Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Wataachana tu
By the way Pussy on period be good asf, Like D be walkin on red carpet
By the way Pussy on period be good asf, Like D be walkin on red carpet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wasemaWewe utakuwa ni Kileo bila shaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda nikusaidie kufunguwa code za Joyce kiria.Hajawahi shauri mtu avunje ndoa yenye afya ila huwa anasema ukiona ndoa inataka kukuingiza kuzimu wachana nayo. Kitu ambacho ni kweli na sio kwa wanawake tuu hata kwa wanaume
Hujawahi kuona kichaa ana mimba? Hakuna mwanamke anayekosa wa kufanya naye ngono.Unawaambiaje wanaume wanaoendelea kumwona anafaa?
Hizo code za Joyce nilishazitambuwa kitambo sn.Hiyo ni furaha ya kuigiza tu, hapo anataka ulimwengu ujue amepata mtu sahihi zaidi ya X wake.
Hizo code za Joyce nilishazitambuwa kitambo sn.
Kwa kifupi bado anaweweseka na penzi la mumewe wa Kwanza.
Wanaume wote wamemuoa kwa maigizo ili athibitishie ulimwengu kwamba yupo happy na amepata mtu sahihi,
. reality ni kwamba hana furaha yeyote hapo. .
Bado anateseka na penzi la lililopita.
Huyo mama D ndiye Joyce mwenyewe.mama D umeolewa wewe?
Duh kumbe anajitekenya na kucheka mwenyewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binadamu ni wanafiki sana,Maisha ya binadamu ni kichaka kuna wachafu zaidi yake lakini ukiwakuta kanisani utadhani wameguswa na Roho Mtakatifu.
Mama D nauliza tu km nawewe jimbo liko wazi, nitangaze nia.Hajawahi shauri mtu avunje ndoa yenye afya ila huwa anasema ukiona ndoa inataka kukuingiza kuzimu wachana nayo. Kitu ambacho ni kweli na sio kwa wanawake tuu hata kwa wanaume
Nashangaa wanavyomshambulia Joyce kama hawamuoni KileoWanaume huwa hawakubali kupostiwa popote bila mpangilio na sababu ya msingi.
Na kwa baadhi yao hawaruhusu hata mke kujipost post bila sababu za msingi
Ila wote anaokutana nao Joy wapo tofauti na hawa
Duh!Vijana hawana kinyaa! Karai limechota "uchafu" Tani ngapi, wewe Leo unaweka chakula ulie humo! Vijana muwe na kinyaa!