Uchaguzi 2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

Tukana tuuu walamatusi hayaondoi wizi mnaotuibia kwa mgongo wa machangizoooo.
Hizo fedha jamaaa yenuu zitamtokea puani
Kwahiyo matusi yenu hayatatuzuia kuhoji matumizi ya sadaka zetu zinazotozwa kwa kulazimishwa kwenyee mandooo ya Rita 20.
Bring back our 1.5 trillion
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alidhani Watanzania ni wapumbavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi sio malofa tunajitambua
 
Reactions: BAK
kumbe kilimanjaro nzima ni ccm basi ndo hao hao, hamna chenu pale! na mpite tena pale sasa mtanyooka vizuri
Vipi huyo kwenye avatar yako kaacha kuropoka hovyo kwenye kampeni zake ,mkamateni mpimeni akili
 
Hakuna ushaidi wowoteee, zaidi zilikua ni kiki za vyepesi na jamaaa yao yule aliekuwa anaaandaliwa riport na vyepes halafu ikabumaaaa.
Hakuna ushahidi wa kuzidi wa mkaguzi mkuu
 
Wakina Sabrina sungura wakamsaidie kuita watu...
 
Vipi huyo kwenye avatar yako kaacha kuropoka hovyo kwenye kampeni zake ,mkamateni mpimeni akili

Sasa kuna mropokaji kama lissu? yaani nyie hadi wanachama wenu wenyewe mnaowaona wabaya sasa mtaishi na nan? mahakama wabaya, polisi wabaya, nec wabaya, wanachama wenu wenyewe wabaya sasa mnataka kuishi vp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…