Joshua na Clemence hii ni kwa ajili yenu. Sasa mlale kwa amani zaidi

Joshua na Clemence hii ni kwa ajili yenu. Sasa mlale kwa amani zaidi

sh

Naona unajisema mwenyewe , wewe si umeolewa kisa pesa , nana asiyejua ?
Akum* nasikia wamemkuta na picha ya mama yako alikuwa anapigia puli
20241018_102812.jpg
 
Ok. Basi ndo inavyotokea kwa watoto wakipalestine wanapouawa. Ni MAZINGIRA WANAYOKUWEPO. Mpaka sasa is almost wapaleatine 40,000 wameuawa since october 7
Kwani lin hata umoja wa matafifa umeweka vikwazo na kutambua watoto hao, nyie ndio mnapiga kelele wakati kule ni vita tena upande mmoja .
 
View attachment 3128414
Waliokuwa nyuma dhidi ya mauaji yenu wameanza kusambaratika. Wameanza kuonja mateso kama yale mliopitia.

Wapumbavu hawa👇 sasa hawapo na vibaraka wao pia wanaendeleo kudondoka.
View attachment 3128415

Kufa kupo, lakin clemence na josh hamkustahili kuondoka katika mikono ya magaidi ambao wananuka damu za watu wasio na hatia.

REST EASY.
Amen, magaidi waende kurest in hell they deserve
 
Wale vijana wa kitanzania wangewaacha salama tu, wakawaua, tanzania ikakaa kimya bila kutoa tamko, kudadeki! Wauaji hakuna rangi wataacha kuona kwa uovu wao. Ogopa sana watu wapole!
 
Sasa mkuu boksa wataionaje labda kama watatamani tako waivue suruali kuja kukumbana na boksa. Na yeye ukute hakua na mawazo hayo akavaa kifashen tu
Kuvaa aina ya hizo nguo katika eneo lile ni hatari.
 
Back
Top Bottom