Joyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika

Halafu kwani mi nataka unipende sasa!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole mwaya kwa kunibeba kwenye akili na moyo wako
Mi hata skujui[emoji849][emoji849]

Nikisha comment imeisha
Mwaya nikuvhukie mtoto mzuri Kama wewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mwaya nikuvhukie mtoto mzuri Kama wewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Retired kwani ukoje wewe!?
Mara unanichukia mara mtoto mzuri, au ndio umeretire mawazoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hivi huyu Joyce ni mchaga?
[emoji2]
 
Huyu kibwengo ndio umeamua umfungulie thread kabisa?
 
Wengine tuko nao kwenye familia zetu ila hatuyaoni
Huyo demu atadumu na huyo boya sababu ni mwanamke mwenzie ila kidume cha mbegu hawatoboi hata miezi 3 lazma kiumaneπŸ˜…!!!

Tatizo ana pretendigi ni romantic kumbe ni CDF aliechangamka, atapoanza kumpa amri za kumsaidia kupiga deki nyumba ndio atajua hajui!
 
Retired kwani ukoje wewe!?
Mara unanichukia mara mtoto mzuri, au ndio umeretire mawazoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Si wajua ten kuna namna nyingi za kutongoza, kisebusebu na kiroho papoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Ndoa na uwarakati wapi na wapi. Kila siku mahakamani mahabusu. Hafadhali ya kukaa na CCM wezake
 
Si wajua ten kuna namna nyingi za kutongoza, kisebusebu na kiroho papoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

Hiyo style yako ngumu lol
 
AmeZama Kwa bitozi Ron Boy atajuta 🀣🀣🀣🀣🀣🀣 amuulize Prisca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…