Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Joyce Kiria bado anatapatapa. Amvua nguo 'mume wake', Henry Kilewo

Dada mrembo na anajielewa sasa kwanini kamanda asitulie juzi kileo alimtafta Joyce wamalize tofauti saa ngapi asi post mtandaoni na maneno kibao. Joyce ndo mchawi ya ndoa yake too much kuanika mambo ya ndoa hadharani
Mwanamke mpumbavu........!
 
Huyu mwanamke na yule wa Sugu akili zao ni copy za wanawake wa kichagga,alimwacha jamaa kwa matusi makubwa sana sasa hivi anajiliza kama mtoto mchanga
Halafu kwanini wanawake wa kichagga huwa wanazingua sana?
Mbesa baba zinawatoa mafi.
 
Kwa hii mineno kamanda tena naona kawa mgambo,yaani kamanda ni Marioo .Alafu hii style ya kuleta mambo ya familia kwenye mitandao ya jamii, nyie wanawake kawafundisha nani?,ila naona bado kuna umuhimu wa unyago japokuwa baadhi ya watu wanaona kama upuuzi,lkn baadhi ya wanawake hawajielewi.
Kweli
 
Back
Top Bottom