Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye wenyeviti juzi sikukuona kwenye pongezi za Samia ulisahaulika?Daaah! Worst ever!!! Umetua Tz lini kutokea utokeapo?
Waliozungumza mpaka sasa hata hawafiki asilimia 1 ya nchi yote, tungekuwa na demokrasia ya kweli wangezumza wengi zaidiHii nchi kila mtu anazungumza tu! Tunaendeshwa kwa maneno maneno huku watu wanaweka Mambo yao dhahiri na kutuumiza tu!.
Sikuwepo MkuuKwenye wenyeviti juzi sikukuona kwenye pongezi za Samia ulisahaulika?
Huo utakuwa udiktetaMuda Sasa WA kudhibiti hizi public address
Zinatoa mwanya Kwa wrong people kupata platforms
Huyu sio Chawa,refer issue ya covid 19 na chanjo yake mpaka akaitwa kujieleza na kamatiAtamsifia Samia na kumponda Ndugai , huyu ni Chawa
Worst and best are relative terms!We are witnessing the worst regime since the birth of Tanzania, and probably the worst 4 years we will ever have.
Kuna mtu aliwahi kuandika hapa JF kwamba kila anayetofautiana ama kugombana na hawa watu 2;- Gwajima na Mbowe, NI LAZIMA atapata taabu tu!Upele umepata mkunaji.
Natabiri atachezea lupango huyu.Ameitisha mkutano na wanahabari muda huoView attachment 2069945
7000 ndio inakufanya unakesha?Sikuwepo Mkuu
Eeehn! Walau mimi nakesha kwa faida Mkuu.7000 ndio inakufanya unakesha?
Hapana sio faida..Eeehn! Walau mimi nakesha kwa faida Mkuu.
Kwahiyo faida huwa ipo kwenye business vs busyness tuu? Faida haipo kwenye kula chakula bora yaani balance diet? Au kufanya physical exercises?Hapana sio faida..
Tofautish business and busyness.
Ukiwa na njaa huwezi kujippanga utaishia kupewa 7000.Kwahiyo faida huwa ipo kwenye business vs busyness tuu? Faida haipo kwenye kula chakula bora yaani balance diet? Au kufanya physical exercises?
Ukiwa unanisogelea jipange sana.
Kuna Asilimia Kubwa za ukweli wengi waliobattle na huyu Jamaa walipotea na yeye kuendelea kudunda.. Sema huwa ananifurahisha huwa hatoi siraha zote. Utamsikia Nasubiri wajibu.. nimalize makombora yapo hayajatumikaKuna mtu aliwahi kuandika hapa JF kwamba kila anayetofautiana ama kugombana na hawa watu 2;- Gwajima na Mbowe, NI LAZIMA atapata taabu tu!
Mpaka nacheka mimi ni Mulokozijr12 bhana wewe haujambo nini?Ukiwa na njaa huwezi kujippanga utaishia kupewa 7000.
Hapo atadeal na Job ndugai tuGwajima mzee wa kuchochea kuni. Alishaelewana na shemeji yake waziri wa afya? Au ndiyo anakuja kumlipua?
Endelea na kazi mkuu usije katwa posho.Mpaka nacheka mimi ni Mulokozijr12 bhana wewe haujambo nini?