Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
- Thread starter
-
- #221
Mumeo anaitwa nani?Hakuna kitu na enjoy kama kumuhudumia mume wangu sitaki aguse hata kijiko
Lijanaume jeusi ila lilimkaza Kisha likaachana naye 😂😂Siku moja zamani kwenye kipindi chake wakati huo kipo eatv alisema wazi wazi aliolewa na jia-naume jeusi
Hizo kucha anakunaje nazi huyu? Anatumia Dildo?Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati.
Mboni ukiwa unaiingiza unaishika na mikono yako na kulengesha unapoitaka iingie, nimeangusha inama uiokoteMapovu yamewatoka🤣🤣🤣🤣
Kwani hamna mikono???
Wakati mwingine nafikiria wanawake hawapendi kuwa mama wa familia na kufanya majukumu yake...nahisi kuolewa sasa hivi ni kama wanalazimishwa ila sio inatoka moyoniAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Na hizo ndio NDOA ZENU.Mapovu yamewatoka🤣🤣🤣🤣
Kwani hamna mikono???
Hakuna namna😀Na hizo ndio NDOA ZENU.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Hapo nakua najihudumia mwenyeweMboni ukiwa unaiingiza unaishika na mikono yako na kulengesha unapoitaka iingie, nimeangusha inama uiokote
Ila wewe 🤣Hapo nakua najihudumia mwenyewe
Kwa hio kuishika na kuilengesha kwenye tundu unalolitaka ni kujihudumia na umesema mwanaume hana mikono kwanini usimwambie aishie mwenyewe aiingize anapopataka?Hapo nakua najihudumia mwenyewe
Inasikitisha sana ,Joyce amekuwa kama bamia ,anaharibikia Ukubwani ,kwenye hesabu kuna topic inaitwa Geometry ambapo kulikuwa na GP and AP,yaani unajua namba inayofuata ,kama DJ Nelly na Henry Kilewo walishindwa basi hadi huyo NGAPULILA ataelekea naye kibra.huyu dada hana hekima kabisa.
Siku moja zamani kwenye kipindi chake wakati huo kipo eatv alisema wazi wazi aliolewa na jia-naume jeusi, yaani hapo alikuwa anamsema yule dj waliyefunga nae ndoa ya kanisa.
angalia karma sasa, huyu ni mume wa tatu, na mume mwenyewe sasa, jinsia ya kiume kama inakuja inakataa.
King Kong III njoo utoe hekima zako hapa mkuu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Joyce kiria nasema wewe ni mjinga kwani mumeo hana mikono?Hakuna kitu na enjoy kama kumuhudumia mume wangu sitaki aguse hata kijiko
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...mzee ushaoa?Haya Maisha tafuta watoto wako waleee bas haya mambo ya ndoa waachie wasio na akili..... imagine uishi na taka taka kama hiyo ndani
Joyce anasema wewe ni mjinga kwani mumeo hana mikono?Napenda kufua nguo za bby wangu huwa kuna kiinua mgongo kwenye trousers na mifuko ya shati.....
Msuba mbona hauna shida mzeeAu wamchunguze huenda akawa anashtua msuba.
Nini we jamaa? Mbona wewe ndio unaonekana una jazba dogo? Kama unaona wivu kumpiga vibao vya makalio mama Manka, njoo nikupige wewe basi. 😀😀😀Punguza jazba mzee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]