Kwamba alikuwa amevunja ungo na hana hamu ya tendo ila ana hamu ya kuondoa umaskini?View attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.
Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.
Credit - HabariMtandaoni
dah maisha haya ww ufanye alafu uwashauri wenzako wasifanye...... mda mwingine nawaangalia hawa wanawake wa mjini nawasikitikia sana......View attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.
Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.
Credit - HabariMtandaoni
Joyce Kiria (alizaliwa Marangu, Mkoa wa Kilimanjaro, mnamo Desemba 1980). Kwa sasa ana Miaka 44, ni MCHAGAView attachment 3016274
Mwanaharakati wa haki za wanawake na mjasiriamali Joyce Kiria, amesema sababu ya Ndoa yake ya kwanza kuvunjika ni kwakuwa hakuingia kwenye Ndoa hiyo kwa Upendo bali ni kwakuwa hakua sawa kiuchumi.
Kwa upande mwengine Kiria amewashauri wanawake wasiingie kwenye Ndoa kwaajili ya kupunguza ugumu wa maisha, bali waingie kwa Upendo wa kweli.
Credit - HabariMtandaoni
Sio ziko nyingi, ndio zilizopo sahivi, Da Joy kaongea ukweli kabisaaaNdoa za aina hiyo ziko nyingi tu.