tibe_j
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 794
- 1,071
Na ulimwengu mzima hauwez ukajuaHiyo ni furaha ya kuigiza tu, hapo anataka ulimwengu ujue amepata mtu sahihi zaidi ya X wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ulimwengu mzima hauwez ukajuaHiyo ni furaha ya kuigiza tu, hapo anataka ulimwengu ujue amepata mtu sahihi zaidi ya X wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni muongo sana,Haya mahusiano laiti mngeyajua. Acha niishie hapo ila mara ya mwisho niliona hao watoto wakimpiga huyo jamaa kwa mawe huku wakimzodoa kuwa analelewa na mama yao. Nilishuhudia hicho kisanga mwezi octoba 2021 jamaa likawa linajiliza liza kwa Joyce kama lichoko.
Tatizo much-knower sanaAnashauri wenzake wavunje ndoa huku yeye akiitafuta
Hakuna ndoa yenye asali tu. Changamoto pia zipo na dawa yake sio kuachana tu. Vinginevgo unajiongezea sifa ya kuwa "used"!Hajawahi shauri mtu avunje ndoa yenye afya ila huwa anasema ukiona ndoa inataka kukuingiza kuzimu wachana nayo. Kitu ambacho ni kweli na sio kwa wanawake tuu hata kwa wanaume
Hakuna ndoa yenye asali tu. Changamoto pia zipo na dawa yake sio kuachana tu. Vinginevgo unajiongezea sifa ya kuwa "used"!
Wala si muoga Mimi sipendi kelel kabisa maishani mwangu alafu napenda nipendwe kingine napenda mwanamke ambaye si muongeaji sana ambaye Hana kiburi sasa dada zangu ni hatri ngumi mkononi viburi jeurii mapenzi hawana sasa kwann nijipe stress nife mapemaKwanini wewe mwoga sana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wala si muoga Mimi sipendi kelel kabisa maishani mwangu alafu napenda nipendwe kingine napenda mwanamke ambaye si muongeaji sana ambaye Hana kiburi sasa dada zangu ni hatri ngumi mkononi viburi jeurii mapenzi hawana sasa kwann nijipe stress nife mapema
Tatizo kaoa shoga lazima afurahie tuJoyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika
View attachment 2061640
View attachment 2061641
View attachment 2061642
Joyce anaonekana mwanamke anayejali sana pale anapopenda, ila huwa kile kinachotokea baadae huwa nje uwezo wake. Sababu ya uwazi wake Mahusiano yanapoanza kuyumba huwa hakuna siri. Na sio kwamba huyaacha mahusiano yavunjike hivihivi. Huwa anapambana lakini sababu hamna anachoweza kubadili hishia kuvunjika moyo, kuugulia hadi anapoibuka tena na kitu kipya
Achilia mbali mateso aliyosema aliyapata hadi kuachana na mumewe wa kwanza yule DJ Nelly, Joyce ameonekana kuwa mwanamama mkweli na muwazi anapokuwa kwenye mahusiano na hata pale yanapovunjika.
Haijalishi nini itakua hatma ya mahusiano yake ila Joyce ni aina ya wale wanawake ambao akipendwa anataka ulimwengu wote ujue kwamba anapendwa na amepata mtu sahihi kwa wakati ule na ana furaha.
Nakumbuka wakati siasa za chadema zimeshika kasi Tanzania aliyekua mume wa Joyce Henry Kileo akawekwa ndani Joyce alivyopambana kumnusuru, tena akiwa na watoto wadogo.
Hata kwenye kampeni za ubunge kule Mwanga Joyce alipambana kwelikweli kumsaidia mumewe
Baadae Joyce alitumbukiwa nyongo baada ya kugundua pamoja na yote yale aliyokua anayafanya Kileo alikua akimsaliti kwa kuwa na wanawake ndani ya chama chao huku akiwa mkali kwa mkewe, kuacha kufanya majukumu ya kutunza familia na kumpa kipigo pale alipokuwa anaulizwa.
Tangu ameachana na Kileo amekua kimya sana ila sasa amekuja na kitu kipya, anaonekana mwenye furaha na shemela ameweza kuyafuta maumivu yote na upweke aliokua anapitia Joyce. Kikubwa zaidi amebeba watoto wa Joyce kama wa kwake
Mimi binafsi nawatakia Joyce na Aaron furaha ya milele kwenye mahusiano yao
Hatimaye watoto wa baba mzazi Kileo wamepata baba mlezi.
Haki wababa nyie mna kila sababu ya kupambana ili muwalee watoto wenu.... Ndoa isingevunjika Kileo angekua anawalea watoto wake
View attachment 2061671
Mungu sadia wadumu maana Likitokea la baya watakaoathirika sio wao tuu, hata watoto wao wataumia
anagong[/QUOTE]anagong[/QUOTE]anagong[/QUOTE]anagong[/QUOTE]anagong[/QUOTE]anagongwa na nani?Sema huyu dada ana bwawa asee sio kwa kugongwa huko
anagong[/QUOTE]anagong[/QUOTE]anagong[/QUOTE]anagong[/QUOTE]anagongwa na nani?anagong
Dalili ya mtu malaya inajulikana tu bhanaJoyce Kiria aonekana mwenye furaha sana ndani ya penzi jipya baada ya ndoa zake mbili kuvunjika
View attachment 2061640
View attachment 2061641
View attachment 2061642
Joyce anaonekana mwanamke anayejali sana pale anapopenda, ila huwa kile kinachotokea baadae huwa nje uwezo wake. Sababu ya uwazi wake Mahusiano yanapoanza kuyumba huwa hakuna siri. Na sio kwamba huyaacha mahusiano yavunjike hivihivi. Huwa anapambana lakini sababu hamna anachoweza kubadili hishia kuvunjika moyo, kuugulia hadi anapoibuka tena na kitu kipya
Achilia mbali mateso aliyosema aliyapata hadi kuachana na mumewe wa kwanza yule DJ Nelly, Joyce ameonekana kuwa mwanamama mkweli na muwazi anapokuwa kwenye mahusiano na hata pale yanapovunjika.
Haijalishi nini itakua hatma ya mahusiano yake ila Joyce ni aina ya wale wanawake ambao akipendwa anataka ulimwengu wote ujue kwamba anapendwa na amepata mtu sahihi kwa wakati ule na ana furaha.
Nakumbuka wakati siasa za chadema zimeshika kasi Tanzania aliyekua mume wa Joyce Henry Kileo akawekwa ndani Joyce alivyopambana kumnusuru, tena akiwa na watoto wadogo.
Hata kwenye kampeni za ubunge kule Mwanga Joyce alipambana kwelikweli kumsaidia mumewe
Baadae Joyce alitumbukiwa nyongo baada ya kugundua pamoja na yote yale aliyokua anayafanya Kileo alikua akimsaliti kwa kuwa na wanawake ndani ya chama chao huku akiwa mkali kwa mkewe, kuacha kufanya majukumu ya kutunza familia na kumpa kipigo pale alipokuwa anaulizwa.
Tangu ameachana na Kileo amekua kimya sana ila sasa amekuja na kitu kipya, anaonekana mwenye furaha na shemela ameweza kuyafuta maumivu yote na upweke aliokua anapitia Joyce. Kikubwa zaidi amebeba watoto wa Joyce kama wa kwake
Mimi binafsi nawatakia Joyce na Aaron furaha ya milele kwenye mahusiano yao
Hatimaye watoto wa baba mzazi Kileo wamepata baba mlezi.
Haki wababa nyie mna kila sababu ya kupambana ili muwalee watoto wenu.... Ndoa isingevunjika Kileo angekua anawalea watoto wake
View attachment 2061671
Mungu sadia wadumu maana Likitokea la baya watakaoathirika sio wao tuu, hata watoto wao wataumia