wamenunua ofisi 1.6b kutokana na maridhiano wakapewa ruzuku. Ila anasema malimbikizo ya ruzuku Kwa sababu wao walikataa

Pia anasema haiwezekani kubadili uongozi katikati ya mapambano. Strongman mentality.

Pia kwa hotuba yake msamiati wa term limit haipo kwenye kamusi yake.

Kwa ujumla @freemanmbowetz hajasema lolote kuhusu kubadili strategy ya mapambano wala kujibu hoja kuwa yeye ni mteremko wa CCM kufanya yake.

Walau inaonekana, ndani ya Chadema kuna kusigana kwa muda mrefu na hii ndio sababu hata kwenye operation za Chadema, Lissu anatumia gari yake binafsi.

Pia walau ni wazi Kwa muda kuwa wakati Lissu akifanya peoples movement, wenzake wapo katikati ya movement na kushangilia mfumo wanaodai kuwatesa.

Nikiona vijana wanaharakati ambao kila siku wanasema free @DEUSDEDITHSOKA et al, wapo na @TunduALissu na waliosema @DEUSDEDITHSOKA anajitekenya wapo na mwamba (nusu-jiwe). This says much

Wale akina mama 19 waliosemekana walipelekwa bungeni na Ndugai wapo na Mbowe…….

Balile anapata wapi nafasi ya ku moderate? Balile si ni CCM kabisa na kama ana la ziada ni wakala?

Ni ngumu sana kuamini kuwa utawala wa vyama vya upinzani haipo mikononi mwa mawakala wa mfumo tawala kuigiza kuna vyama vingi.

Namna CHADEMA establishment wanavyopambana na Lissu, CHADEMA sio siku nyingi ipo kwenye mserereko.

Lissu tu kutangaza kugombea uwenyekiti, imekuwa nongwa.

Kuna maneno kuwa mwenyekiti katikati ya kampeni 2020 alisema “Lissu anadhani atamshinda Magufuli “?……..

Anyway, kuna watu wanamtengenezea @SuluhuSamia ushindi bila kupora kura kama kawaida ya CCM.
It's obvious Samia hana mshindani labda 2030 ataibuka mpinzani wa kweli
 
Nikuulize swali: Kwani kati ya Lissu na Mbowe nani au kambi ipi inayoonekana ni Chadema? Mbowe anaungwa mkono na CCM, unadhani wanafanya hivyo kwa bahati mbaya? Sisi tutasimama na Lissu kwa sasa mpaka ajitokeze tena mwingine naye tumpime. Ila kabla ya Mbowe kutangaza rasmi tulimsihi asiweke nia na alipoweka nia ndiyo kajiharibia zaidi kwa hoja alizotoa na aina ya watu waliomuunga mkono. Mbowe siyo mtu halali tena ndani ya Chadema kama kiongozi. Amejenga timu ambayo ina vina saba na CCM katu hawataaminika. Mbaya zaidi suala la hela chafu kwake na kwa watu wake sasa lipo dhahiri.
Nafikiri ni fursa yenu sasa baada ya kuamua kusimama na Lissu, mumuwezeshe aupate uenyekiti uwe mwanzo mpya wa mrengo wenu.
 
Mimi huu uchaguzi nauona kama ni uchaguzi wa Ccm na Chadema na kama tunavyojua wote rafu za Ccm. Serikali yote huweka tofauti zote pembeni na kumshughulikia mpinzani kwa halali na kwa haramu.

Ccm ni ngumu kuishinda maana wasimamizi wataingia na kura zilizopogwa tayari.
 
Nafikiri ni fursa yenu sasa baada ya kuamua kusimama na Lissu, mumuwezeshe aupate uenyekiti uwe mwanzo mpya wa mrengo wenu.
Utake usitake Chadema haitavuka tena kama ilivyo sasa. Ni ama ivuke hadema sanaa au ivuke Chadema uzalendo. Hii ya sasa imechanganya sanaa na uzalendo. Tumegawanywa na lazima mojawapo ivuke. Kupanga ni kuchagua. Mimi nipo upande wa Chadema uzalendo katu sitokaa niungane na chadema sanaa!
 
Anaandika Wakili Joseph oleshangay

freemanmbowetz anaashiria maridhiano yalikwama Kwa sababu ya negative energy kutoka Chadema “team Lissu”

Kwa sehemu kubwa ya hotuba ya freemanmbowetz , suluhuSamia is just a pure soul.

Anasema wamenunua ofisi 1.6b kutokana na maridhiano wakapewa ruzuku. Ila anasema malimbikizo ya ruzuku Kwa sababu wao walikataa

Pia anasema haiwezekani kubadili uongozi katikati ya mapambano. Strongman mentality.

Pia kwa hotuba yake msamiati wa term limit haipo kwenye kamusi yake.

Kwa ujumla @freemanmbowetz hajasema lolote kuhusu kubadili strategy ya mapambano wala kujibu hoja kuwa yeye ni mteremko wa CCM kufanya yake.

Walau inaonekana, ndani ya Chadema kuna kusigana kwa muda mrefu na hii ndio sababu hata kwenye operation za Chadema, Lissu anatumia gari yake binafsi.

Pia walau ni wazi Kwa muda kuwa wakati Lissu akifanya peoples movement, wenzake wapo katikati ya movement na kushangilia mfumo wanaodai kuwatesa.

Nikiona vijana wanaharakati ambao kila siku wanasema free @DEUSDEDITHSOKA et al, wapo na @TunduALissu na waliosema @DEUSDEDITHSOKA anajitekenya wapo na mwamba (nusu-jiwe). This says much

Wale akina mama 19 waliosemekana walipelekwa bungeni na Ndugai wapo na Mbowe…….

Balile anapata wapi nafasi ya ku moderate? Balile si ni CCM kabisa na kama ana la ziada ni wakala?

Ni ngumu sana kuamini kuwa utawala wa vyama vya upinzani haipo mikononi mwa mawakala wa mfumo tawala kuigiza kuna vyama vingi.

Namna CHADEMA establishment wanavyopambana na Lissu, CHADEMA sio siku nyingi ipo kwenye mserereko.

Lissu tu kutangaza kugombea uwenyekiti, imekuwa nongwa.

Kuna maneno kuwa mwenyekiti katikati ya kampeni 2020 alisema “Lissu anadhani atamshinda Magufuli “?……..

Anyway, kuna watu wanamtengenezea @SuluhuSamia ushindi bila kupora kura kama kawaida ya CCM.
Chama cha matapeli kilee
Mchaga hawezi achia pesa kijinga vilee

Mwenyekiti n sign...msifikirii mjinga kukomaaaaa na ....
 
Kifupi
Hakuna chama cha kupambana na sisiemu

Wanachofanya n kupanbanbania ruzuku simple
 
Msimpangie mtu cha kufanya kwenye SACCOS/NGO yake!
 
Back
Top Bottom