Joshua na Clemence hii ni kwa ajili yenu. Sasa mlale kwa amani zaidi

Ishu imezimwa kama vijana walijiunga na jeshi lazima waliwe kichwa ...Unavaa boxer ya jeshi ...Mdogo wangu ameenda huko mbona kasema wote wako salama ...
Walienda vijana wenhi tu kutoka sua university kwa ajili ya kujifunza kilimo kwa vitendo huko..na wakifika huko wanatawanya sehemu tofauti tofauti bahati mbaya kwa hao waliokufa sehemu waliyoenda ndio paritibuka.

Wengine wapo hadi leo bado wameshapata na vibarua huko wanapiga kazi hadi leo.
 

R.I.P Joshua & Clemence.

GOD BLESS ISRAEL
 
Sawa na magaidi yameuliwa kama panya buku. Nothing personal
 
Ishu imezimwa kama vijana walijiunga na jeshi lazima waliwe kichwa ...Unavaa boxer ya jeshi ...Mdogo wangu ameenda huko mbona kasema wote wako salama ...
Wale 1200 waliouwa kwani Hamas walishambulia kambi ya Jeshi mkuu?
 
Ishu imezimwa kama vijana walijiunga na jeshi lazima waliwe kichwa ...Unavaa boxer ya jeshi ...Mdogo wangu ameenda huko mbona kasema wote wako salama ...
Zile boksa za jeshi zinazouzwa mtaa wa kongo ni za wanajeshi?? Harafu nyie watu wengine si mlikura mavi mlivyokuwa watoto
 
We kweli mjinga hao wamekufa kutetea ardhi yao ndugu zako wamekufa kwa tamaa ya pesa walienda jiunga na jeshi la Israel. Kama walivyo wengi huko wananchi kutoka South Sudan, Ethopia na Eritrea wamen'yimwa uraia huko Israel bada ya kudangan'ywa kama hao ndugu zako mkajidai wamenda kusoma.

Afu ufananishe umaiti wa kislam na ukristo, Waislam wakifa wameambiwa wataenda peponi, we kwenye ukristo nipe bibilia yenu inasema anaye kufa kwenye ukristo anaenda peponi, hupati hao ni wamotoni tu, ni shetani peke yake ndio anaweza kuwa na fikra kama zako.

Kwanza ufananishe mtu yupo kwenye umri wa 20+ na 60+ ki logic tu wacha dini useme haki imetendeka si utakuwa fala.

Wambie ndugu zako wengine waende kusoma kilimo afu tuwaone wako Gaza na mavazi ya kijeshi ๐Ÿ˜„
 
Hakuna Peponi, ingekuwepo kusingekuwa na haja ya kuteseka Ndio ufike...

Dini zimekutoa akili
 
Hakuna Peponi, ingekuwepo kusingekuwa na haja ya kuteseka Ndio ufike...

Dini zimekutoa akili
We kula bata afu subiri pepo ya The Holy Ghost wenu Shetani lisio na dhambi likupeleke peponi ๐Ÿ˜„ We hutaki kwenda peponi nenda Israel ukalipiganie taifa teule lenu wambie na wewe unaenda kusoma kilimo.
 
Ukweli ni kwamba kifo siyo adhabu...kila mmoja wetu atakufa tu bila kujali mauvu au mema yake.

Wewe ni mjinga, huwezi kuwaita watu wanao pambania ardhi yao kuwa ni magaidi.

Gaidi namba moja ni U.S.A na mtoto wake Israel.
 
We kula bata afu subiri pepo ya The Holy Ghost wenu Shetani lisio na dhambi likupeleke peponi ๐Ÿ˜„ We hutaki kwenda peponi nenda Israel ukalipiganie taifa teule lenu wambie na wewe unaenda kusoma kilimo.
Kama unaamini kuna peponi kwa kuhadithiwa basi huna tofauti na mtu anayeamini sungura na fisi
 
Wewe ni JUHA.
 
Huo muda wa kulala wataupata wap wakiwa na mabikra 72 mbele Yao?
Bikra za kanisani si mnasema wale masister wa kanisan wao ndio mabikira, labda hao ndio 72 tutawakita huko kutokana na bibilia zenu. Kwenye Qur'an hakuna ujinga huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ