Joyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika

Joyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika

Siyo tuhuma ndyo ukweli mm ndyo maana sitaweza kuja kuowa mchaga mwenzangu au kudate naye Tu hapana

Kwanini wewe mwoga sana😆😆😆😆
 
Haya mahusiano laiti mngeyajua. Acha niishie hapo ila mara ya mwisho niliona hao watoto wakimpiga huyo jamaa kwa mawe huku wakimzodoa kuwa analelewa na mama yao. Nilishuhudia hicho kisanga mwezi octoba 2021 jamaa likawa linajiliza liza kwa Joyce kama lichoko.
 
Haya mahusiano laiti mngeyajua. Acha niishie hapo ila mara ya mwisho niliona hao watoto wakimpiga huyo jamaa kwa mawe huku wakimzodoa kuwa analelewa na mama yao. Nilishuhudia hicho kisanga mwezi octoba 2021 jamaa likawa linajiliza liza kwa Joyce kama lichoko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni muongo sana,
 
Hajawahi shauri mtu avunje ndoa yenye afya ila huwa anasema ukiona ndoa inataka kukuingiza kuzimu wachana nayo. Kitu ambacho ni kweli na sio kwa wanawake tuu hata kwa wanaume
Hakuna ndoa yenye asali tu. Changamoto pia zipo na dawa yake sio kuachana tu. Vinginevgo unajiongezea sifa ya kuwa "used"!
 
Hakuna ndoa yenye asali tu. Changamoto pia zipo na dawa yake sio kuachana tu. Vinginevgo unajiongezea sifa ya kuwa "used"!

Sio ndoa pekee zinakosa asali hata maisha ya kawaida ya familia, ndugu, mzazi na mtoto yana changamoto zake tofauti ni moja tuu kwamba kwenye ndoa hamna undugu wa damu.
Huwezi kumkata mke wako maskio aunmikono, au kumchoma mtoto wako moto au kumbaka mama yako mzazi halafu ushauri uwe aendelee kukuvumilia mwisho utaishia kwenye gunia mbili za mkaa au kumshusha kwenye chemba la choo taifa lipoteze rasilimali yake

Changamoto za ndoa zinazoweza kupelekea kuvunja ndoa ni sawa na zile za mahusiano mengine ya kifamilia zinazopelekeaga ndugu kuwa mbalimbali au kutengana kama vile ukatili uliopitiliza na tishio la kifo.

Na tunapoongelea kuvunjika kwa ndoa mara nyingi tunamuangalia mwanamke tuu na kumuona yeye pekee kuwa muathirika "used" kama ulivyosema. Tunasahau kuwaona wanaume hawaumii sababu kwa kiasi kikubwa wao hawaongei ila wapo wanaoumizwa na kuumia na kuwa used sawasawa na wanawake.

Mungu atunusuru sisi na vizazi vyetu, aturudishe kwenye kumjua yeye zaidi tuanze nae na kumaliza nae
 
Kwanini wewe mwoga sana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wala si muoga Mimi sipendi kelel kabisa maishani mwangu alafu napenda nipendwe kingine napenda mwanamke ambaye si muongeaji sana ambaye Hana kiburi sasa dada zangu ni hatri ngumi mkononi viburi jeurii mapenzi hawana sasa kwann nijipe stress nife mapema
 
Wala si muoga Mimi sipendi kelel kabisa maishani mwangu alafu napenda nipendwe kingine napenda mwanamke ambaye si muongeaji sana ambaye Hana kiburi sasa dada zangu ni hatri ngumi mkononi viburi jeurii mapenzi hawana sasa kwann nijipe stress nife mapema

Hakuna mwanaume anayewezana na mwanamke mwenye kelele duniani. Sijui vile mnajisikiaga mkipigiwa kelele ila vipigo vingi toka kwa wale wasio na uvumilivu vinachochewaga na kelele.

Wewe tafuta mtakayeelewana utafurahi na wala hutopata stress
 
Joyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika

View attachment 2061640
View attachment 2061641
View attachment 2061642
Joyce anaonekana mwanamke anayejali sana pale anapopenda, ila huwa kile kinachotokea baadae huwa nje uwezo wake. Sababu ya uwazi wake Mahusiano yanapoanza kuyumba huwa hakuna siri. Na sio kwamba huyaacha mahusiano yavunjike hivihivi. Huwa anapambana lakini sababu hamna anachoweza kubadili hishia kuvunjika moyo, kuugulia hadi anapoibuka tena na kitu kipya

Achilia mbali mateso aliyosema aliyapata hadi kuachana na mumewe wa kwanza yule DJ Nelly, Joyce ameonekana kuwa mwanamama mkweli na muwazi anapokuwa kwenye mahusiano na hata pale yanapovunjika.

Haijalishi nini itakua hatma ya mahusiano yake ila Joyce ni aina ya wale wanawake ambao akipendwa anataka ulimwengu wote ujue kwamba anapendwa na amepata mtu sahihi kwa wakati ule na ana furaha.
Nakumbuka wakati siasa za chadema zimeshika kasi Tanzania aliyekua mume wa Joyce Henry Kileo akawekwa ndani Joyce alivyopambana kumnusuru, tena akiwa na watoto wadogo.

Hata kwenye kampeni za ubunge kule Mwanga Joyce alipambana kwelikweli kumsaidia mumewe

Baadae Joyce alitumbukiwa nyongo baada ya kugundua pamoja na yote yale aliyokua anayafanya Kileo alikua akimsaliti kwa kuwa na wanawake ndani ya chama chao huku akiwa mkali kwa mkewe, kuacha kufanya majukumu ya kutunza familia na kumpa kipigo pale alipokuwa anaulizwa.

Tangu ameachana na Kileo amekua kimya sana ila sasa amekuja na kitu kipya, anaonekana mwenye furaha na shemela ameweza kuyafuta maumivu yote na upweke aliokua anapitia Joyce. Kikubwa zaidi amebeba watoto wa Joyce kama wa kwake

Mimi binafsi nawatakia Joyce na Aaron furaha ya milele kwenye mahusiano yao



Hatimaye watoto wa baba mzazi Kileo wamepata baba mlezi.

Haki wababa nyie mna kila sababu ya kupambana ili muwalee watoto wenu.... Ndoa isingevunjika Kileo angekua anawalea watoto wake

View attachment 2061671

Mungu sadia wadumu maana Likitokea la baya watakaoathirika sio wao tuu, hata watoto wao wataumia
Tatizo kaoa shoga lazima afurahie tu
 
Joyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika

View attachment 2061640
View attachment 2061641
View attachment 2061642
Joyce anaonekana mwanamke anayejali sana pale anapopenda, ila huwa kile kinachotokea baadae huwa nje uwezo wake. Sababu ya uwazi wake Mahusiano yanapoanza kuyumba huwa hakuna siri. Na sio kwamba huyaacha mahusiano yavunjike hivihivi. Huwa anapambana lakini sababu hamna anachoweza kubadili hishia kuvunjika moyo, kuugulia hadi anapoibuka tena na kitu kipya

Achilia mbali mateso aliyosema aliyapata hadi kuachana na mumewe wa kwanza yule DJ Nelly, Joyce ameonekana kuwa mwanamama mkweli na muwazi anapokuwa kwenye mahusiano na hata pale yanapovunjika.

Haijalishi nini itakua hatma ya mahusiano yake ila Joyce ni aina ya wale wanawake ambao akipendwa anataka ulimwengu wote ujue kwamba anapendwa na amepata mtu sahihi kwa wakati ule na ana furaha.
Nakumbuka wakati siasa za chadema zimeshika kasi Tanzania aliyekua mume wa Joyce Henry Kileo akawekwa ndani Joyce alivyopambana kumnusuru, tena akiwa na watoto wadogo.

Hata kwenye kampeni za ubunge kule Mwanga Joyce alipambana kwelikweli kumsaidia mumewe

Baadae Joyce alitumbukiwa nyongo baada ya kugundua pamoja na yote yale aliyokua anayafanya Kileo alikua akimsaliti kwa kuwa na wanawake ndani ya chama chao huku akiwa mkali kwa mkewe, kuacha kufanya majukumu ya kutunza familia na kumpa kipigo pale alipokuwa anaulizwa.

Tangu ameachana na Kileo amekua kimya sana ila sasa amekuja na kitu kipya, anaonekana mwenye furaha na shemela ameweza kuyafuta maumivu yote na upweke aliokua anapitia Joyce. Kikubwa zaidi amebeba watoto wa Joyce kama wa kwake

Mimi binafsi nawatakia Joyce na Aaron furaha ya milele kwenye mahusiano yao



Hatimaye watoto wa baba mzazi Kileo wamepata baba mlezi.

Haki wababa nyie mna kila sababu ya kupambana ili muwalee watoto wenu.... Ndoa isingevunjika Kileo angekua anawalea watoto wake

View attachment 2061671

Mungu sadia wadumu maana Likitokea la baya watakaoathirika sio wao tuu, hata watoto wao wataumia
Dalili ya mtu malaya inajulikana tu bhana
 
Back
Top Bottom