Joyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika

Mtu kavunja ndoa tatu, lazima ana matatizo tu.
 
Mahusiano ya kupostiana kwenye mitandao sijui youtube mwisho wake unajulikana!

Ova
 
Mahusiano ya kupostiana kwenye mitandao sijui youtube mwisho wake unajulikana!

Ova


Wanaume huwa hawakubali kupostiwa popote bila mpangilio na sababu ya msingi.
Na kwa baadhi yao hawaruhusu hata mke kujipost post bila sababu za msingi

Ila wote anaokutana nao Joy wapo tofauti na hawa
 
Wanaume huwa hawakubali kupostiwa popote bila mpangilio na sababu ya msingi.
Na kwa baadhi yao hawaruhusu hata mke kujipost post bila sababu za msingi

Ila wote anaokutana nao Joy wapo tofauti na hawa
Kiustarabu mke hatakiwi kujipostpost
Sasa utakuta mke wa mtu ajipost hku anajibinjuaa kuonesha chura+mapaja sasa hapo si anatafuta wanaume kiaina

Ova
 
Hii migogoro mnayoitatua huhusu nini, husababishwa na nani miongoni mwenu?

Wewe umeoa/olewa? Migogoro ya wanandoa yenye afya huijui wewe? Ile ambayo inaisha kwa mapenzi zaidi😂😂😂

Unaweza kushangaa kweli eti mgogoro umekua na malalamiko ukirudi kutafuta chanzo sasa... umesababishwa na mwenzio kuchelewa kuingia chumbani muda wa kulala hahaha
 
khaaa mbona umemnenea maneno makali hivyo🤣🤣🤣🤣🤣umenifanya nicheke eti atakufa navyo vibaya hivyo
Mungu wetu wa rehema wakati mwingine anaturehemu bure bure tu

Amina
 
Huyo dada ni msanii tu
 
IF YOU WANNA BE SUCCESSFUL, DONT TAKE ADVICE FROM A FAILURE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…